Sina njegere ila wacha nijaribu huu leoBasi pika huu simpo:
Mahitaji ni mchele
Vitunguu + carrot ikwangue
Then unakaanga vitunguu na carrot vikiikaangika vizuri weka mchele nao kaanga hadi mchele ukolee carrot then weka maji ya moto kiasi ambacho utaona yataivisha wali. Pika kwa moto wa wastan hadi wali uive
Usisahau kuweka chumvi
Hata bila njegere utakua mzuri, ujaribuSina njegere ila wacha nijaribu huu leo
Wacha wee!Ngoja nimsaidie kujibu
Thomu ni kitunguu swaumu
Basmat ni mchele maalum kwa ajili ya kupikia biriyan
Hapo kwenye mboga za barafu sijui alimaanisha nini ila unaweza tumia za kawaida... njegere, carrot unakata shape ya vibox, spring beans hizi zipo zinauzwa masokoni na mahindi yale mabichi.
Na kidonge cha supu sifahamu ila unatumia supu ya huyo kuku uliyemchemsha.
Nimeelezea jinsi ambavyo hua napika japo nilikua sijui kama ndo wali wa kichina.
Namaanisha aje akufundishe kupika😎😏Unataka kumaanisha nini?😀😀