Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
- Thread starter
- #61
Kati kwa kati mamy................you mean wanangu au!!!?????
Hawa wazima sana Alhamdulillah..................!!!!!!!!!!!!
Ndio wanao dia!
Kati kwa kati mamy................you mean wanangu au!!!?????
Hawa wazima sana Alhamdulillah..................!!!!!!!!!!!!
Jamani njooni mniambie whats your favourites kati ya haya mayai?
Cc Mkoroshokigoli watu8 farkhina Excel Viol Rogie xiexie Ennie Angel Nylon mshana jr Jerrymsigwa MziziMkavu Isumbwile Chocs Arushaone FaizaFoxy ladyfurahia amu BAK Heaven on Earth utafiti Mhandisi Mzalendo Chujio mwallu Karucee kingasti OLESAIDIMU Mrs Kharusy Swts Kipaji Halisi The Boss oxlade Afro-Arabica Husninyo Mashaxizo na wengineo wote
Hilo nambari moja ndio lenyewe hilo...
Huwa naliviriga na chapati ya kusukuma halafu pale kati kabisa naweka sausage, salaleee nikitia baraka na maziwa fresh ya moto nala hadi nasinzia...
Hata sigeuzi nafunika tu juu iwive kwa mvuke
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Shosti ahsante nimejifunza ya kuweka milk/cream nkipika ntafanya ni tamu sana inaonyesha
Marafiki humu eti mikuku ya kienyeji ukitaka kuifoil then kuwaoven ni lazima uichemshe maana ni migumu balaa na kama sichemshi mda gani nitumie kuwaoven ???
Ushauri, hem jaribu kuwaunga na thom, tangawizi na.spices zako uzipendazo. Then walaze kwenye freezer for a night. Utapotaka kuwapika watoe mapema uwaache wayeyuke barafu then ndo uwachome. Nafkiri itasaidia
mie na pika Shak-Shuka !!
mbona umepotea? Shak - shuka ndo nn tena?
mumie without you life is full of miseries..!
Sema mpnz. Leo full bata, nafkiri ndo titapika hio shak - shuka
Mbona umepotea? Shak - shuka ndo nn tena?
mmh umeilewa vema lakini? ngoja nichakue wine! ipi itakuwa bomba? ileile red au white?
Heheheeeeee,nyama ya kima a BIG NOOO
Ulifikiri kima jamii ya Nyani . ha haha haha