Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hahah una uzi unasem mapenzi basi afu unasahau ulipopitia
 
insider hata wewe ulkua na matatzo akoding na stor yako kwamba dadako alkupa dawa ya kwa mmasai ndo mana
 
Enabling factors ni changamoto Kwa vijana wengi, hata wakifanikiwa kuwapata hawadumu(Pesa & gari ni Moja ya vitu
INSIDER MAN Vijana wengi wanataka life style kama hiyo yakua na options bila kutegemea Mwanamke mmoja, ambapo ni ngumu bila rasilimali fedha.

Enabling factors ni changamoto kwa vijana wengi, hata wakifanikiwa kuwapata ni ngumu kudumu nao, (Pesa,Gari ni sumaku zenye nguvu kunasa warembo)
 
😀😀😀
Mary kashanasa mimba tayari, jiandae na vichambo vya sister yatakapotibuka
 
Hakuna mwanaume mwenye shida ya nguvu za kiume, hakuna. Labda uwe umerithi.

Kweli watu ni wa sahaulifu, hapo nyuma kidogo tu ulisema dadako alikusaidia kuhusu hilo tatizo ila saivi wajiona MWAMBA kwa7b ya Wamasai.

We wamasai wame kulisha mizizi ya NGUVU KULUKUNDU ni ya uchungu kama nn, umepona eti saiv ww tena unajiona DAKTARI kwa wagonjwa 😱😱😱
 
Faster mpigie simu sister mwambie kuna muujiza huku.....halafu mwambie Jimmy huwezi kuongea hadi mwanasheria wako aje (sister). Sijapenda Iryn kurudi, atatuharibia movie yetu mpya kwa Mary
 

Hata usemeje.. Sibadili maneno niliyoandika. Hao wanawake hakuna walio nje ya mzunguko anaoupitia? Ingawa ni bwana huruma.. Inaonyesha na wewe kama yeye tu na mpo zaidi.

Haya nawe kazungukie wote wa karibu wanaojuana, tena bila aibu kama una mke na wewe kapeleke pia michepuko yako nyumbani kwako.. Namba moja kisa kupewa pesa kama yeye au lolote lingine.
 
Faster mpigie simu sister mwambie kuna muujiza huku.....halafu mwambie Jimmy huwezi kuongea hadi mwanasheria wako aje (sister). Sijapenda Iryn kurudi, atatuharibia movie yetu mpya kwa Mary

😂😂 Mimi sijapenda bwana huruma kulala na masista hao na ka chat ka mimba kakarusha. Mary ana Tamara sana tangu mwanzo na tabia mbaya kumtamani bwana huruma wa sista wake. Huyo atalala hata na mashemeji wa kwa bwanake maishani.
 
Hii ya leo ni moja ya episode tamu kuliko zote Mary kuliwa kama vile namla mimi nimeinjoy sana umejua kutuwakilisha

Hapo hapo Mary kakubali kuwa mchepuko na the Queen is back


Mshangazi Shunie unasemaje kigongo cha leo?

Kwa nini insider kila mchepuko anataka umzalie mtoto? Anaona raha wenzie kuwa masingle mother sio vizuri wachepuke tu eti nataka unizalie mtoto
 
Andaa huo uzi manake wengne kupata pisi kali ,,ni mara moja moja sana 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…