Huyu ni Marry au
Imagine; Mary kaondoka tu kurudi Dar, boss lady ndio katia timu. Yaani why hata haikutokea like a coincidence wagongane wote Dom?Kabisaaa yani. Mambo huwa sio mepesi namna hii kwa kutumia tu akil zako, japo ana hustle ila sio kwa bahat hiz za kila unachogusa kina slide simply kihiv. Kuna watu wana hustle aisee ila ngoma ngum balaaaa
Bahati tu sio kujua kuchanga karata. Bali ana neema ya Mungu. Anatembelea roadmap ya Mungu. Kuna mdau kasema hivo hapo juuKwa vyovyote vile aliyeambatana na Jimmy ni queen Iryn naona Hilda atakuwa amefanya yake ku disclose hiding number ya Insider chezea mwajiri wewe.Lakini nashukuru Iryn amekuja wakati Mary keshaondoka vinginevyo pangechimbika Bravo mwamba kwa kujua kuchanga karata vizuri.
Mwamba anapaswa ajue hilo kuwa yupo muda wake wakujipata so apunguze zinaa asije mkasirisha Mungu wakeKabisaaa yani. Mambo huwa sio mepesi namna hii kwa kutumia tu akil zako, japo ana hustle ila sio kwa bahat hiz za kila unachogusa kina slide simply kihiv. Kuna watu wana hustle aisee ila ngoma ngum balaaaa
Mwenye nacho anaongezewa. Nikiwa chuoni nilikodi demu mmoja ajifanye my gf lengo Kuna mtu namtaka. Sasa bana yale mapenzi ya kizungu hadharani ama mahaba,kula pamoja ,kulishana msosi cafeteria nk ,Itoshe kwa kusema hivi
👇
Newton's First Law of Motion states that a body at rest will remain at rest unless an outside force acts on it, and a body in motion at a constant velocity will remain in motion in a straight line unless acted upon by an outside force.
Shetani yuko kazini. Anakwepesha hapa anamtelekeza pengine. Shetani anaongoza kwa kung'ata na kupuliza kama panyaKwa vyovyote vile aliyeambatana na Jimmy ni queen Iryn naona Hilda atakuwa amefanya yake ku disclose hiding number ya Insider chezea mwajiri wewe.Lakini nashukuru Iryn amekuja wakati Mary keshaondoka vinginevyo pangechimbika Bravo mwamba kwa kujua kuchanga karata vizuri.
Mbona kaelezea vizuri? Tangu mary anakuja dom alisema atakaa week2. Kaondoka week ya 2 katikati may, 2023. Iryn kaja dom may mwishoni.Imagine; Mary kaondoka tu kurudi Dar, boss lady ndio katia timu. Yaani why hata haikutokea like a coincidence wagongane wote Dom?
Ndio bahati alionayo hiyo; ratiba ya Mary ilikua inajulikana but ujio wa Queen ni suppresseMbona kaelezea vizuri? Tangu mary anakuja dom alisema atakaa week2. Kaondoka week ya 2 katikati may, 2023. Iryn kaja dom may mwishoni.
Mary ni wife materials sana; since day kaingia kwa hi story u can notice that. Wanawake hawatafutagi mwanaume bikra, wanatafuta a man with visionwanawake bhana ni watu wa ajabu sana!! Mtu unajua kabisa kuwa huyu mtu ana mke na mtoto, kisha unajua kabisa kuwa huyu huyu alimbebesha mimba mdogo wako tumbo moja, na kama hiyo haitoshi bado akakusimulia matatizo yake kuwa kambebesha mimba mwanamke mwingine tena Iryn. Sasa wewe una akili timamu kweli unapolazimisha kwenda kulala kwake? Yani eti friend mwanamke akalale chumba kimoja na friend mwanamme... Dah aibu nimeona mimi..
Wanawake mnajirahisisha sana mpaka mnatia kichefuchefu..hata kama una thamani, ukijirahisisha hivi thamani yako inashuka sanaa....
Halafu eti unasema ni wife material, hakuna wife material hapo ndugu yangu...wife material hawezi kujipeleka kwa mwanaume unayejua kabisa kuwa ana mke na michepuko ya kutosha... hilo ni chaka lingine tu
Jina la UZI bro; zingatia jina la uzi unaotu keep busy so she MUST come backBora angeendelea kutoonekana tu maana Mary akisha take over na aka cover nafas vizur tuu. Irene angetupisha tu
Kimoko chali huwa kinasababishwa na mengi MzeeHivi kuna wanaume bado mnateseka kupata wanawake??. Ukiona unapata tabu, kuna sehemu unakosea. JITATHIMINI.
Hivi hakuna jukwaa la Wanaume tu? Tuwe tunapeana madini.
Wale ambao mnashida na kimoja chali, kuna uzi nitawaandalia naamini kama una tatizo utakuwa sawa. Hakuna mwanaume mwenye shida ya nguvu za kiume, hakuna. Labda uwe umerithi.