INAUZWA Jiko la kuchomea nyama linauzwa

Mar 15, 2019
45
113
Habari gani wakuu.

Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka.

Bei yake ni Tsh 140,000 mazungumzo yapo !!

Nicheki WhatsApp: 0683535699

WhatsApp Image 2024-03-26 at 12.29.44_3bd5e067.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom