Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

Kwa jinsi ambavyo nimeshaona mauzauza hilo jambo siyo is kawaida.Halafu siku hizi Naona maajabu ya nyoka kuingia ndani yameongezeka, kuna watu wengine pia wameona matukio kama haya.

Hao nyoka wanaweza kuwa ni mizimu, majini wanaotumwa na wachawi ili kuja kuharibu maisha ya kiroho ya watu wa hapo nyumbani.

Sasa ashukuriwe Mungu mliweza kuwaona inaonekana mko vizuri kiroho,yaani mna macho ya kiroho; kama msingewaona ingeleta shida.

Mliwapunguza nguvu baada ya kuua mmoja, bado mmoja. Kwa kuwa huyo mmoja hamkumuua kimwili basi muueni katika maombi,huko aliko atajifia tu na waliomtuma watapata hasara,ndio maana huwa wanalalamika kuwa mmetuulia watu wetu na tumepata hasara kubwa sana,tumepata hasara kubwa.Watu wao (majini).

Watu waendao kwa waganga wa kienyeji huwa wanapew tahadhari kwamba siku mkiona nyoka ndani as rangi fulani msimsumbue muacheni ni mlinzi wenu huyo.Huyo nyoka ndio pepo,jini au mzimu katika umbo la nyoka.Kwa kuwa mlikuwa hamuwajui maana yake mlitumiwa. Sasa na nyinyi "send back to senders".

Tumieni Isaya 27:1-3.

Huyo Lewiathani,ndio hao nyoka,shetani. Sasa hivi ni moto kwa moto.Hakuna kuwapumzisha, hakuna kulala mpaka wasalimu amri,hatuna muda wa kucheka na shetani.
Nauliza mkuu 7Seven na Worker Water

Hili ni jambo lakawaida au sikitu chakawaida?. Hem fikiria uko ndani umekaa na mkewako wawili tuu. Alafu ghafla unaona nyoka wawili weusi wameongozana wanaingia ndani kwako,. Mmoja mbele mwengine nyuma. Je kama niwewe maamuzi gani ya ghafla ungeyachukua?

Hii imetokea kwa familia yangu mmoja aliweza kuuwawa ila mwengine alipotea haikujulikana amekimbilia wapi kutokana napurukushan umakin wakuwinda wote wawili kukosekana.
Hadi sasa familia yangu iko katika mgogoro mkubwa nikimaanisha Wazazi wangu nlipoambiwa jambo hili na mdogo wangu nimejaribu kulitafakar kwa kina ila hadi now sijapata jibu. Ila pia kabla ya tukio hilo familia ilikua na mgogoro wa shamba na familia jirani. Je mtazamapo kiroho mnaona nin????

Sent using Jamii Forums mobile
 
Pole sana.Kwanza soma somo la Maagano, Madhabahu na Mamlaka vizuri, baada ya hapo utapata mwanga, kisha njoo tena tuzungumze; maana yote uliyoyazungumza yapo humo kwenye hayo masomo.

Roho ya kukataliwa na kuchukiwa, ni hizo madhabahu na maagano ya huyo mtu wenu unayemhisi kuvuruga familia yenu,aliacha maneno ya laana kwenye uzao wenu kwamba msipate watoto.Unahitaji msaada wa kiroho ili kuvunja hivyo vifungo vya nguvu za giza.

Lakini pia miaka 2 kwenye ndoa siyo mingi sana ya kusema umechelewa kupata mtoto.Kuna watu wana miaka 10,15 hadi 20 kwenye ndoa na hawana watoto lakini hawajakata tamaa. Pitia hayo masomo kwa umakini utaona tatizo lako liko wapi.
Asante sana mtumishi nafanyia kazi ushauri wako
 
Natumaini wote ni wazima,

naombeni msaada jinsi ya kutatua tatizo langu upande wa nuru. Mimi ni mtt wa nne kutoka familia fulani nimeolewa, ni Mkristo.

Familia yetu imekuwa Ikifatiliwa sana na nguvu za giza. Ktk ukoo wetu nimefatilia wote tuliobarikiwa ndoa hatujapata watt sijui tatzo ni nini.

Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa shangazi na wengine watt wa bamkubwa wanazaidi ya miaka 5 hawajabarikiwa watt, mimi binafsi ndoa yangu inamwaka wa pili ila bado sijabarikiwa watt naogopa.

Binafsi roho inaniambia ukoo wetu utakuwa na shida ila bado sijajua though nilishawahi kudadisi nikagundua mengi.

Kwanza hiyo siku naomba Mungu anisaidie kujua ukoo unashida gani kuna ndugu yangu mmoja alinipigia simu yy ni mtoto wa bamkubwa akaniambia ukoo wetu unashida bila ata kumuuliza kitu chochot.

Nakumbuka aliniambia kwamba bibi mzaa baba alikuwa mchawi alitaka kumtoa kafara bamkubwa na kwa kipindi hicho bamkubwa alikuwa anaumwa, so kulikuwa na huyo mama ambaye alikuwa akimtibu bamkubwa huyo mama alikuwa mganga ndiyo akamwambia kuwa ugonjwa wake unamtesa kwasababu mama ake anataka kumtoa.

So ili bibi asimtoe yule mama mganga akaamua kumuokoa bamkubwa a baadaye huyo mganga alikuja kuzaa na bamkubwa na mtt wake ndiyo huyo aliyenipigia simu.

Baada ya kufanikiwa kumtibu babmkubwa yule mama alitangulia mbele za haki.Yule ndugu yangu aliniambia hayo mambo mwaka huu na aliniambia kuwa bibi kabla ya kufariki alipandikiza mambo ya chuki kwa watt wake kichawi mfano bamkubwa haongei na wadogo zake.

Nakumbuka nilimuuliza yy kajuaje ila hakuniambia japo alisema kuwa bamkubwa alikataa kumwambia chanzo kwann yy hataki kuongea na ndugu zake kwasababu akisema watakatana mapanga “.Baada ya mm kuambiwa hivyo nikaja kumuuliza mzee wangu akaniambia hivi: zamani bamkubwa ndiye aliyetangulia kufanikiwa na alikuwa ni mtu mzuri sana, wadogo zake wote aliwasomesha na wengine aliwatafutia na kazi.

Alikuwa ni mtu wa kwenda kwao kusalimia mara kwa mara ILA alianza kubadilika baada ya kumpata yule mama mganga aliacha kusaidia ndugu zake na kwao akaacha kabisa kwenda.Mzee wangu aliniambia yule mama ndiye aliyevuruga ukoo. Mzee na ndugu zake walijaribu kumwambia aende nyumbani akatibiwe ila akakataa.

Alishawahi kuitwa na babu na bibi enzi za uhai wao ila alikataa. Bamkubwa wangu kiukweli ni mtu aliyesoma sana tena ule usomi wa zamani yy ni Engineer ila anamaisha duni tofauti na hela anazoingiza.Anafanya miradi mikubwa ila anamaisha duni sana.

Kiukweli ukoo wetu unashambuliwa sana na giza. Mzee aliniambia pia zamani bibi na babu waliteseka sana kuwasomesha wengi walipatwa na magonjwa ya ajabu mpk ikabidi watafute suluhu wakashauriwa wajenge nyumba ya mizimu pale kwa bibi ndiyo shida zitaisha. Ila cha ajabu vita bado zipo.

Nakumbuka mzee alipokuwa bado kazini alikuwa anarushiwa makombora mpk ikabidi alete waganga home ili kuweka zindiko.Ata familia yetu wtt dada zangu wawil wanesumbuliwa sana na mapepo. Mimi binafsi nikifika sehemu baada ya muda fulani watu wanaanza kunichukia bila sababu mpk nashangaa.

Nyumbani nilikotoka kuna kipindi tulikuwa tunafuga kuku mauzauza yalikuwa hayaishi mpk tukaamua kuacha kuuza kuku.Vita vya mafanikio vimekuwa vikali sana .

Katika kupata mtt ndyo kabisa nakumbuka hata huyo ndugu yangu aliyenipigia simu aliniambia pia kuhusu hilo kwamba ata yy alipata shida kupata mtt mpaka ikabid amwambie mtu wake amsaidie na cha ajabu yule mtu wake baada ya kumsaidia dawa za kiganga alipata mtoto ila baba watoto wake alipoteza maisha na ndugu wa baba mtoto ake wakamzilia mtoto huyo ndugu yangu wakidai wamemuua.

Naombeni msaada wenu hasa ktk uzao wangu niweze kupata mtt.
Pole sana mkuu..

Nimesoma na nimewaza sana.... Kama familia mnapitia mambo mengi sana na kuchanganya miungu kama familia mnazidi potea....Jambo jema umemchagua Mungu simama nae atakufanikisha...

Kwasasa jizoeshe kufunga na kuomba kwenye kufunga kuna sehemu kiroho huwa tunafika ambapo kimwili hatufiki...

jitahidi ukiwa umefunga usome neno na uwe na mistari iliyobeba kusudi kama lako

Zaburi 107:20 inasema
Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

Kuna nguvu kubwa katika kufunga, kuomba na kusimamia neno maana neno ni ahadi za Mungu kwetu ...unapomkumbusha unasema ulisema katika Yeremia 29;11-13 unayajua mawazo inayoniwazia ni mawazo ya Amani wala si mabaya Yesu wangu, kunipa tumaini siku zote.

Nami nitakuita nitakwenda na kukuomba nawewe utanisikiliza , nami nitakutafuta na kukuona nitakapokutafuta kwa Moyo wangu wote...etc etc


Tumia nafsi ya umoja kwenye kila andiko unaloombea....pia anza kusali sala ya Baba yangu ulie mbinguni mara 2 hadi 3 kilasiku

Mungu akasimame na wewe pia fuata ushauri wa mkuu 7seven
 
U
Pole sana mkuu..

Nimesoma na nimewaza sana.... Kama familia mnapitia mambo mengi sana na kuchanganya miungu kama familia mnazidi potea....Jambo jema umemchagua Mungu simama nae atakufanikisha...

Kwasasa jizoeshe kufunga na kuomba kwenye kufunga kuna sehemu kiroho huwa tunafika ambapo kimwili hatufiki...

jitahidi ukiwa umefunga usome neno na uwe na mistari iliyobeba kusudi kama lako

Zaburi 107:20 inasema
Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

Kuna nguvu kubwa katika kufunga, kuomba na kusimamia neno maana neno ni ahadi za Mungu kwetu ...unapomkumbusha unasema ulisema katika Yeremia 29;11-13 unayajua mawazo inayoniwazia ni mawazo ya Amani wala si mabaya Yesu wangu, kunipa tumaini siku zote.

Nami nitakuita nitakwenda na kukuomba nawewe utanisikiliza , nami nitakutafuta na kukuona nitakapokutafuta kwa Moyo wangu wote...etc etc


Tumia nafsi ya umoja kwenye kila andiko unaloombea....pia anza kusali sala ya Baba yangu ulie mbinguni mara 2 hadi 3 kilasiku

Mungu akasimame na wewe pia fuata ushauri wa mkuu 7seven
Ushauri mzuri sana.Hili suala la kuchanganya miungu Lipo kwa watu wengi hasa jamii zetu za Afrika hususani Tanzania.Kumchanganya Mungu na miungu ni sawa na maji na mafuta ambavyo huwa havichangamani.

Mungu anachukizwa na hali ya namna hii,ukishaanza kwenda huko kwa waganga na wachawi,basi naye huwa ananyamaza na kukaa kimya,anajitenga na mtu yeyote aendaye katika njia za namna hii.

Tena watu wengi huwa wanatumia msemo usemao 'jisaidie nami nikusaidie',kwamba hapo alimaanisha njia nyingine hasa za giza. Huu ni uongo,upotoshaji na udanganyifu wenye makufuru ya kumuasi Mungu.

Haimaanishi hivyo.Kama upo kweli huo mstari kwenye Biblia basi unamaanisha kuchukua hatua ya kumtafuta Mungu kwa bidii naye atakuonekania. Na kila amtafutaye atamuona. Kila ajaye kwake hatamtupa kamwe.

Ndio maana imeandikwa ni heri uwe moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu maana BWANA atakutapika. Mungu hachanganywi.

Ni bora uwe na Mungu kabisa,umche Yeye na kumuabudu Yeye katika roho na kweli, umtegemee Yeye kwa nguvu zako zote ili awe nawe siku zote na akufundishe njia zake.(Huku ndiko kuwa moto).

Kuwa baridi ni kutokumjua Yeye ili basi aje ndani yako na kukusaidia kumjua. (Kuishi katika dhambi).

Lakini kuwa vuguvugu ni ile hali ya kwamba leo uko kwa Mungu na kesho upo kwa shetani kupitia kwa waganga wa kienyeji, wachawi,washirika na matendo yote mabaya ya mwilini.

Kwahiyo ni vizuri kwenda kwa Mungu kwa moyo wako wote,kumtumainia kwa akili zako zote,na kwa nguvu zako zote,naye atakuonekania.

Angalia watu wengi waliochanganya miungu mwisho wake ulikuwaje, waliishia pabaya au kumaliza vibaya.

Mfano. Ni mfalme Suleimani. Yeye pamoja na fahari yake yote lakini Yesu anasema hakuvishwa kama miongoni wa hao wadogo.Maana yake hakupewa taji la uzima.

Alipewa hekima kuliko mtu yeyote aliyewahi kuwepo hapa duniani,alipewa utajiri hapana mtu amewahi kuupata hapa duniani.Alikuwa na karama za kutafsiri lugha mbalimbi hadi za ndege,ila mwishowe alianza kusema kwamba hekima yote aliyonayo haikutoka kwa Mungu bali ni miungu yake ambayo hapo awali hakuwa anaijua isipokuwa alifundishwa na miongoni wa wakeze kuiabudu.

Ikambadilisha moyo Suleimani,akamuacha Mungu wa baba zake; Mungu wa Daudi,Yese, Yakobo,Isaka na Ibrahimu,akaitumikia miungu ya wake zake,akaiabudu, akaipa sadaka,akaifukizia uvumba na mambo mengine mengi kama watu wengine wafanyavyo ambao huabudu miungu.

Hii ilimkasirisha sana Mungu."Alimuona kama muasi,alimuacha mpaka anakufa hakuwa ametubu."

Kama umewahi kuangalia filamu ya mfalme Daudi na Mfalme Suleimani; utaona kuna utofauti katika vifo vyao,pia Biblia inasema Daudi alikufa kifo chema na uzee mwingi,ila Suleimani sijui kama inasema hivyo.

"Sasa kwenye filamu zao Daudi alikufa kama mtu aliyelala kama jinsi Biblia inavyosema, ila Suleimani alikufa kwa kukakamaa kama vile hataki kufa au anapokwenda siko alipokuwa amepatarajia."

Sasa tukija kwa usemi wa Yesu kwamba hakuvikwa kama miongoni mwa hawa wadogo itakuwa sehemu aliyoonyeshwa aende hakuitarajia ukizingatia alikuwa mfalme aliona si hadhi yake,hivyo basi alilazimishwa kwa nguvu maana maisha yake ya duniani ndio yaliyomchagulia hiyo sehemu baada ya yeye pia kuyachagua kwa kumuasi Mungu.

NB.WATOTO WA MUNGU,MUNGU HACHANGANYWI NA MIUNGU.Ile kauli ya jisaidie naye Mungu atakusaidia haimaanishi hivyo.Ni kumtafuta Mungu kwa bidii zako zote naye atakuonekania na kukupigania na kukushindia vita zako zote.Amen.
 
U

Ushauri mzuri sana.Hili suala la kuchanganya miungu Lipo kwa watu wengi hasa jamii zetu za Afrika hususani Tanzania.Kumchanganya Mungu na miungu ni sawa na maji na mafuta ambavyo huwa havichangamani.

Mungu anachukizwa na hali ya namna hii,ukishaanza kwenda huko kwa waganga na wachawi,basi naye huwa ananyamaza na kukaa kimya,anajitenga na mtu yeyote aendaye katika njia za namna hii.

Tena watu wengi huwa wanatumia msemo usemao 'jisaidie nami nikusaidie',kwamba hapo alimaanisha njia nyingine hasa za giza. Huu ni uongo,upotoshaji na udanganyifu wenye makufuru ya kumuasi Mungu.

Haimaanishi hivyo.Kama upo kweli huo mstari kwenye Biblia basi unamaanisha kuchukua hatua ya kumtafuta Mungu kwa bidii naye atakuonekania. Na kila amtafutaye atamuona. Kila ajaye kwake hatamtupa kamwe.

Ndio maana imeandikwa ni heri uwe moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu maana BWANA atakutapika. Mungu hachanganywi.

Ni bora uwe na Mungu kabisa,umche Yeye na kumuabudu Yeye katika roho na kweli, umtegemee Yeye kwa nguvu zako zote ili awe nawe siku zote na akufundishe njia zake.(Huku ndiko kuwa moto).

Kuwa baridi ni kutokumjua Yeye ili basi aje ndani yako na kukusaidia kumjua. (Kuishi katika dhambi).

Lakini kuwa vuguvugu ni ile hali ya kwamba leo uko kwa Mungu na kesho upo kwa shetani kupitia kwa waganga wa kienyeji, wachawi,washirika na matendo yote mabaya ya mwilini.

Kwahiyo ni vizuri kwenda kwa Mungu kwa moyo wako wote,kumtumainia kwa akili zako zote,na kwa nguvu zako zote,naye atakuonekania.

Angalia watu wengi waliochanganya miungu mwisho wake ulikuwaje, waliishia pabaya au kumaliza vibaya.

Mfano. Ni mfalme Suleimani. Yeye pamoja na fahari yake yote lakini Yesu anasema hakuvishwa kama miongoni wa hao wadogo.Maana yake hakupewa taji la uzima.

Alipewa hekima kuliko mtu yeyote aliyewahi kuwepo hapa duniani,alipewa utajiri hapana mtu amewahi kuupata hapa duniani.Alikuwa na karama za kutafsiri lugha mbalimbi hadi za ndege,ila mwishowe alianza kusema kwamba hekima yote aliyonayo haikutoka kwa Mungu bali ni miungu yake ambayo hapo awali hakuwa anaijua isipokuwa alifundishwa na miongoni wa wakeze kuiabudu.

Ikambadilisha moyo Suleimani,akamuacha Mungu wa baba zake; Mungu wa Daudi,Yese, Yakobo,Isaka na Ibrahimu,akaitumikia miungu ya wake zake,akaiabudu, akaipa sadaka,akaifukizia uvumba na mambo mengine mengi kama watu wengine wafanyavyo ambao huabudu miungu.

Hii ilimkasirisha sana Mungu."Alimuona kama muasi,alimuacha mpaka anakufa hakuwa ametubu."

Kama umewahi kuangalia filamu ya mfalme Daudi na Mfalme Suleimani; utaona kuna utofauti katika vifo vyao,pia Biblia inasema Daudi alikufa kifo chema na uzee mwingi,ila Suleimani sijui kama inasema hivyo.

"Sasa kwenye filamu zao Daudi alikufa kama mtu aliyelala kama jinsi Biblia inavyosema, ila Suleimani alikufa kwa kukakamaa kama vile hataki kufa au anapokwenda siko alipokuwa amepatarajia."

Sasa tukija kwa usemi wa Yesu kwamba hakuvikwa kama miongoni mwa hawa wadogo itakuwa sehemu aliyoonyeshwa aende hakuitarajia ukizingatia alikuwa mfalme aliona si hadhi yake,hivyo basi alilazimishwa kwa nguvu maana maisha yake ya duniani ndio yaliyomchagulia hiyo sehemu baada ya yeye pia kuyachagua kwa kumuasi Mungu.

NB.WATOTO WA MUNGU,MUNGU HACHANGANYWI NA MIUNGU.Ile kauli ya jisaidie naye Mungu atakusaidia haimaanishi hivyo.Ni kumtafuta Mungu kwa bidii zako zote naye atakuonekania na kukupigania na kukushindia vita zako zote.Amen.
Amen ubarikiwe na asante sana kwa mafundisho haya hasa kuhusu Mfalme Suleiman .... ni kweli ni moja ya watu waliopewa neema kubwa na Mungu lakini mwisho wake haukuwa mzuri...asante Sana mtumishi.
 
Natumaini wote ni wazima,

naombeni msaada jinsi ya kutatua tatizo langu upande wa nuru. Mimi ni mtt wa nne kutoka familia fulani nimeolewa, ni Mkristo.

Familia yetu imekuwa Ikifatiliwa sana na nguvu za giza. Ktk ukoo wetu nimefatilia wote tuliobarikiwa ndoa hatujapata watt sijui tatzo ni nini.

Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa shangazi na wengine watt wa bamkubwa wanazaidi ya miaka 5 hawajabarikiwa watt, mimi binafsi ndoa yangu inamwaka wa pili ila bado sijabarikiwa watt naogopa.

Binafsi roho inaniambia ukoo wetu utakuwa na shida ila bado sijajua though nilishawahi kudadisi nikagundua mengi.

Kwanza hiyo siku naomba Mungu anisaidie kujua ukoo unashida gani kuna ndugu yangu mmoja alinipigia simu yy ni mtoto wa bamkubwa akaniambia ukoo wetu unashida bila ata kumuuliza kitu chochot.

Nakumbuka aliniambia kwamba bibi mzaa baba alikuwa mchawi alitaka kumtoa kafara bamkubwa na kwa kipindi hicho bamkubwa alikuwa anaumwa, so kulikuwa na huyo mama ambaye alikuwa akimtibu bamkubwa huyo mama alikuwa mganga ndiyo akamwambia kuwa ugonjwa wake unamtesa kwasababu mama ake anataka kumtoa.

So ili bibi asimtoe yule mama mganga akaamua kumuokoa bamkubwa a baadaye huyo mganga alikuja kuzaa na bamkubwa na mtt wake ndiyo huyo aliyenipigia simu.

Baada ya kufanikiwa kumtibu babmkubwa yule mama alitangulia mbele za haki.Yule ndugu yangu aliniambia hayo mambo mwaka huu na aliniambia kuwa bibi kabla ya kufariki alipandikiza mambo ya chuki kwa watt wake kichawi mfano bamkubwa haongei na wadogo zake.

Nakumbuka nilimuuliza yy kajuaje ila hakuniambia japo alisema kuwa bamkubwa alikataa kumwambia chanzo kwann yy hataki kuongea na ndugu zake kwasababu akisema watakatana mapanga “.Baada ya mm kuambiwa hivyo nikaja kumuuliza mzee wangu akaniambia hivi: zamani bamkubwa ndiye aliyetangulia kufanikiwa na alikuwa ni mtu mzuri sana, wadogo zake wote aliwasomesha na wengine aliwatafutia na kazi.

Alikuwa ni mtu wa kwenda kwao kusalimia mara kwa mara ILA alianza kubadilika baada ya kumpata yule mama mganga aliacha kusaidia ndugu zake na kwao akaacha kabisa kwenda.Mzee wangu aliniambia yule mama ndiye aliyevuruga ukoo. Mzee na ndugu zake walijaribu kumwambia aende nyumbani akatibiwe ila akakataa.

Alishawahi kuitwa na babu na bibi enzi za uhai wao ila alikataa. Bamkubwa wangu kiukweli ni mtu aliyesoma sana tena ule usomi wa zamani yy ni Engineer ila anamaisha duni tofauti na hela anazoingiza.Anafanya miradi mikubwa ila anamaisha duni sana.

Kiukweli ukoo wetu unashambuliwa sana na giza. Mzee aliniambia pia zamani bibi na babu waliteseka sana kuwasomesha wengi walipatwa na magonjwa ya ajabu mpk ikabidi watafute suluhu wakashauriwa wajenge nyumba ya mizimu pale kwa bibi ndiyo shida zitaisha. Ila cha ajabu vita bado zipo.

Nakumbuka mzee alipokuwa bado kazini alikuwa anarushiwa makombora mpk ikabidi alete waganga home ili kuweka zindiko.Ata familia yetu wtt dada zangu wawil wanesumbuliwa sana na mapepo. Mimi binafsi nikifika sehemu baada ya muda fulani watu wanaanza kunichukia bila sababu mpk nashangaa.

Nyumbani nilikotoka kuna kipindi tulikuwa tunafuga kuku mauzauza yalikuwa hayaishi mpk tukaamua kuacha kuuza kuku.Vita vya mafanikio vimekuwa vikali sana .

Katika kupata mtt ndyo kabisa nakumbuka hata huyo ndugu yangu aliyenipigia simu aliniambia pia kuhusu hilo kwamba ata yy alipata shida kupata mtt mpaka ikabid amwambie mtu wake amsaidie na cha ajabu yule mtu wake baada ya kumsaidia dawa za kiganga alipata mtoto ila baba watoto wake alipoteza maisha na ndugu wa baba mtoto ake wakamzilia mtoto huyo ndugu yangu wakidai wamemuua.

Naombeni msaada wenu hasa ktk uzao wangu niweze kupata mtt.
Cc Mshana Jr
Mathanzua
Da vincci
Njoo huku mtoe ushauri kwenye idara yenu
 
Naomba kuje somo la kuinuka kwa Roho zamauti lakini pia mtu anapo mwota mtu aliye hai kua amekufa kunamaana gani na ikiwa ni roho yamauti inataka kumuinukia aliye otwa je nin kifanyike kumuokoa na Roho hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani Vita ya Palestine na Israel inaelekea kuisha kwa kubomolewa ule msikiti wa Al-aqsa na Waisrael ili Antichrist akaanze kuishi pale wakijenga Synagogue lao. Akianza kupigwa Iran ni kwamba Mwisho wa dunia umefika, mpokeeni Yesu Kristo sasa kwa moyo mkuu kama Mwana pekee wa Mwenyezi Mungu.Amen
 
Naomba kuje somo la kuinuka kwa Roho zamauti lakini pia mtu anapo mwota mtu aliye hai kua amekufa kunamaana gani na ikiwa ni roho yamauti inataka kumuinukia aliye otwa je nin kifanyike kumuokoa na Roho hiyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
KUINUKA KWA ROHO YA MAUTI.
Hii inasababishwa na mambo mengi sana ambayo kwa kujibu swali lako ni ngumu kuyaorodhesha yote hapa.

Ila sababu kubwa zaidi ambazo hupelekea yote haya ni MADHABAHU,MAAGANO,MAMLAKA na UTAWALA wa huyo mtu aliyekusudiwa hiyo roho ya mauti.

Ndoto zote zinazohusiana na watu waliokufa siyo nzuri,wawe ni wazazi,ndg,jamaa na marafiki,au hata watu wasiojulikana.Hizi siyo ndoto nzuri hata kidogo.

Kwasababu roho ya huyo mtu inakuwa na mahusiano na roho za hao waliokufa ambao wao wako katika ulimwengu mwingine; huku aliye hai yuko katika ulimwengu wa mwili.Haitakiwi kuwepo mawasiliano ya watu waliokufa na walio hai,kwa kuwa waliokufa hawajui chochote kinachoendelea hapa duniani.

MTU ATAULIZA KWANINI SASA IWE HIVYO.

Tazama hapa.MUHUBIRI 9:5

"Kwasababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa;lakini wafu hawajui neno lolote,wala hawana ijara tena;maana kumbukumbu lao limesahauliwa."

SASA HUWA NI AKINA NANI TUNAWAOTA KWA SURA TUNAZOZIJUA?

"Mtu anaweza kumuona mzazi wake, mume/mke wake,mtoto wake,rafiki yake n.k,akizungumza naye mambo ya kawaida au hata mambo ya siri na yote hayo yasemwayo ni hakika ,yaani kweli kabisa." Hii isimpe uhalali kwamba yuko katika njia za haki.

Ndio maana unaweza kukuta mtu anasema yeye akiota ndoto huwa ni za kweli,akimuotea mtu hutokea hivyo hivyo kama alivyoota, na wakati huo huo ni mtenda dhambi kama zote.

Hapa kinachofanyika ni mapepo ambayo huvaa sura za hao wahusika na kuja kwa huyo mtu,mara nyingi sehemu za namna hii ni zile zenye chimbuko la kuabudu mizimu,familia za kichawi,kishirikiana,za waganga wa kienyeji, kutambikia mizimu na makafara ya kila aina.

KIUFUPI,ni familia zenye madhabahu ya miungu zilizo hai,mapepo na mizimu ipo mahali hapo,inawaongoza na kuwapa maelekezo ya jinsi ya kuendelea kuitunza hiyo madhabahu ili iendelee kupata huduma, hasa katika KUABUDIWA.

Madhabahu zina mambo mengi,sasa ikiwa katika familia kuna mtu anatembelewa na hiyo roho ya mauti kwa kuota watu waliokufa, kuota sana makaburini,anaota anazikwa, jeneza,sanda, au amekufa. Hapo kuna uwezekano ametumiwa hiyo roho ili imvae na iharibu afya yake,mambo yake na hata uhai wake.Haiji hivi hivi mpaka awepo mtu mwingine wa kuituma.

Ikishatumwa itaamua imuondoe kwa ajali,kuumwa sana,au muda mfupi,kifo cha ghafla, kujiua, kuua na kisha kujiua.

Na hii roho ikiingia kwenye familia itawasumbua sana,inaweza kuua hata ndg watano mpaka mshtuke. Ikiingia ofisini inaweza ikawamaliza Wakurungenzi, Mameneja, Viongozi wakubwa,wafanyakazi wa kawaida mpaka wafanyakazi wengine wakaanza kuikimbia Ofisi kwa kuacha kazi ili wazinusuru roho zao.

Hii roho inawezekana ikaja kwa njia ya laana, yaani ndani ya familia,kazini au nchi kuna dhuluma iliwahi kutendeka kwa mtu aliyekuwa na haki ,akadhulumiwa aidha kiwanja,shamba,nyumba,pesa,cheo chake,au nafsi yake ikafa (mauti).

Sasa ile nafsi inarudi kulipa kisasi, au kuna aliyejua huo mchezo kisha akatamka kwamba hata kama mmemuua huyu mtu kwa kosa ambalo hakulitenda ipo siku yatawarudia.

Kwahiyo ardhi ilisikia, ikayatunza. Sasa anatokea mtu anataka cheo cha huyo muhusika, au ushindani wa kazi na biashara; sasa huyu mtu anataka amshushe chini mpinzani wake,hapa hawezi kwenda kwenye ulimwengu wa nuru maana anajua hakuna maombi ya hila,ataenda gizani.

Akifika.Wataangalia kwenye matunguri yao,nayo yataiona hiyo laana,hapo hapo ndipo watapitia.Hapo hapo ndipo palipo na njia ya kupitishia pigo. Ataanza kudondoka mmoja mmoja mpaka waishe. Labda neema ya Kristo iingie ndani yao ndipo watapata nafasi ya kutengeneza.

Ikiwa roho ya mauti inatembea ndani ya familia Ebu chunguzeni hapo ndani au kwenu kuna mlango gani usio wa haki na uko wazi,angalieni kazini kwenu,angalieni kwenye uko wenu huko nyuma kuliwahi kutokea nini?

Na huyo anayetembelewa muangalieni machoni pake anaangalia kwa namna gani,?

1.Anaona aibu isiyo ya kawaida?
2.Anakuwa ni mtu wa mawazo hana furaha tena?
3.Amejikatia tamaa anasema bora afe tu maana hana thamani?
4.Macho yake ni kama yana Ukungu haoni vizuri?
5.Amekosa nuru ,uso wake umefifia?
6.Rangi ya uso wake ni kama mtu aliyekufa, yaani mfu?
7.Hapendi ushauri, anajitenga na hataki tena maombi?

"Iwapo utagundua dalili kama hizi ujue huyo mtu ameshavishwa roho ya mauti kupitia jini maiti."

Ikiwa upo katika kundi la watu,au sehemu ukasikia watu unaowafahamu wanazungumza mambo ya vifo,yaani wao kila wakikuona ni mambo ya kufa kufa tu,shtuka kwamba wameshapatana na mauti ili wakutupie, mara nyingi hii huitafutia sababu ya wivu, ugomvi usio wa lazima,ila hasa ni 'WIVU WA MAENDELEO.'

Wanaweza kusema hivi,yaani mtaani kwetu kuna mtu kagongwa na gari ghafla akafa muda huo huo,tena alikuwa amevaa nguo za rangi hii na ile( wakati huo huo wewe umevaa hivyo hivyo).

Au kazini kwa rafiki yangu kuna mama kapigiwa simu na mumewe kwamba mtoto wao ameumwa ghafla wakati wanampeleka hospitali wakakuta amekufa tayari jamani,yaani Amelia huyo hadi huruma.Wanafiki sana wanajifanya kujisikitisha.

Au kuna mwenzetu nasikia kafukuzwa kazi kwasababu ya kuchelewa kufika kazini!

SASA UTAJUAJE NI WEWE?

Kila wakiongea maongezi ya hivi mara nyingi hujikuta wewe moyo wako unauma, na kweli saa nyingine unaweza kurudi nyumbani na kukuta vitoto vyako vyote vimejikunyata eti vinaumwa, hapa shtuka.

Kama ni kazini bosi wako anakuazishia bifu, anakuchukia ghafla,anakugombeza pasipo sababu za msingi,kwenye ndoa hivyo hivyo mnaanza kugombana kwa vitu vya kijinga. Mambo ni mengi siwezi kuyaandika yote nikayamaliza.

SASA UFANYEJE ILI ROHO YA MAUTI ISIKUFUATILIE?

Kwanza wao wamepatana na kuzimu ili wakutimie hiyo roho na kukupata.Kwa kuwa ndio hivyo,Kumbuka imeandikwa kwamba mapatano yenu na kuzimu mliyopatana na mauti hayatafanikiwa, nayakataa, mimi sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo makuu ya Mungu.

Wewe ndugu msomaji unayo nguvu ya kuzuia hiyo mauti isikufuatilie katika maisha yako.

MITHALI.18:21.

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi;nao wao waupendao watakula matunda yao

Kwahiyo unaweza kuizuia kwa kuikataa kama wao walivyopatana na kukutumia. Kwa kutumia silaha ya neno la Mungu, upanga wa Mungu na damu ya Yesu inakutoa katika maangamizi ya roho za mauti,hata ziwe nyingi kiasi gani;Bwana Yesu atakutetea na kukushindia.

ISAYA 54:17
Kila silaha itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yangu katika hukumu nitauhukumu kuwa mkosa.

Hapa lazima utumie kuongea kwa kinywa chako na ulimi wako kama jinsi wao walivyofanya, au hata waliokufa walivyoacha wametamka, nawe tamka kinyume chake.

ILA UNATAMKA KATIKA ULIMWENGU UPI?

Ni ulimwengu wa Nuru ambao mtawala wake ni Yesu Kristo aliye hai peke yake.Huko kwingine ni upotofu tu.Wao huwa wanasalitiana na kuraruana.

Ikiwa utamkiri Yesu,au uliwahi kumkiri Yesu kwa kinywa chako, basi unayo haki ya kutumia neno lake kukufungua kutoka katika maagano na madhabahu ya vifo vinavyotokana na shetani.

Ndio maana huwa ninawashangaa watu wanaombea marehemu eti wasamehewe dhambi zao huwa ni kujilisha upepo tu,wafu hawana walijualo kama ni adhabu huwa tayari wameshahukumiwa katika mauti ya kwanza, wamengoja mauti ya pili siku ile ya mwisho wakamilishe hukumu zao.

Mungu hana muda wa kusikiliza maombi ya wafu, yeye ni Mungu wa walio hai siku zote.Tunatengeneza tukiwa hapa hapa duniani, na siyo baada ya kufa.

Kwahiyo kufuatwa fuatwa na watu waliokufa siyo dalili njema,kuna mambo yako mengi yanafuatiliwa na mauti ikiwemo na roho yako mtu wa Mungu. Kataa hizi roho za namna hii.

"Na unazikataa kwa kumkiri Yesu Kristo".

WARUMI 10:9-12.

Kwasababu,ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu,utaokoka.

Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki,na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.

Kwa maana andiko lanena,kila amwaminiye hatatahayarika kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani;maana yeye yule ni Bwana wa wote,mwenye utajiri kwa wote wamuitao.

Kwahiyo ndugu zangu nyote Yesu anawapenda,uwe Mkristo muite atakuitikia, uwe Muislamu muite atakuitikia, uwe mpagani muite naye atakuitikieni, anachoangalia ni kukiri kwako,achana na stori za kijinga huko mtaani kwamba Yesu ni wa Wayahudi tu.Tangu mwanzo hata sasa Yeye ni wa wote.

Sisi tunaomtumikia ndio tunajua watu anaowahudumia wenye imani na jina lake,Waislamu tunawaombea wanapona, Wakristo hivyo hivyo,hata ambao hawana dini wanapona vile vile baada ya kuliamini jina lake.

Nitawapa ushuhuda kidogo.(Mtanisamehe mimi ni Mwalimu huwa ninafundisha kwa mifano halisi ).

Siku moja niliitwa na Mwalimu wa sekondari niende shuleni kwake ana maongezi na mimi.Nikaitikia wito wake.

Nilivyofika pale shuleni akanieleza alichoniitia, ila kabla sijaondoka akaniomba niwafanyie maombi wanafunzi wake maana walikuwa wamebakiwa na wiki moja ya kufanya mtihani wao.

Nikaingia darasani nikawauliza mnahitaji maombi,wote wakaitikia ndiyo. Nikawaambia kila mmoja afunge macho ili tuombe (kufumba macho na kuomba ni ile hali ya kuingia rohoni ili usione vitu vya nje ukashindwa kumakinika).

Niliomba kama dakika 5, nikasema itikieni Amina. Wakaitikia, ila baadhi hawakuinua vichwa vyao,walibaki wameinamia chini kwenye madawati. Ni wadada na hijabu zao.

Nikajiuliza wamesinzia au? Nikasogea karibu nijue kulikoni. Kumbe masikini walikuwa wanalia machozi kabisaaa.

Nikapata jibu kwamba wameguswa na furaha ya Yesu na kutuliwa mizigo yao; hawajawahi kuisikia hii hali.Watumishi wa Mungu nyinyi ni mashahidi mkiwaombea Waislamu huwa wanawahi kupokea kuliko Wakristo,na wanawake wengi wa Kiislamu huwa wanalia machozi sana katika maombezi au baada ya maombezi.

KWANINI?

"Yesu huwa anawapokea haraka na kuwaonyesha kwamba mimi NDIYE MUNGU,huwa mnadanganywa msinijue lakini MIMI NIPO AMBAYE NIKO."

YESU ANAWAPENDA NYOTE.

Mfano mwingine nilienda kwa mpemba alikuwa anaumwa mguu kwa muda mrefu sana,nikamuombea, dakika 10 nyingi akasimama akaanza kusema sisikii maumivu kama mwanzo nayasikia kwa mbali.

Nikamwambia subiri hadi kesho utaona utaamka vipi.Kesho asubuhi anaamka, anasema mtumishi yaani hata sielewi sisikii maumivu kabisa nimepona, maombi yako yamefanya kazi.

Nikamwambia Yesu huyoo, akasema ni kweli ameniponya. Hadi leo hii hawezi kusahau. Kumbe Yesu anawaponya hata wapemba Waislamu.Yesu hana ubaguzi,muite wakati wowote naye atakuponya na shida zako zote.

Mwingine anaweza kuhisi ninatanganza dini,mimi sina kanisa,huduma,wala ushirika popote,hivi ukiomba mwenyewe kimya kimya nani atajua kwamba ulikuwa unaomba?

Jaribu mwenyewe uone kama hutapata matokeo chanya kupitia hapa hapa mtandaoni. WOKOVU NI SASA,USINGOJE KESHO,KWA MAANA HUJUI SAA WALA SIKU YESU ANARUDI SAA NGAPI KULINYAKUA KANISA LAKE.

MUNGU AWABARIKI SANA.
 
KUINUKA KWA ROHO YA MAUTI.
Hii inasababishwa na mambo mengi sana ambayo kwa kujibu swali lako ni ngumu kuyaorodhesha yote hapa.

Ila sababu kubwa zaidi ambazo hupelekea yote haya ni MADHABAHU,MAAGANO,MAMLAKA na UTAWALA wa huyo mtu aliyekusudiwa hiyo roho ya mauti.

Ndoto zote zinazohusiana na watu waliokufa siyo nzuri,wawe ni wazazi,ndg,jamaa na marafiki,au hata watu wasiojulikana.Hizi siyo ndoto nzuri hata kidogo.

Kwasababu roho ya huyo mtu inakuwa na mahusiano na roho za hao waliokufa ambao wao wako katika ulimwengu mwingine; huku aliye hai yuko katika ulimwengu wa mwili.Haitakiwi kuwepo mawasiliano ya watu waliokufa na walio hai,kwa kuwa waliokufa hawajui chochote kinachoendelea hapa duniani.

MTU ATAULIZA KWANINI SASA IWE HIVYO.

Tazama hapa.MUHUBIRI 9:5

"Kwasababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa;lakini wafu hawajui neno lolote,wala hawana ijara tena;maana kumbukumbu lao limesahauliwa."

SASA HUWA NI AKINA NANI TUNAWAOTA KWA SURA TUNAZOZIJUA?

"Mtu anaweza kumuona mzazi wake, mume/mke wake,mtoto wake,rafiki yake n.k,akizungumza naye mambo ya kawaida au hata mambo ya siri na yote hayo yasemwayo ni hakika ,yaani kweli kabisa." Hii isimpe uhalali kwamba yuko katika njia za haki.

Ndio maana unaweza kukuta mtu anasema yeye akiota ndoto huwa ni za kweli,akimuotea mtu hutokea hivyo hivyo kama alivyoota, na wakati huo huo ni mtenda dhambi kama zote.

Hapa kinachofanyika ni mapepo ambayo huvaa sura za hao wahusika na kuja kwa huyo mtu,mara nyingi sehemu za namna hii ni zile zenye chimbuko la kuabudu mizimu,familia za kichawi,kishirikiana,za waganga wa kienyeji, kutambikia mizimu na makafara ya kila aina.

KIUFUPI,ni familia zenye madhabahu ya miungu zilizo hai,mapepo na mizimu ipo mahali hapo,inawaongoza na kuwapa maelekezo ya jinsi ya kuendelea kuitunza hiyo madhabahu ili iendelee kupata huduma, hasa katika KUABUDIWA.

Madhabahu zina mambo mengi,sasa ikiwa katika familia kuna mtu anatembelewa na hiyo roho ya mauti kwa kuota watu waliokufa, kuota sana makaburini,anaota anazikwa, jeneza,sanda, au amekufa. Hapo kuna uwezekano ametumiwa hiyo roho ili imvae na iharibu afya yake,mambo yake na hata uhai wake.Haiji hivi hivi mpaka awepo mtu mwingine wa kuituma.

Ikishatumwa itaamua imuondoe kwa ajali,kuumwa sana,au muda mfupi,kifo cha ghafla, kujiua, kuua na kisha kujiua.

Na hii roho ikiingia kwenye familia itawasumbua sana,inaweza kuua hata ndg watano mpaka mshtuke. Ikiingia ofisini inaweza ikawamaliza Wakurungenzi, Mameneja, Viongozi wakubwa,wafanyakazi wa kawaida mpaka wafanyakazi wengine wakaanza kuikimbia Ofisi kwa kuacha kazi ili wazinusuru roho zao.

Hii roho inawezekana ikaja kwa njia ya laana, yaani ndani ya familia,kazini au nchi kuna dhuluma iliwahi kutendeka kwa mtu aliyekuwa na haki ,akadhulumiwa aidha kiwanja,shamba,nyumba,pesa,cheo chake,au nafsi yake ikafa (mauti).

Sasa ile nafsi inarudi kulipa kisasi, au kuna aliyejua huo mchezo kisha akatamka kwamba hata kama mmemuua huyu mtu kwa kosa ambalo hakulitenda ipo siku yatawarudia.

Kwahiyo ardhi ilisikia, ikayatunza. Sasa anatokea mtu anataka cheo cha huyo muhusika, au ushindani wa kazi na biashara; sasa huyu mtu anataka amshushe chini mpinzani wake,hapa hawezi kwenda kwenye ulimwengu wa nuru maana anajua hakuna maombi ya hila,ataenda gizani.

Akifika.Wataangalia kwenye matunguri yao,nayo yataiona hiyo laana,hapo hapo ndipo watapitia.Hapo hapo ndipo palipo na njia ya kupitishia pigo. Ataanza kudondoka mmoja mmoja mpaka waishe. Labda neema ya Kristo iingie ndani yao ndipo watapata nafasi ya kutengeneza.

Ikiwa roho ya mauti inatembea ndani ya familia Ebu chunguzeni hapo ndani au kwenu kuna mlango gani usio wa haki na uko wazi,angalieni kazini kwenu,angalieni kwenye uko wenu huko nyuma kuliwahi kutokea nini?

Na huyo anayetembelewa muangalieni machoni pake anaangalia kwa namna gani,?

1.Anaona aibu isiyo ya kawaida?
2.Anakuwa ni mtu wa mawazo hana furaha tena?
3.Amejikatia tamaa anasema bora afe tu maana hana thamani?
4.Macho yake ni kama yana Ukungu haoni vizuri?
5.Amekosa nuru ,uso wake umefifia?
6.Rangi ya uso wake ni kama mtu aliyekufa, yaani mfu?
7.Hapendi ushauri, anajitenga na hataki tena maombi?

"Iwapo utagundua dalili kama hizi ujue huyo mtu ameshavishwa roho ya mauti kupitia jini maiti."

Ikiwa upo katika kundi la watu,au sehemu ukasikia watu unaowafahamu wanazungumza mambo ya vifo,yaani wao kila wakikuona ni mambo ya kufa kufa tu,shtuka kwamba wameshapatana na mauti ili wakutupie, mara nyingi hii huitafutia sababu ya wivu, ugomvi usio wa lazima,ila hasa ni 'WIVU WA MAENDELEO.'

Wanaweza kusema hivi,yaani mtaani kwetu kuna mtu kagongwa na gari ghafla akafa muda huo huo,tena alikuwa amevaa nguo za rangi hii na ile( wakati huo huo wewe umevaa hivyo hivyo).

Au kazini kwa rafiki yangu kuna mama kapigiwa simu na mumewe kwamba mtoto wao ameumwa ghafla wakati wanampeleka hospitali wakakuta amekufa tayari jamani,yaani Amelia huyo hadi huruma.Wanafiki sana wanajifanya kujisikitisha.

Au kuna mwenzetu nasikia kafukuzwa kazi kwasababu ya kuchelewa kufika kazini!

SASA UTAJUAJE NI WEWE?

Kila wakiongea maongezi ya hivi mara nyingi hujikuta wewe moyo wako unauma, na kweli saa nyingine unaweza kurudi nyumbani na kukuta vitoto vyako vyote vimejikunyata eti vinaumwa, hapa shtuka.

Kama ni kazini bosi wako anakuazishia bifu, anakuchukia ghafla,anakugombeza pasipo sababu za msingi,kwenye ndoa hivyo hivyo mnaanza kugombana kwa vitu vya kijinga. Mambo ni mengi siwezi kuyaandika yote nikayamaliza.

SASA UFANYEJE ILI ROHO YA MAUTI ISIKUFUATILIE?

Kwanza wao wamepatana na kuzimu ili wakutimie hiyo roho na kukupata.Kwa kuwa ndio hivyo,Kumbuka imeandikwa kwamba mapatano yenu na kuzimu mliyopatana na mauti hayatafanikiwa, nayakataa, mimi sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo makuu ya Mungu.

Wewe ndugu msomaji unayo nguvu ya kuzuia hiyo mauti isikufuatilie katika maisha yako.

MITHALI.18:21.

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi;nao wao waupendao watakula matunda yao

Kwahiyo unaweza kuizuia kwa kuikataa kama wao walivyopatana na kukutumia. Kwa kutumia silaha ya neno la Mungu, upanga wa Mungu na damu ya Yesu inakutoa katika maangamizi ya roho za mauti,hata ziwe nyingi kiasi gani;Bwana Yesu atakutetea na kukushindia.

ISAYA 54:17
Kila silaha itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yangu katika hukumu nitauhukumu kuwa mkosa.

Hapa lazima utumie kuongea kwa kinywa chako na ulimi wako kama jinsi wao walivyofanya, au hata waliokufa walivyoacha wametamka, nawe tamka kinyume chake.

ILA UNATAMKA KATIKA ULIMWENGU UPI?

Ni ulimwengu wa Nuru ambao mtawala wake ni Yesu Kristo aliye hai peke yake.Huko kwingine ni upotofu tu.Wao huwa wanasalitiana na kuraruana.

Ikiwa utamkiri Yesu,au uliwahi kumkiri Yesu kwa kinywa chako, basi unayo haki ya kutumia neno lake kukufungua kutoka katika maagano na madhabahu ya vifo vinavyotokana na shetani.

Ndio maana huwa ninawashangaa watu wanaombea marehemu eti wasamehewe dhambi zao huwa ni kujilisha upepo tu,wafu hawana walijualo kama ni adhabu huwa tayari wameshahukumiwa katika mauti ya kwanza, wamengoja mauti ya pili siku ile ya mwisho wakamilishe hukumu zao.

Mungu hana muda wa kusikiliza maombi ya wafu, yeye ni Mungu wa walio hai siku zote.Tunatengeneza tukiwa hapa hapa duniani, na siyo baada ya kufa.

Kwahiyo kufuatwa fuatwa na watu waliokufa siyo dalili njema,kuna mambo yako mengi yanafuatiliwa na mauti ikiwemo na roho yako mtu wa Mungu. Kataa hizi roho za namna hii.

"Na unazikataa kwa kumkiri Yesu Kristo".

WARUMI 10:9-12.

Kwasababu,ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu,utaokoka.

Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki,na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.

Kwa maana andiko lanena,kila amwaminiye hatatahayarika kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani;maana yeye yule ni Bwana wa wote,mwenye utajiri kwa wote wamuitao.

Kwahiyo ndugu zangu nyote Yesu anawapenda,uwe Mkristo muite atakuitikia, uwe Muislamu muite atakuitikia, uwe mpagani muite naye atakuitikieni, anachoangalia ni kukiri kwako,achana na stori za kijinga huko mtaani kwamba Yesu ni wa Wayahudi tu.Tangu mwanzo hata sasa Yeye ni wa wote.

Sisi tunaomtumikia ndio tunajua watu anaowahudumia wenye imani na jina lake,Waislamu tunawaombea wanapona, Wakristo hivyo hivyo,hata ambao hawana dini wanapona vile vile baada ya kuliamini jina lake.

Nitawapa ushuhuda kidogo.(Mtanisamehe mimi ni Mwalimu huwa ninafundisha kwa mifano halisi ).

Siku moja niliitwa na Mwalimu wa sekondari niende shuleni kwake ana maongezi na mimi.Nikaitikia wito wake.

Nilivyofika pale shuleni akanieleza alichoniitia, ila kabla sijaondoka akaniomba niwafanyie maombi wanafunzi wake maana walikuwa wamebakiwa na wiki moja ya kufanya mtihani wao.

Nikaingia darasani nikawauliza mnahitaji maombi,wote wakaitikia ndiyo. Nikawaambia kila mmoja afunge macho ili tuombe (kufumba macho na kuomba ni ile hali ya kuingia rohoni ili usione vitu vya nje ukashindwa kumakinika).

Niliomba kama dakika 5, nikasema itikieni Amina. Wakaitikia, ila baadhi hawakuinua vichwa vyao,walibaki wameinamia chini kwenye madawati. Ni wadada na hijabu zao.

Nikajiuliza wamesinzia au? Nikasogea karibu nijue kulikoni. Kumbe masikini walikuwa wanalia machozi kabisaaa.

Nikapata jibu kwamba wameguswa na furaha ya Yesu na kutuliwa mizigo yao; hawajawahi kuisikia hii hali.Watumishi wa Mungu nyinyi ni mashahidi mkiwaombea Waislamu huwa wanawahi kupokea kuliko Wakristo,na wanawake wengi wa Kiislamu huwa wanalia machozi sana katika maombezi au baada ya maombezi.

KWANINI?

"Yesu huwa anawapokea haraka na kuwaonyesha kwamba mimi NDIYE MUNGU,huwa mnadanganywa msinijue lakini MIMI NIPO AMBAYE NIKO."

YESU ANAWAPENDA NYOTE.

Mfano mwingine nilienda kwa mpemba alikuwa anaumwa mguu kwa muda mrefu sana,nikamuombea, dakika 10 nyingi akasimama akaanza kusema sisikii maumivu kama mwanzo nayasikia kwa mbali.

Nikamwambia subiri hadi kesho utaona utaamka vipi.Kesho asubuhi anaamka, anasema mtumishi yaani hata sielewi sisikii maumivu kabisa nimepona, maombi yako yamefanya kazi.

Nikamwambia Yesu huyoo, akasema ni kweli ameniponya. Hadi leo hii hawezi kusahau. Kumbe Yesu anawaponya hata wapemba Waislamu.Yesu hana ubaguzi,muite wakati wowote naye atakuponya na shida zako zote.

Mwingine anaweza kuhisi ninatanganza dini,mimi sina kanisa,huduma,wala ushirika popote,hivi ukiomba mwenyewe kimya kimya nani atajua kwamba ulikuwa unaomba?

Jaribu mwenyewe uone kama hutapata matokeo chanya kupitia hapa hapa mtandaoni. WOKOVU NI SASA,USINGOJE KESHO,KWA MAANA HUJUI SAA WALA SIKU YESU ANARUDI SAA NGAPI KULINYAKUA KANISA LAKE.

MUNGU AWABARIKI SANA.
Hivi haya mambo siyo yanawahusu watu wa Israel kweli!!
Mbona mnatukana mizimu wakati ilifanya kazi kubwa sana wakati wa njaa, vita na majanga mengine mengi tu hapa nchini
 
KUINUKA KWA ROHO YA MAUTI.
Hii inasababishwa na mambo mengi sana ambayo kwa kujibu swali lako ni ngumu kuyaorodhesha yote hapa.

Ila sababu kubwa zaidi ambazo hupelekea yote haya ni MADHABAHU,MAAGANO,MAMLAKA na UTAWALA wa huyo mtu aliyekusudiwa hiyo roho ya mauti.

Ndoto zote zinazohusiana na watu waliokufa siyo nzuri,wawe ni wazazi,ndg,jamaa na marafiki,au hata watu wasiojulikana.Hizi siyo ndoto nzuri hata kidogo.

Kwasababu roho ya huyo mtu inakuwa na mahusiano na roho za hao waliokufa ambao wao wako katika ulimwengu mwingine; huku aliye hai yuko katika ulimwengu wa mwili.Haitakiwi kuwepo mawasiliano ya watu waliokufa na walio hai,kwa kuwa waliokufa hawajui chochote kinachoendelea hapa duniani.

MTU ATAULIZA KWANINI SASA IWE HIVYO.

Tazama hapa.MUHUBIRI 9:5

"Kwasababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa;lakini wafu hawajui neno lolote,wala hawana ijara tena;maana kumbukumbu lao limesahauliwa."

SASA HUWA NI AKINA NANI TUNAWAOTA KWA SURA TUNAZOZIJUA?

"Mtu anaweza kumuona mzazi wake, mume/mke wake,mtoto wake,rafiki yake n.k,akizungumza naye mambo ya kawaida au hata mambo ya siri na yote hayo yasemwayo ni hakika ,yaani kweli kabisa." Hii isimpe uhalali kwamba yuko katika njia za haki.

Ndio maana unaweza kukuta mtu anasema yeye akiota ndoto huwa ni za kweli,akimuotea mtu hutokea hivyo hivyo kama alivyoota, na wakati huo huo ni mtenda dhambi kama zote.

Hapa kinachofanyika ni mapepo ambayo huvaa sura za hao wahusika na kuja kwa huyo mtu,mara nyingi sehemu za namna hii ni zile zenye chimbuko la kuabudu mizimu,familia za kichawi,kishirikiana,za waganga wa kienyeji, kutambikia mizimu na makafara ya kila aina.

KIUFUPI,ni familia zenye madhabahu ya miungu zilizo hai,mapepo na mizimu ipo mahali hapo,inawaongoza na kuwapa maelekezo ya jinsi ya kuendelea kuitunza hiyo madhabahu ili iendelee kupata huduma, hasa katika KUABUDIWA.

Madhabahu zina mambo mengi,sasa ikiwa katika familia kuna mtu anatembelewa na hiyo roho ya mauti kwa kuota watu waliokufa, kuota sana makaburini,anaota anazikwa, jeneza,sanda, au amekufa. Hapo kuna uwezekano ametumiwa hiyo roho ili imvae na iharibu afya yake,mambo yake na hata uhai wake.Haiji hivi hivi mpaka awepo mtu mwingine wa kuituma.

Ikishatumwa itaamua imuondoe kwa ajali,kuumwa sana,au muda mfupi,kifo cha ghafla, kujiua, kuua na kisha kujiua.

Na hii roho ikiingia kwenye familia itawasumbua sana,inaweza kuua hata ndg watano mpaka mshtuke. Ikiingia ofisini inaweza ikawamaliza Wakurungenzi, Mameneja, Viongozi wakubwa,wafanyakazi wa kawaida mpaka wafanyakazi wengine wakaanza kuikimbia Ofisi kwa kuacha kazi ili wazinusuru roho zao.

Hii roho inawezekana ikaja kwa njia ya laana, yaani ndani ya familia,kazini au nchi kuna dhuluma iliwahi kutendeka kwa mtu aliyekuwa na haki ,akadhulumiwa aidha kiwanja,shamba,nyumba,pesa,cheo chake,au nafsi yake ikafa (mauti).

Sasa ile nafsi inarudi kulipa kisasi, au kuna aliyejua huo mchezo kisha akatamka kwamba hata kama mmemuua huyu mtu kwa kosa ambalo hakulitenda ipo siku yatawarudia.

Kwahiyo ardhi ilisikia, ikayatunza. Sasa anatokea mtu anataka cheo cha huyo muhusika, au ushindani wa kazi na biashara; sasa huyu mtu anataka amshushe chini mpinzani wake,hapa hawezi kwenda kwenye ulimwengu wa nuru maana anajua hakuna maombi ya hila,ataenda gizani.

Akifika.Wataangalia kwenye matunguri yao,nayo yataiona hiyo laana,hapo hapo ndipo watapitia.Hapo hapo ndipo palipo na njia ya kupitishia pigo. Ataanza kudondoka mmoja mmoja mpaka waishe. Labda neema ya Kristo iingie ndani yao ndipo watapata nafasi ya kutengeneza.

Ikiwa roho ya mauti inatembea ndani ya familia Ebu chunguzeni hapo ndani au kwenu kuna mlango gani usio wa haki na uko wazi,angalieni kazini kwenu,angalieni kwenye uko wenu huko nyuma kuliwahi kutokea nini?

Na huyo anayetembelewa muangalieni machoni pake anaangalia kwa namna gani,?

1.Anaona aibu isiyo ya kawaida?
2.Anakuwa ni mtu wa mawazo hana furaha tena?
3.Amejikatia tamaa anasema bora afe tu maana hana thamani?
4.Macho yake ni kama yana Ukungu haoni vizuri?
5.Amekosa nuru ,uso wake umefifia?
6.Rangi ya uso wake ni kama mtu aliyekufa, yaani mfu?
7.Hapendi ushauri, anajitenga na hataki tena maombi?

"Iwapo utagundua dalili kama hizi ujue huyo mtu ameshavishwa roho ya mauti kupitia jini maiti."

Ikiwa upo katika kundi la watu,au sehemu ukasikia watu unaowafahamu wanazungumza mambo ya vifo,yaani wao kila wakikuona ni mambo ya kufa kufa tu,shtuka kwamba wameshapatana na mauti ili wakutupie, mara nyingi hii huitafutia sababu ya wivu, ugomvi usio wa lazima,ila hasa ni 'WIVU WA MAENDELEO.'

Wanaweza kusema hivi,yaani mtaani kwetu kuna mtu kagongwa na gari ghafla akafa muda huo huo,tena alikuwa amevaa nguo za rangi hii na ile( wakati huo huo wewe umevaa hivyo hivyo).

Au kazini kwa rafiki yangu kuna mama kapigiwa simu na mumewe kwamba mtoto wao ameumwa ghafla wakati wanampeleka hospitali wakakuta amekufa tayari jamani,yaani Amelia huyo hadi huruma.Wanafiki sana wanajifanya kujisikitisha.

Au kuna mwenzetu nasikia kafukuzwa kazi kwasababu ya kuchelewa kufika kazini!

SASA UTAJUAJE NI WEWE?

Kila wakiongea maongezi ya hivi mara nyingi hujikuta wewe moyo wako unauma, na kweli saa nyingine unaweza kurudi nyumbani na kukuta vitoto vyako vyote vimejikunyata eti vinaumwa, hapa shtuka.

Kama ni kazini bosi wako anakuazishia bifu, anakuchukia ghafla,anakugombeza pasipo sababu za msingi,kwenye ndoa hivyo hivyo mnaanza kugombana kwa vitu vya kijinga. Mambo ni mengi siwezi kuyaandika yote nikayamaliza.

SASA UFANYEJE ILI ROHO YA MAUTI ISIKUFUATILIE?

Kwanza wao wamepatana na kuzimu ili wakutimie hiyo roho na kukupata.Kwa kuwa ndio hivyo,Kumbuka imeandikwa kwamba mapatano yenu na kuzimu mliyopatana na mauti hayatafanikiwa, nayakataa, mimi sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo makuu ya Mungu.

Wewe ndugu msomaji unayo nguvu ya kuzuia hiyo mauti isikufuatilie katika maisha yako.

MITHALI.18:21.

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi;nao wao waupendao watakula matunda yao

Kwahiyo unaweza kuizuia kwa kuikataa kama wao walivyopatana na kukutumia. Kwa kutumia silaha ya neno la Mungu, upanga wa Mungu na damu ya Yesu inakutoa katika maangamizi ya roho za mauti,hata ziwe nyingi kiasi gani;Bwana Yesu atakutetea na kukushindia.

ISAYA 54:17
Kila silaha itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yangu katika hukumu nitauhukumu kuwa mkosa.

Hapa lazima utumie kuongea kwa kinywa chako na ulimi wako kama jinsi wao walivyofanya, au hata waliokufa walivyoacha wametamka, nawe tamka kinyume chake.

ILA UNATAMKA KATIKA ULIMWENGU UPI?

Ni ulimwengu wa Nuru ambao mtawala wake ni Yesu Kristo aliye hai peke yake.Huko kwingine ni upotofu tu.Wao huwa wanasalitiana na kuraruana.

Ikiwa utamkiri Yesu,au uliwahi kumkiri Yesu kwa kinywa chako, basi unayo haki ya kutumia neno lake kukufungua kutoka katika maagano na madhabahu ya vifo vinavyotokana na shetani.

Ndio maana huwa ninawashangaa watu wanaombea marehemu eti wasamehewe dhambi zao huwa ni kujilisha upepo tu,wafu hawana walijualo kama ni adhabu huwa tayari wameshahukumiwa katika mauti ya kwanza, wamengoja mauti ya pili siku ile ya mwisho wakamilishe hukumu zao.

Mungu hana muda wa kusikiliza maombi ya wafu, yeye ni Mungu wa walio hai siku zote.Tunatengeneza tukiwa hapa hapa duniani, na siyo baada ya kufa.

Kwahiyo kufuatwa fuatwa na watu waliokufa siyo dalili njema,kuna mambo yako mengi yanafuatiliwa na mauti ikiwemo na roho yako mtu wa Mungu. Kataa hizi roho za namna hii.

"Na unazikataa kwa kumkiri Yesu Kristo".

WARUMI 10:9-12.

Kwasababu,ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu,utaokoka.

Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki,na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.

Kwa maana andiko lanena,kila amwaminiye hatatahayarika kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani;maana yeye yule ni Bwana wa wote,mwenye utajiri kwa wote wamuitao.

Kwahiyo ndugu zangu nyote Yesu anawapenda,uwe Mkristo muite atakuitikia, uwe Muislamu muite atakuitikia, uwe mpagani muite naye atakuitikieni, anachoangalia ni kukiri kwako,achana na stori za kijinga huko mtaani kwamba Yesu ni wa Wayahudi tu.Tangu mwanzo hata sasa Yeye ni wa wote.

Sisi tunaomtumikia ndio tunajua watu anaowahudumia wenye imani na jina lake,Waislamu tunawaombea wanapona, Wakristo hivyo hivyo,hata ambao hawana dini wanapona vile vile baada ya kuliamini jina lake.

Nitawapa ushuhuda kidogo.(Mtanisamehe mimi ni Mwalimu huwa ninafundisha kwa mifano halisi ).

Siku moja niliitwa na Mwalimu wa sekondari niende shuleni kwake ana maongezi na mimi.Nikaitikia wito wake.

Nilivyofika pale shuleni akanieleza alichoniitia, ila kabla sijaondoka akaniomba niwafanyie maombi wanafunzi wake maana walikuwa wamebakiwa na wiki moja ya kufanya mtihani wao.

Nikaingia darasani nikawauliza mnahitaji maombi,wote wakaitikia ndiyo. Nikawaambia kila mmoja afunge macho ili tuombe (kufumba macho na kuomba ni ile hali ya kuingia rohoni ili usione vitu vya nje ukashindwa kumakinika).

Niliomba kama dakika 5, nikasema itikieni Amina. Wakaitikia, ila baadhi hawakuinua vichwa vyao,walibaki wameinamia chini kwenye madawati. Ni wadada na hijabu zao.

Nikajiuliza wamesinzia au? Nikasogea karibu nijue kulikoni. Kumbe masikini walikuwa wanalia machozi kabisaaa.

Nikapata jibu kwamba wameguswa na furaha ya Yesu na kutuliwa mizigo yao; hawajawahi kuisikia hii hali.Watumishi wa Mungu nyinyi ni mashahidi mkiwaombea Waislamu huwa wanawahi kupokea kuliko Wakristo,na wanawake wengi wa Kiislamu huwa wanalia machozi sana katika maombezi au baada ya maombezi.

KWANINI?

"Yesu huwa anawapokea haraka na kuwaonyesha kwamba mimi NDIYE MUNGU,huwa mnadanganywa msinijue lakini MIMI NIPO AMBAYE NIKO."

YESU ANAWAPENDA NYOTE.

Mfano mwingine nilienda kwa mpemba alikuwa anaumwa mguu kwa muda mrefu sana,nikamuombea, dakika 10 nyingi akasimama akaanza kusema sisikii maumivu kama mwanzo nayasikia kwa mbali.

Nikamwambia subiri hadi kesho utaona utaamka vipi.Kesho asubuhi anaamka, anasema mtumishi yaani hata sielewi sisikii maumivu kabisa nimepona, maombi yako yamefanya kazi.

Nikamwambia Yesu huyoo, akasema ni kweli ameniponya. Hadi leo hii hawezi kusahau. Kumbe Yesu anawaponya hata wapemba Waislamu.Yesu hana ubaguzi,muite wakati wowote naye atakuponya na shida zako zote.

Mwingine anaweza kuhisi ninatanganza dini,mimi sina kanisa,huduma,wala ushirika popote,hivi ukiomba mwenyewe kimya kimya nani atajua kwamba ulikuwa unaomba?

Jaribu mwenyewe uone kama hutapata matokeo chanya kupitia hapa hapa mtandaoni. WOKOVU NI SASA,USINGOJE KESHO,KWA MAANA HUJUI SAA WALA SIKU YESU ANARUDI SAA NGAPI KULINYAKUA KANISA LAKE.

MUNGU AWABARIKI SANA.
Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa kazi kubwa unayofanya na ufafanuzi unaoeleweka vyema....

Nimekuelewa vyema sana.
 
Hivi haya mambo siyo yanawahusu watu wa Israel kweli!!
Mbona mnatukana mizimu wakati ilifanya kazi kubwa sana wakati wa njaa, vita na majanga mengine mengi tu hapa nchini
Ulimwengu wa nuru ni kwa watu wote ndg yangu.Hiyo mizimu kuwasaidia watu haitoi msaada pasipo masharti magumu na ukikengeuka adhabu yake ni kali,isitoshe mwisho wa uhai wako unaenda kuishi sehemu isiyo salama maisha yako yote.

Mizimu haitoi suluhisho la kudumu bali ni la muda mfupi na baadaye hugeuka na kuleta mateso kwa hao waliosaidiwa.

Nikikupa shuhuda za mizimu jinsi ilivyotesa familia yangu,inavyoendelea kuwatesa ndugu zangu;huwezi kuvaa viatu vyangu.

Unavyoona naandika hapa,siandiki kwa kujifurahisha, siandiki vitu nilivyosimuliwa, bali vitu vingi ni uhalisia wa maisha yangu,mapito yangu ni shule kwa wengine,gharama zangu kujua hivi vitu ni fundisho kwa wengine,furaha yangu ni kuona watu wengi zaidi wanafaidika na hiki ninachofundisha ili wasije wakajikuta katika maisha magumu,ya dhiki, magonjwa,umasikini na ufukara kama uliokuwa unaishi ndani ya maisha yangu na uliosababishwa na hiyo mizimu.

"Ninapenda kuona watu wengi wanaishi kwa amani,upendo,uhakika wa kuishi wenye ulinzi wa Mungu kama neema iliyo juu yangu."

Ahsante.
 
Mkuu 7seven kwa kifupi niseme tu kua mafundisho yako yameokoa wengi sana ambao huenda walikua katika njia panda wasijue nivip wasimame kiimani. Mungu atukuzwe na jina lake lihimidiwe na watu wote wamtumainiao na akubariki pia uzid kutuongoza katika kweli. Akuzidishie palipo punguka.

Swali langu pia nihili. Kabla sijasimama kiimani nlikua mpuuziaj mzur wandoto haijalishi ikoje ila toka nijitambue megundua ndoto nyingi niotazo zina maana ndani yake.

Kuna ndoto nomeziota mara kazaa nayo ni hii . Nimeota mara nyingi hua naenda uani kujisaidia labda haja kubwa. Lakini naweza kuta kuna vyoo vingi ila vyote nivichafu sana kiasi kwamba vinatia kinyaa na nikizubaa naweza shika hata kinyesi. Hii ndoto meiota mara kazaa haifanan mazingira ila lazima vyoo viwe vichafu mno. Jana pia nimeota naenda uani kujisaidia na kabla cjafika kinyesi kiliniponyoka ila ckujinyea . Na pia nilivyofika vyooni vyote vilikua vichafu chakwanza nkasafisha ili nijisaidie. Kisha nkarudi mara yapili nkakuta tena nikichafu nkakiacha nkaenda chapili nkakuta nikichafu zaid nkarud kile chakwanza nkakisafisha pia nkajisaidia je hii ndoto ya vyoo vichafu kupindukia inamaana gani?. Unakuta watu wamejisaidia ovyo bila kusafisha nikiingia nakosa wapi pakujisaidia namimi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUINUKA KWA ROHO YA MAUTI.
Hii inasababishwa na mambo mengi sana ambayo kwa kujibu swali lako ni ngumu kuyaorodhesha yote hapa.

Ila sababu kubwa zaidi ambazo hupelekea yote haya ni MADHABAHU,MAAGANO,MAMLAKA na UTAWALA wa huyo mtu aliyekusudiwa hiyo roho ya mauti.

Ndoto zote zinazohusiana na watu waliokufa siyo nzuri,wawe ni wazazi,ndg,jamaa na marafiki,au hata watu wasiojulikana.Hizi siyo ndoto nzuri hata kidogo.

Kwasababu roho ya huyo mtu inakuwa na mahusiano na roho za hao waliokufa ambao wao wako katika ulimwengu mwingine; huku aliye hai yuko katika ulimwengu wa mwili.Haitakiwi kuwepo mawasiliano ya watu waliokufa na walio hai,kwa kuwa waliokufa hawajui chochote kinachoendelea hapa duniani.

MTU ATAULIZA KWANINI SASA IWE HIVYO.

Tazama hapa.MUHUBIRI 9:5

"Kwasababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa;lakini wafu hawajui neno lolote,wala hawana ijara tena;maana kumbukumbu lao limesahauliwa."

SASA HUWA NI AKINA NANI TUNAWAOTA KWA SURA TUNAZOZIJUA?

"Mtu anaweza kumuona mzazi wake, mume/mke wake,mtoto wake,rafiki yake n.k,akizungumza naye mambo ya kawaida au hata mambo ya siri na yote hayo yasemwayo ni hakika ,yaani kweli kabisa." Hii isimpe uhalali kwamba yuko katika njia za haki.

Ndio maana unaweza kukuta mtu anasema yeye akiota ndoto huwa ni za kweli,akimuotea mtu hutokea hivyo hivyo kama alivyoota, na wakati huo huo ni mtenda dhambi kama zote.

Hapa kinachofanyika ni mapepo ambayo huvaa sura za hao wahusika na kuja kwa huyo mtu,mara nyingi sehemu za namna hii ni zile zenye chimbuko la kuabudu mizimu,familia za kichawi,kishirikiana,za waganga wa kienyeji, kutambikia mizimu na makafara ya kila aina.

KIUFUPI,ni familia zenye madhabahu ya miungu zilizo hai,mapepo na mizimu ipo mahali hapo,inawaongoza na kuwapa maelekezo ya jinsi ya kuendelea kuitunza hiyo madhabahu ili iendelee kupata huduma, hasa katika KUABUDIWA.

Madhabahu zina mambo mengi,sasa ikiwa katika familia kuna mtu anatembelewa na hiyo roho ya mauti kwa kuota watu waliokufa, kuota sana makaburini,anaota anazikwa, jeneza,sanda, au amekufa. Hapo kuna uwezekano ametumiwa hiyo roho ili imvae na iharibu afya yake,mambo yake na hata uhai wake.Haiji hivi hivi mpaka awepo mtu mwingine wa kuituma.

Ikishatumwa itaamua imuondoe kwa ajali,kuumwa sana,au muda mfupi,kifo cha ghafla, kujiua, kuua na kisha kujiua.

Na hii roho ikiingia kwenye familia itawasumbua sana,inaweza kuua hata ndg watano mpaka mshtuke. Ikiingia ofisini inaweza ikawamaliza Wakurungenzi, Mameneja, Viongozi wakubwa,wafanyakazi wa kawaida mpaka wafanyakazi wengine wakaanza kuikimbia Ofisi kwa kuacha kazi ili wazinusuru roho zao.

Hii roho inawezekana ikaja kwa njia ya laana, yaani ndani ya familia,kazini au nchi kuna dhuluma iliwahi kutendeka kwa mtu aliyekuwa na haki ,akadhulumiwa aidha kiwanja,shamba,nyumba,pesa,cheo chake,au nafsi yake ikafa (mauti).

Sasa ile nafsi inarudi kulipa kisasi, au kuna aliyejua huo mchezo kisha akatamka kwamba hata kama mmemuua huyu mtu kwa kosa ambalo hakulitenda ipo siku yatawarudia.

Kwahiyo ardhi ilisikia, ikayatunza. Sasa anatokea mtu anataka cheo cha huyo muhusika, au ushindani wa kazi na biashara; sasa huyu mtu anataka amshushe chini mpinzani wake,hapa hawezi kwenda kwenye ulimwengu wa nuru maana anajua hakuna maombi ya hila,ataenda gizani.

Akifika.Wataangalia kwenye matunguri yao,nayo yataiona hiyo laana,hapo hapo ndipo watapitia.Hapo hapo ndipo palipo na njia ya kupitishia pigo. Ataanza kudondoka mmoja mmoja mpaka waishe. Labda neema ya Kristo iingie ndani yao ndipo watapata nafasi ya kutengeneza.

Ikiwa roho ya mauti inatembea ndani ya familia Ebu chunguzeni hapo ndani au kwenu kuna mlango gani usio wa haki na uko wazi,angalieni kazini kwenu,angalieni kwenye uko wenu huko nyuma kuliwahi kutokea nini?

Na huyo anayetembelewa muangalieni machoni pake anaangalia kwa namna gani,?

1.Anaona aibu isiyo ya kawaida?
2.Anakuwa ni mtu wa mawazo hana furaha tena?
3.Amejikatia tamaa anasema bora afe tu maana hana thamani?
4.Macho yake ni kama yana Ukungu haoni vizuri?
5.Amekosa nuru ,uso wake umefifia?
6.Rangi ya uso wake ni kama mtu aliyekufa, yaani mfu?
7.Hapendi ushauri, anajitenga na hataki tena maombi?

"Iwapo utagundua dalili kama hizi ujue huyo mtu ameshavishwa roho ya mauti kupitia jini maiti."

Ikiwa upo katika kundi la watu,au sehemu ukasikia watu unaowafahamu wanazungumza mambo ya vifo,yaani wao kila wakikuona ni mambo ya kufa kufa tu,shtuka kwamba wameshapatana na mauti ili wakutupie, mara nyingi hii huitafutia sababu ya wivu, ugomvi usio wa lazima,ila hasa ni 'WIVU WA MAENDELEO.'

Wanaweza kusema hivi,yaani mtaani kwetu kuna mtu kagongwa na gari ghafla akafa muda huo huo,tena alikuwa amevaa nguo za rangi hii na ile( wakati huo huo wewe umevaa hivyo hivyo).

Au kazini kwa rafiki yangu kuna mama kapigiwa simu na mumewe kwamba mtoto wao ameumwa ghafla wakati wanampeleka hospitali wakakuta amekufa tayari jamani,yaani Amelia huyo hadi huruma.Wanafiki sana wanajifanya kujisikitisha.

Au kuna mwenzetu nasikia kafukuzwa kazi kwasababu ya kuchelewa kufika kazini!

SASA UTAJUAJE NI WEWE?

Kila wakiongea maongezi ya hivi mara nyingi hujikuta wewe moyo wako unauma, na kweli saa nyingine unaweza kurudi nyumbani na kukuta vitoto vyako vyote vimejikunyata eti vinaumwa, hapa shtuka.

Kama ni kazini bosi wako anakuazishia bifu, anakuchukia ghafla,anakugombeza pasipo sababu za msingi,kwenye ndoa hivyo hivyo mnaanza kugombana kwa vitu vya kijinga. Mambo ni mengi siwezi kuyaandika yote nikayamaliza.

SASA UFANYEJE ILI ROHO YA MAUTI ISIKUFUATILIE?

Kwanza wao wamepatana na kuzimu ili wakutimie hiyo roho na kukupata.Kwa kuwa ndio hivyo,Kumbuka imeandikwa kwamba mapatano yenu na kuzimu mliyopatana na mauti hayatafanikiwa, nayakataa, mimi sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie matendo makuu ya Mungu.

Wewe ndugu msomaji unayo nguvu ya kuzuia hiyo mauti isikufuatilie katika maisha yako.

MITHALI.18:21.

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi;nao wao waupendao watakula matunda yao

Kwahiyo unaweza kuizuia kwa kuikataa kama wao walivyopatana na kukutumia. Kwa kutumia silaha ya neno la Mungu, upanga wa Mungu na damu ya Yesu inakutoa katika maangamizi ya roho za mauti,hata ziwe nyingi kiasi gani;Bwana Yesu atakutetea na kukushindia.

ISAYA 54:17
Kila silaha itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yangu katika hukumu nitauhukumu kuwa mkosa.

Hapa lazima utumie kuongea kwa kinywa chako na ulimi wako kama jinsi wao walivyofanya, au hata waliokufa walivyoacha wametamka, nawe tamka kinyume chake.

ILA UNATAMKA KATIKA ULIMWENGU UPI?

Ni ulimwengu wa Nuru ambao mtawala wake ni Yesu Kristo aliye hai peke yake.Huko kwingine ni upotofu tu.Wao huwa wanasalitiana na kuraruana.

Ikiwa utamkiri Yesu,au uliwahi kumkiri Yesu kwa kinywa chako, basi unayo haki ya kutumia neno lake kukufungua kutoka katika maagano na madhabahu ya vifo vinavyotokana na shetani.

Ndio maana huwa ninawashangaa watu wanaombea marehemu eti wasamehewe dhambi zao huwa ni kujilisha upepo tu,wafu hawana walijualo kama ni adhabu huwa tayari wameshahukumiwa katika mauti ya kwanza, wamengoja mauti ya pili siku ile ya mwisho wakamilishe hukumu zao.

Mungu hana muda wa kusikiliza maombi ya wafu, yeye ni Mungu wa walio hai siku zote.Tunatengeneza tukiwa hapa hapa duniani, na siyo baada ya kufa.

Kwahiyo kufuatwa fuatwa na watu waliokufa siyo dalili njema,kuna mambo yako mengi yanafuatiliwa na mauti ikiwemo na roho yako mtu wa Mungu. Kataa hizi roho za namna hii.

"Na unazikataa kwa kumkiri Yesu Kristo".

WARUMI 10:9-12.

Kwasababu,ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana,na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu,utaokoka.

Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki,na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.

Kwa maana andiko lanena,kila amwaminiye hatatahayarika kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani;maana yeye yule ni Bwana wa wote,mwenye utajiri kwa wote wamuitao.

Kwahiyo ndugu zangu nyote Yesu anawapenda,uwe Mkristo muite atakuitikia, uwe Muislamu muite atakuitikia, uwe mpagani muite naye atakuitikieni, anachoangalia ni kukiri kwako,achana na stori za kijinga huko mtaani kwamba Yesu ni wa Wayahudi tu.Tangu mwanzo hata sasa Yeye ni wa wote.

Sisi tunaomtumikia ndio tunajua watu anaowahudumia wenye imani na jina lake,Waislamu tunawaombea wanapona, Wakristo hivyo hivyo,hata ambao hawana dini wanapona vile vile baada ya kuliamini jina lake.

Nitawapa ushuhuda kidogo.(Mtanisamehe mimi ni Mwalimu huwa ninafundisha kwa mifano halisi ).

Siku moja niliitwa na Mwalimu wa sekondari niende shuleni kwake ana maongezi na mimi.Nikaitikia wito wake.

Nilivyofika pale shuleni akanieleza alichoniitia, ila kabla sijaondoka akaniomba niwafanyie maombi wanafunzi wake maana walikuwa wamebakiwa na wiki moja ya kufanya mtihani wao.

Nikaingia darasani nikawauliza mnahitaji maombi,wote wakaitikia ndiyo. Nikawaambia kila mmoja afunge macho ili tuombe (kufumba macho na kuomba ni ile hali ya kuingia rohoni ili usione vitu vya nje ukashindwa kumakinika).

Niliomba kama dakika 5, nikasema itikieni Amina. Wakaitikia, ila baadhi hawakuinua vichwa vyao,walibaki wameinamia chini kwenye madawati. Ni wadada na hijabu zao.

Nikajiuliza wamesinzia au? Nikasogea karibu nijue kulikoni. Kumbe masikini walikuwa wanalia machozi kabisaaa.

Nikapata jibu kwamba wameguswa na furaha ya Yesu na kutuliwa mizigo yao; hawajawahi kuisikia hii hali.Watumishi wa Mungu nyinyi ni mashahidi mkiwaombea Waislamu huwa wanawahi kupokea kuliko Wakristo,na wanawake wengi wa Kiislamu huwa wanalia machozi sana katika maombezi au baada ya maombezi.

KWANINI?

"Yesu huwa anawapokea haraka na kuwaonyesha kwamba mimi NDIYE MUNGU,huwa mnadanganywa msinijue lakini MIMI NIPO AMBAYE NIKO."

YESU ANAWAPENDA NYOTE.

Mfano mwingine nilienda kwa mpemba alikuwa anaumwa mguu kwa muda mrefu sana,nikamuombea, dakika 10 nyingi akasimama akaanza kusema sisikii maumivu kama mwanzo nayasikia kwa mbali.

Nikamwambia subiri hadi kesho utaona utaamka vipi.Kesho asubuhi anaamka, anasema mtumishi yaani hata sielewi sisikii maumivu kabisa nimepona, maombi yako yamefanya kazi.

Nikamwambia Yesu huyoo, akasema ni kweli ameniponya. Hadi leo hii hawezi kusahau. Kumbe Yesu anawaponya hata wapemba Waislamu.Yesu hana ubaguzi,muite wakati wowote naye atakuponya na shida zako zote.

Mwingine anaweza kuhisi ninatanganza dini,mimi sina kanisa,huduma,wala ushirika popote,hivi ukiomba mwenyewe kimya kimya nani atajua kwamba ulikuwa unaomba?

Jaribu mwenyewe uone kama hutapata matokeo chanya kupitia hapa hapa mtandaoni. WOKOVU NI SASA,USINGOJE KESHO,KWA MAANA HUJUI SAA WALA SIKU YESU ANARUDI SAA NGAPI KULINYAKUA KANISA LAKE.

MUNGU AWABARIKI SANA.
Amina🙏🏽
 
Kwa ambaye amepewa jina sio halisi..

Anawezaje kujikomboa bila kubadili jina

Ndugu zetu waislamu wao wanawezaje kujikomboa maana umesema dini sio ishu ola maelekezo yako ni km yame base kwenye ukristo..je waislamu wanawezaje kutumia ufalme wa nuru kujikomboa???ikiwa sisi tunatumia damu ya yesu?Wao???

Mada ni nzuri na fikirishi lakini ime base kwenye imani moja ya kikristo tu ,vip budhaa?waislamu?Jews?
Kwani mpaka hapo kama haupo upande wa Nuru bado hujajua Upande wako Mkuu....!

Pande zipo mbili tu...!
 
Back
Top Bottom