Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Ninajua kuna thread inaendelea ya namna ya ku-download mkataba kwa wale watakaofanikiwa ila ninauliza kama ni vyema kuweka hapa vipengere vya mkataba vikajadiliwa na wale wenye utaalamu wa maneno ya kisheria....
Kwa leo nitaweka kipengere cha 4 kinachohusu pesa hapa na baadae nitaweka vingine au kama kuna mtu anataka anaweza kuweka hizo parts zingine!
Katika uk wa saba (7) wa mkataba wa buzwagi... kuna hili:
ARTICLE 4 FISCAL TERMS
Kipengere cha 4.2 kitaendelea hapo chini
Kwa leo nitaweka kipengere cha 4 kinachohusu pesa hapa na baadae nitaweka vingine au kama kuna mtu anataka anaweza kuweka hizo parts zingine!
Katika uk wa saba (7) wa mkataba wa buzwagi... kuna hili:
ARTICLE 4 FISCAL TERMS
4.1 The Company shall pay to the Government:
4.1.1 a royalty at the rate of 3% on the Net Back Value of all minerals produced from the Contract Area, other than diamonds, in respect of which the royalty shall equal 5% of the Net Back Value; and
4.1.2 stamp duty under the Stamp Duty Act No. 20 of 1972, as in effect on the Fiscal Stabilization Date.
4.1.3 for each year of production the amount of US$ 125,000 by 31st December of each calendar year a contribution to the Empowerement Fund
Kipengere cha 4.2 kitaendelea hapo chini