Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,597
๐ ๐ ๐ mnakula pilau lenu mnasepa๐
Zile hazinaga Pilau. Mkihurumiwa sana ni chai na maandazimnakula pilau lenu mnasepa
![]()
naona una kauzofu..tiritika baba
dah..ndoa ya bites tu..unajinyakulia mke kiulainiii
.. Hizi bana zinatokeaga mazingira yasiyotarajiwa. Mzee kamkuta binti yake red handed na jamaa, basi wanamaliza kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi kofia sizipendagi kinyama, i rather stay bald headed!Habari ya 'weekend' wakuu?
Mimi nimekuwa mpenzi sana wa uvaaji kofia. Na kofia ninayoipendelea zaidi ni zile wazungu waziitazo Ivy Caps.
Lipo jambo moja ambalo nimelishuhudia tangu ninakua, ni kuwa ukikutana na mtu aliyekuzidi umri then ukawa unamsalimia basi ile kofia unaivua, baada ya salamu unaivaa. Nami kwa kufuata mazoea basi huwa nafanya hivyo pia.
Basi leo nimemsaliamia mzee mmoja nikajisahau kuivua, yule mzee hakuonesha kukwazika, kinyume na nilichokitegemea.
Swali ninalouliza, je uvaaji kofia ni ishara ya uhuni kwa mila zetu watanzania? Au ni baadhi ya makabila tu?
Na kutovua kofia wakati wa salam je nao ni uhuni?
View attachment 1056316View attachment 1056317View attachment 1056318
Sent using Jamii Forums mobile app
yaan unaonekana km umetoka kolomije๐ ...hazina shape nzuri at all..Hizi kofia sizipendagi kinyama, i rather stay bald headed!
Hahaha umeishaaa!!!Sikutegemea ungekuja huku kuniabisha kiasi hiki....
Swali la Msingi, kwa unavyonifaham je kwa kuvaa kofia tu naweza kuwa categorized muhuni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwaza mzee Ojuang ndio huvaa hizo mambo naona eiis###!yaan unaonekana km umetoka kolomije๐ ...hazina shape nzuri at all..
๐๐๐๐๐Nikiwaza mzee Ojuang ndio huvaa hizo mambo naona eiis###!
๐๐๐๐๐ ile sio Cap, ni "Kapelo"Ushamba mzigo,huoni hata anko magu siku ile taifa stars ilivoshinda alitupia cap ya njano..
Cap ni ipi jaman..๐๐๐๐๐ ile sio Cap, ni "Kapelo"
Kwahiyo hata jpm naye muhuni? Mbona juzi wakati anaangalia mechi ya T/stars pale white house alikuwa amevaa kofia?..jamani nahis tumepishana...mm ht kwangu hukanyagi...kofia???hapana aisee..ndiyo unakuwa km mhuni mhuni vile
Kwahiyo hata jpm naye muhuni? Mbona juzi wakati anaangalia mechi ya T/stars pale white house alikuwa amevaa kofia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa sivai nimeanza kipindi hiki japo baby wangu hapendimimi sipendezewi...nakua najis uncomfortable kuishi na mwanaume wa aina hyo
View attachment 1056662
Ukiskia Cap ndio kama hii!
Kofia sio kitu mbaya ila inategemea na aina gani unavaa na time gani! Mfano mie napenda manzi yangu avae kofia af atolee kinywele nyuma kule kama mcheza tennis! Inanibamba sana!mimi sipendezewi...nakua najis uncomfortable kuishi na mwanaume wa aina hyo
Mimi nilikuwa sivai nimeanza kipindi hiki japo baby wangu hapendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah we utakuwa unachukulia sivyo, ila love is compromising! Sikulaumu maana pia mie sipendi mwanamke avae vikuku in the same manner we haupendi mtu avae kofia.yes hii namim naijua inaitwa cap..ss men wa age a 35 avae hii mm sipend kbs..sasa wadogo zake wa 23 wavae nn..mm hapana kwakweli