UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,015
Wanajamvi msaada, Mke wangu mtarajiwa amenishauri tununue kiwanja nikakubali na tukaamua kukinunua kiwanja hicho milioni mbili na akalazimisha tuandike majina ya mtoto wetu wa kwanza.
Tulizozana kidogo lakini nikakubali, sasa ananishauri na mimi nikakope benki ili tukajenge kwenye kiwanja chake maana anasema amechoka sana kupanga na ni gharama.
Je, kuna madhara kwangu kwa kuandika jina la mtoto kwasababu najua hicho kiwanja ni mke wangu aliyekinunua?
Tulizozana kidogo lakini nikakubali, sasa ananishauri na mimi nikakope benki ili tukajenge kwenye kiwanja chake maana anasema amechoka sana kupanga na ni gharama.
Je, kuna madhara kwangu kwa kuandika jina la mtoto kwasababu najua hicho kiwanja ni mke wangu aliyekinunua?