MWANAHARAKATI MWEMA
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 209
- 303
Namshukuru mungu mwingi wa Rehema na muumbambaji wa vitu vyote vilivyopo duniani.
Mimi ninampango wa kuanza kufanya shughuli za kilimo ili nifanikiwe, sasa katika kufuatilia utaratibu nitumie kilimo kipi Kwa maana nikodi mashamba au ninunue ndipo nikapewa mchongo na mtu ambaye nafahamiana naye kwamba kuna eneo lenye majaruba linauzwa.
Nikaenda kufuatilia NI kweli maeneo ni mazuri na kuna mtaro, shida ikaja kwamba nikagundua maeneo hayo siku chache zilizopita yalikuwa na MGOGORO ila kesi ilikwisha wauzaji walishinda kesi.
Sasa wanajamvi naombeni ushauri eneo hilo kupata gunia 150 NI kawaida ila Nina hofu nisije toa pesa nikajiingiza kwenye matatizo na hasara, na pesa yenyewe ni ya mkopo naona kama pesa yangu inatamaniwa na shetani.
Asanteni.
Mimi ninampango wa kuanza kufanya shughuli za kilimo ili nifanikiwe, sasa katika kufuatilia utaratibu nitumie kilimo kipi Kwa maana nikodi mashamba au ninunue ndipo nikapewa mchongo na mtu ambaye nafahamiana naye kwamba kuna eneo lenye majaruba linauzwa.
Nikaenda kufuatilia NI kweli maeneo ni mazuri na kuna mtaro, shida ikaja kwamba nikagundua maeneo hayo siku chache zilizopita yalikuwa na MGOGORO ila kesi ilikwisha wauzaji walishinda kesi.
Sasa wanajamvi naombeni ushauri eneo hilo kupata gunia 150 NI kawaida ila Nina hofu nisije toa pesa nikajiingiza kwenye matatizo na hasara, na pesa yenyewe ni ya mkopo naona kama pesa yangu inatamaniwa na shetani.
Asanteni.