Je, ni busara kujenga nyumba kwa milioni 150 kisha kukusanya kodi laki 6 kwa mwezi?

Jenga apartment za chumba self contain and kitchen kwa kutumia cheap matereals tofali za choma and modern finishing. Jenga nyingi katika compound moja.ie jenga apartment tano kwenye kiwanja kimoja so ukiwa na viwanja viwili unakua na apartment kumi, Apartment moja utarentisha kwa kwa 180-200. Jenga Mwanza, Dodoma Arusha. Mil150 inatosha usikurupuke kujenga bangaloo
 
Jenga apartment za chumba self contain and kitchen kwa kutumia cheap matereals tofali za choma and modern finishing. Jenga nyingi katika compound moja.ie jenga apartment tano kwenye kiwanja kimoja so ukiwa na viwanja viwili unakua na apartment kumi, Apartment moja utarentisha kwa kwa 180-200. Jenga Mwanza, Dodoma Arusha. Mil150 inatosha usikurupuke kujenga bangaloo
Kiwanja je???
 
Ndio maana nikasema kujenga mwanza, dodoma au arusha. Mfano mwanza kiwanja cha mil10 ni kikubwa na kinafikika kiufupi sio nje ya mji
Ndo akapange mtu 180 chumba n'a jiko
 

Attachments

  • Screenshot_20230409-173717_Chrome.jpg
    Screenshot_20230409-173717_Chrome.jpg
    118 KB · Views: 35
Case ya Kariakoo ni very unique and rare. Wote hapa tunajua nan kavuruga uchumi wa nchi na kupelekea hali hiyo, sema tu tunaogopa kumtaja. Ndo hapo utajua biashara ni siasa. So kuwa na imani, hii hali itabadilika 2026.
Na kweli saiv tupo 2024 Hali ishaanza kubadilika
 
Back
Top Bottom