Mabaharia ndio wanajua hili, ushaona wahindi wanahangaika na viwanja Goba, sijui chalinze , sijui Vikunai?Mmh inafikirisha Sana ndugu zangu
Hiyo pesa Bora ukaiweke UTT au BOT kuliko kumpa mtu binafsiHakuna uraisi uraisi ktk maisha kama unavyosema apa
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
USE DEAD MONEY PROTECT LIVE MONEY.Ngwanakilala,
Ingependeza kama ungedadavua hii kwa lugha mama.
Kwa kuwa umeshaamua kuelimisha, maji umeshayavulia nguo nadhani ungeoga tu.
Kiwanja je???Jenga apartment za chumba self contain and kitchen kwa kutumia cheap matereals tofali za choma and modern finishing. Jenga nyingi katika compound moja.ie jenga apartment tano kwenye kiwanja kimoja so ukiwa na viwanja viwili unakua na apartment kumi, Apartment moja utarentisha kwa kwa 180-200. Jenga Mwanza, Dodoma Arusha. Mil150 inatosha usikurupuke kujenga bangaloo
Ndio maana nikasema kujenga mwanza, dodoma au arusha. Mfano mwanza kiwanja cha mil10 ni kikubwa na kinafikika kiufupi sio nje ya mjiKiwanja je???
Ndo akapange mtu 180 chumba n'a jikoNdio maana nikasema kujenga mwanza, dodoma au arusha. Mfano mwanza kiwanja cha mil10 ni kikubwa na kinafikika kiufupi sio nje ya mji
Na kweli saiv tupo 2024 Hali ishaanza kubadilikaCase ya Kariakoo ni very unique and rare. Wote hapa tunajua nan kavuruga uchumi wa nchi na kupelekea hali hiyo, sema tu tunaogopa kumtaja. Ndo hapo utajua biashara ni siasa. So kuwa na imani, hii hali itabadilika 2026.