Je, Makonda naye yupo mtegoni, suala la watumishi hewa?

DOGO JANJA NAE NI WA KUTUMBULIWA TU.

Akiwasilisha ripoti ya watumishi hewa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema katika mkoa wake baada ya kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na kamati mbali mbali wamebaini kuwepo kwa watumishi hewa 73 ambao watumishi hao hewa wamepelekea serikali kupotea pesa zaidi ya Milioni 316 kwa mwaka mmoja.

“Katika mkoa huu tumepata watumioshi hewa 73,ila wengi watahoji mkoa huu mkubwa kwanini unakuwa na watumishi hewa wachache,nakata kukwambia Waziri, bado tunaendelea na uchunguzi wa kina”amesema Makonda .

Mkoa wa Arusha.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Daudi Felix Ntibenda amesema katika mkoa huo umegundurika kuwepo na watumishi hewa 270 ambao wamekuwa wakiisababishia hasara serikali ya Bilioni 1.8 kwa kipindi cha Mwaka mmoja.

Mkoa wa Mwanza.

Mkuu wa Mkoa wa John Mongella amesema mkoa wake umengundurika kuwepo kwa watumishi hewa 334.

Mkoa wa Pwani.

Mkuu wa Mkoa huyo, Mhandisi Evarist Ndikilo amesema Mkoa wake umekuwa na watumishi hewa 150 huku akishindwa kusema hasara ya fedha za serikali kwa madai kuwa uchunguzi unaendelea.

Mkoa wa Singida,

Mkuu wa mkoa wa huo,Mhandisi Methew Mtigumwe amesema kuwa wafanyakazi hewa katika mkoa wake,231nakueleza kuwa uchunguzi bado unaendelea ili kubaini zaidi.

BADO NAMTAKAFARI... namtafakur huyu DOGO JANJA na hii idadi yake bado sijaikubali ukizingatia hili jiji ndio kwenye waajiriwa lukuki kuzidi mikoa yote TZ wizara zote ziko hapa mpaka IKULU IKO HAPA.
 
Ingekuwa vizuri kama ungetuwekea idadi kamili ya watumishi hewa mkoa wa Dar es Salaam.
 
DOGO JANJA NAE NI WA KUTUMBULIWA TU.

Akiwasilisha ripoti ya watumishi hewa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema katika mkoa wake baada ya kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na kamati mbali mbali wamebaini kuwepo kwa watumishi hewa 73 ambao watumishi hao hewa wamepelekea serikali kupotea pesa zaidi ya Milioni 316 kwa mwaka mmoja.

“Katika mkoa huu tumepata watumioshi hewa 73,ila wengi watahoji mkoa huu mkubwa kwanini unakuwa na watumishi hewa wachache,nakata kukwambia Waziri, bado tunaendelea na uchunguzi wa kina”amesema Makonda .

Mkoa wa Arusha.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Daudi Felix Ntibenda amesema katika mkoa huo umegundurika kuwepo na watumishi hewa 270 ambao wamekuwa wakiisababishia hasara serikali ya Bilioni 1.8 kwa kipindi cha Mwaka mmoja.

Mkoa wa Mwanza.

Mkuu wa Mkoa wa John Mongella amesema mkoa wake umengundurika kuwepo kwa watumishi hewa 334.

Mkoa wa Pwani.

Mkuu wa Mkoa huyo, Mhandisi Evarist Ndikilo amesema Mkoa wake umekuwa na watumishi hewa 150 huku akishindwa kusema hasara ya fedha za serikali kwa madai kuwa uchunguzi unaendelea.

Mkoa wa Singida,

Mkuu wa mkoa wa huo,Mhandisi Methew Mtigumwe amesema kuwa wafanyakazi hewa katika mkoa wake,231nakueleza kuwa uchunguzi bado unaendelea ili kubaini zaidi.

BADO NAMTAKAFARI... namtafakur huyu DOGO JANJA na hii idadi yake bado sijaikubali ukizingatia hili jiji ndio kwenye waajiriwa lukuki kuzidi mikoa yote TZ wizara zote ziko hapa mpaka IKULU IKO HAPA.
Dogo janja siku zake zinaesabika.
The final episode.
 
Suala hili la kuchunguza watumishi hewa halikufanyika kitaalamu kabisa. Haiwezekani mtuhumiwa akajichunguza. Miaka ya nyuma Wizara ya Fedha ilikuwa ikituma wataalamu wake kuchunguza na kubaini watumishi hewa, njia iliyokuwa ikitumika ni kuhakiki 'physical' uwepo wa mtumishi ingawa kulikuwa na mafanikio lakini kuna sehemu walikuwa wanashindwa kuwabaini watumishi hewa aidha kwa kurubuniwa au kwa makosa mengine ya kibinaadamu.
Hili suala la watumishi hewa ni suala mtambuka kwa maana ya kuhusisha mamlaka nyingi za kiutendaji. Hivyo basi mamlaka zote husika zingehusishwa katika kuchunguza na kubaini watumishi hewa na sio kuwaachia Hazina au wakuu wa mikoa peke yao.
 
DOGO JANJA NAE NI WA KUTUMBULIWA TU.

Akiwasilisha ripoti ya watumishi hewa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema katika mkoa wake baada ya kufanya uchunguzi kwa kushirikiana na kamati mbali mbali wamebaini kuwepo kwa watumishi hewa 73 ambao watumishi hao hewa wamepelekea serikali kupotea pesa zaidi ya Milioni 316 kwa mwaka mmoja.

“Katika mkoa huu tumepata watumioshi hewa 73,ila wengi watahoji mkoa huu mkubwa kwanini unakuwa na watumishi hewa wachache,nakata kukwambia Waziri, bado tunaendelea na uchunguzi wa kina”amesema Makonda .

Mkoa wa Arusha.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Daudi Felix Ntibenda amesema katika mkoa huo umegundurika kuwepo nawatumishi hewa 270 ambao wamekuwa wakiisababishia hasara serikali ya Bilioni 1.8 kwa kipindi cha Mwaka mmoja.

Mkoa wa Mwanza.

Mkuu wa Mkoa wa John Mongella amesema mkoa wake umengundurika kuwepo kwa watumishi hewa 334.

Mkoa wa Pwani.

Mkuu wa Mkoa huyo, Mhandisi Evarist Ndikilo amesema Mkoa wake umekuwa na watumishi hewa 150 huku akishindwa kusema hasara ya fedha za serikali kwa madai kuwa uchunguzi unaendelea.

Mkoa wa Singida,

Mkuu wa mkoa wa huo,Mhandisi Methew Mtigumwe amesema kuwa wafanyakazi hewa katika mkoa wake,231nakueleza kuwa uchunguzi bado unaendelea ili kubaini zaidi.

BADO NAMTAKAFARI... namtafakur huyu DOGO JANJA na hii idadi yake bado sijaikubali ukizingatia hili jiji ndio kwenye waajiriwa lukuki kuzidi mikoa yote TZ wizara zote ziko hapa mpaka IKULU IKO HAPA.
 
Makonda mjanja sana amesema wataanza upya na zoezi endelevu! Ame cover forever! Mama Kilango alisahau kusema ni endelevu! Hata wa Mwanza ameagiza waanze upya!
Ulisikiliza kauli ya Kilango?, alisema exactly alichosema makonda kuwa zoezi ni endelevu
 
Back
Top Bottom