Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Qur-an 40;8 inakupatia mwangaza
Waislamu tutaingia na wake zetu peponi,ikiwa hawo wanawake watakuwa wema.
Lakini Hao wake zetu watakuwa Malkia, na Hao mahurl Ain ni kama wasaidizi wa malkia.
Jumla ni 70.
Huko ni kula na kupiga Rungu ndiyo mfano rahisi wa maisha ya Peponi.

Kwani hapa duniani tunahangaika kufanya kazi ili tupate nini?
si niKula,
Starehe,
Na kupiga rungu?
kuna jengine katika starehe unazozijua wewe hapa duniani?

Basi peponi kuna Suprize, Hakuna aliye wahi hata ku imagine.
Hatari sana. Mimi hapa kufanya ngono na wanawake 2 siwezi. Je, hao 72 nitawaweza? Kama mm ngono ni sehemu ndogo sana ya maisha yangu. Ukisema nifanye ngono au kwenda mbuga za wanyama. Nitachagua kwenda kwenye mbuga za wanyama. Dini ni michongo ya watu
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Hakuna kitu kama hicho, Muddy aliwaingiza chaka. Soma biblia kuna nini kiko huko utajua. Mpenda mademu ndio akuongoze unategemea nini. Hakuna tofauti na huyu mpenda madaraka aliesema ataenda kuwa kiongozi wa malaika, sijui kapewa huo uongozi.
 
Nyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain,
Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao..

Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Wapi wameandika au maelezo hayo umeyatoa wapi ?
 
Hizi habari za bikra ni stori za Mtume Mudi (Mo). Mbinguni/ahera zinaenda roho sio miili.

Mudi alitaka kuteka hisia za watu tu hapa.
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Umeuliza swali rahisi sana,soma humu uone atakacho lipwa mwanamke.

9:72, 33:35, 48:5, 57:12, 3:195, 32:17, 43:71.

Allah mambo mengi hajatutajia kuhusu hii Dunia na huko peponi. Kwahiyo jitahidini kufanya mema mtalipwa mengi mazuri.
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Umesahau kuuliza kuhusu yule mnayesema Ni MUNGU alipokuwa anapigwa makofi pale msalabani,

Iweje MUNGU apigwe makofi?

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Huo ni Ulaghai.
 
Kwamba Allah kazi yake itakuwa kukagua kama shughuri inaenda kama alivyopanga! Ni pombe na mabikira.
Ila hapa mtu anapaswa kushtuka!
Pombe na mabikira na abdala kichwa wazi aliyesimama muda wote.
Kwenye ushenzi wa pombe na wanawake si buguruni Mboka ?
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Kama hamjatajwa basi uko mbinguni hapawahusu nyie ni wa motoni tu
 
Kwanza jina "binadamu" si jina sahihi, kwa sababu linatokana na hadithi ya kwamba mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na sisi wote tumetoka kwake, hiyo habari ni ya uongo.

Kwa mujibu wa sayansi ya sasa, ushahidi wote unaonesha kuwa watu wamepata kuwa a species kutokana na evolution by natural selection, si kwa kumbwa na Mungu.

Sawa Mkuu nimekupata ,ngoja niperuzi kuhusu Evolution - Natural Selection.
 
Kwa mtu mwenye kiasi wanawake 72 ni wengi sana,ngono ni sehem ndogo sana kwenye maisha....kuna mambo mengi sana ya kufanya.
 
Back
Top Bottom