Unaona sifa kutokulala , inashauriwa kupumzisha fuvu masaa yasiopungua 8, mimi ikifika saa 4 usiku macho yanafunga kabisa😀
Uli sema watu Waki oana dozi ni kila saa, kwa style hii SI uta fukuzwa mapema😀🤣.

kingine Bora Sasa hivi, udogoni hata lile wazo la kulala, nilikuwa Sina.
So nili Soma vitabu na kuangalia movie kwa speed nzito 😀😀.
 
Namjua aliyekufanyia haya manyanyaso namjua 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣


Odo so vizuri ulivyomfanyie yule kaka pale kwa Mangi. ok tell me Ulimuachaje na zile ultimatum now or never😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
Chaaaaaa, 😂🤣😂 hapana sio mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom