The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,932
- 19,992
Ndio mademu wengi wa Sinza, Tabata na Kinondoni.mimi nikiona mwanamke ana tattoo akili moja kwa moja inanambia analiwa mbolea.
Mwwnamke akiwa na tatoo tu hata mashine haisimami kabisa.
Ndio mademu wengi wa Sinza, Tabata na Kinondoni.mimi nikiona mwanamke ana tattoo akili moja kwa moja inanambia analiwa mbolea.
Mkuu, kwani kwenda bar/club lazima uwe unakunywa bia?Kwamba wewe unauwezo wa kwenda samaki samaki ukaanza kunywa bandika bandua kuanzia saa 12 jioni hadi saa 6 usiku? Au ndo wale bia moja unakunywa masaa 2-3 unajifanya unakodolea TV enh
Hivi hao wote wanaokula bata za Tabata wamejenga?
Wewe unaongelea kujenga wakati mashahidi wa Yehova wanasubiri mfe waje wamiliki hizo nyumba zenu ktk ufalme ujao???Hivi hao wote wanaokula bata za Tabata wamejenga?
kwa hiyo mji ni bar!?Tabata ndiyo dar na dar ndiyo tabata...hujafika Tabata hujafika dar kwa wakati huu..usitumie nguvu sanaaa Kubisha we fanya kupita 40/40 na bar zingine week end hii utajionea kwanza kila baada ya nyumba kuna pub za maana
Ipo ivyo kweny biashara y baa watu wakisha wamaliza mabamedi wanahama zao kwa wapyaHatimae na mimi nafurahi kwa kufanikisha ndoto zangu za kuja kuishi Tabata, ila kwa kifupi ni kwamba tatizo la watu wa Tabata ni moja bar mpya ikifunguliwa watu woye wanahama bar ya zamani kwa mfano kwetu pazuri palikua pananoga sana ilipokuja 40/40 watu wakahamia 40/40 ikaenda wee ilipokuja Great Park watu wakahamia Great Park kiasi kwamba hata siku ya jumatatu panajaa shamra shamra za kutosha sasa hivi kuna bar mpya ipo Kinyerezi waliokua wanajaa Great Park wote wamehamia hio bar mpya ya Kinyerezi..bila kusahau kabla ya ujio wa zote hizo bar zilizokua zikitamba ni Barakuda, kuna moja ile ilikua kwenye kona kabla hujafika kituo cha tabata shule na kuna ile ingine iliokua barabarani pale klipohengwa kituo cha Puma hahaha Tabata ni Sinza mpya ila bata zake ni za msimu...
Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.
Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.
Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
Kitimoto bila kilaji kikali ni sawa na kuvaa suti nzuriii alafu chini ukagonga kanda mbili za kuingilia chooniHapa tu sahivi niko micasa lounge tabata napata soda mbili tatu na kitimoto.
Angwisa ni mbali Sana'a aisee kama vile unaenda lushotoHahaha mambo yapo huku kinyerezi ya maramba mawili, asubuhi tunaamkia hapo Soweto park unapata mchemsho swaaafi wa kuku ulimchagua bandani na baada ya mda tunaelekea hali ya hewa Angwisa village kuogelea na kuangalia view ya mji.
Vp upo tayari twende weekend hii?
Call me now 0713 924581
Baby, unapenda tukale bata za Tabata au tujibane nikujengee kwanza?
40/40 ndio bar kali? Haya kuleni bata!Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.
Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.
Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
Ha ha ha utafanya watu waje mbio mbio kwenye hio bar ya kawaida sanaTabata ndiyo dar na dar ndiyo tabata...hujafika Tabata hujafika dar kwa wakati huu..usitumie nguvu sanaaa Kubisha we fanya kupita 40/40 na bar zingine week end hii utajionea kwanza kila baada ya nyumba kuna pub za maana