It’s time for Tabata, sio Sinza,sio Kinondoni. Njoo Tabata kwa wala bata

wakusoma

JF-Expert Member
Feb 25, 2008
1,084
1,061
Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.

Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.

Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
 
Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.

Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.

Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
Inatajwa na nani?
 
Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.

Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.

Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
Kweli kabisa maana wauza madawa ya kulevya na wauza papuchi wameweka makazi huko.Ila ubaya wa biashara wa Bar ni za Msimu tu halafu chalii kifo cha mende.Gemu linarudi tena Sinza na Kinondoni .Pia kumbuka Kinondoni imeanza kuwa kama Posta yaani smart Area Bar zitakazofunguliwa siku za karibuni zitakuwa za kisasa.Pia Tabata ni Mji wanaoishi Waajiriwa wengi ambao wapo karibu na muda wa kustafu hivyo tegemea kuiona Tabata baada ya miaka mitano kuwa Imepooza maana wala bata watakuwa wamestafu wote na wamebanwa na Kiharusi na BP.
 
Wanasema Mji umehamia Tabata,bar zote kali (executive) zipo Tabata.watu wanatoka kila kona ya Mji huu wa dar wanakuja kula bata Tabata.saa nane usiku hapo 40/40 bar hupati hata nafasi ya kusogeza kisigino.

Tabata ndiyo inatajwa kuwa sehemu pekee kwa sasa hivi yenye bar nzuri,safi,na zinazojaza kuliko sehemu yeyote kwa dar.hujafika Tabata week end basi hujafika dar bado.

Nenda 40/40,the great park,kitambaa cheupe,pale mawenzi sijui kuna bar gan pale daaaa ama kwa hakika Tabata kwa wala bata.
Kuna Haibari bar
 
Hatimae na mimi nafurahi kwa kufanikisha ndoto zangu za kuja kuishi Tabata, ila kwa kifupi ni kwamba tatizo la watu wa Tabata ni moja bar mpya ikifunguliwa watu woye wanahama bar ya zamani kwa mfano kwetu pazuri palikua pananoga sana ilipokuja 40/40 watu wakahamia 40/40 ikaenda wee ilipokuja Great Park watu wakahamia Great Park kiasi kwamba hata siku ya jumatatu panajaa shamra shamra za kutosha sasa hivi kuna bar mpya ipo Kinyerezi waliokua wanajaa Great Park wote wamehamia hio bar mpya ya Kinyerezi..bila kusahau kabla ya ujio wa zote hizo bar zilizokua zikitamba ni Barakuda, kuna moja ile ilikua kwenye kona kabla hujafika kituo cha tabata shule na kuna ile ingine iliokua barabarani pale klipohengwa kituo cha Puma hahaha Tabata ni Sinza mpya ila bata zake ni za msimu...
 
Machangu wa Tabata wachafu mkuu. Nakula zangu totoz huku samaki samaki masaki, Marios, flame, capetown fish market.

Machangu wa sinza na tabata hawana tofauti. Wachafu wachafu hivi na mitatoo kibao kama vibaka
Kwamba wewe unauwezo wa kwenda samaki samaki ukaanza kunywa bandika bandua kuanzia saa 12 jioni hadi saa 6 usiku? Au ndo wale bia moja unakunywa masaa 2-3 unajifanya unakodolea TV enh
 
Hatimae na mimi nafurahi kwa kufanikisha ndoto zangu za kuja kuishi Tabata, ila kwa kifupi ni kwamba tatizo la watu wa Tabata ni moja bar mpya ikifunguliwa watu woye wanahama bar ya zamani kwa mfano kwetu pazuri palikua pananoga sana ilipokuja 40/40 watu wakahamia 40/40 ikaenda wee ilipokuja Great Park watu wakahamia Great Park kiasi kwamba hata siku ya jumatatu panajaa shamra shamra za kutosha sasa hivi kuna bar mpya ipo Kinyerezi waliokua wanajaa Great Park wote wamehamia hio bar mpya ya Kinyerezi..bila kusahau kabla ya ujio wa zote hizo bar zilizokua zikitamba ni Barakuda, kuna moja ile ilikua kwenye kona kabla hujafika kituo cha tabata shule na kuna ile ingine iliokua barabarani pale klipohengwa kituo cha Puma hahaha Tabata ni Sinza mpya ila bata zake ni za msimu...
Mambo yote BL Pub
 
Hahaha mambo yapo huku kinyerezi ya maramba mawili, asubuhi tunaamkia hapo Soweto park unapata mchemsho swaaafi wa kuku ulimchagua bandani na baada ya mda tunaelekea hali ya hewa Angwisa village kuogelea na kuangalia view ya mji.

Vp upo tayari twende weekend hii?

Call me now 0713 924581
 
Kumbe umeona walevi sio watu kabisa sa hv wapo kitambaa cheupe wamehamia huko
Hatimae na mimi nafurahi kwa kufanikisha ndoto zangu za kuja kuishi Tabata, ila kwa kifupi ni kwamba tatizo la watu wa Tabata ni moja bar mpya ikifunguliwa watu woye wanahama bar ya zamani kwa mfano kwetu pazuri palikua pananoga sana ilipokuja 40/40 watu wakahamia 40/40 ikaenda wee ilipokuja Great Park watu wakahamia Great Park kiasi kwamba hata siku ya jumatatu panajaa shamra shamra za kutosha sasa hivi kuna bar mpya ipo Kinyerezi waliokua wanajaa Great Park wote wamehamia hio bar mpya ya Kinyerezi..bila kusahau kabla ya ujio wa zote hizo bar zilizokua zikitamba ni Barakuda, kuna moja ile ilikua kwenye kona kabla hujafika kituo cha tabata shule na kuna ile ingine iliokua barabarani pale klipohengwa kituo cha Puma hahaha Tabata ni Sinza mpya ila bata zake ni za msimu...
 
Back
Top Bottom