Mtafutaji Asiyechoka
Member
- Feb 15, 2021
- 77
- 88
Ngoja nijaribu Tena mkuu, Asante sanaDoh mkuu mbona hiyo sio ishu kabisa. Ingia tu google andika pdf size compressor zipo kibao unapunguza size ya file bure na easy sana.
Ngoja nijaribu Tena mkuu, Asante sanaDoh mkuu mbona hiyo sio ishu kabisa. Ingia tu google andika pdf size compressor zipo kibao unapunguza size ya file bure na easy sana.
Nashukuru mkuu nilifanikiwaDoh mkuu mbona hiyo sio ishu kabisa. Ingia tu google andika pdf size compressor zipo kibao unapunguza size ya file bure na easy sana.
Mkuu pdf mbona unaweza punguza ukubwa simpo tuu, ingia google kila kitu onlineMasharti mengi sana yaani, nimeshindwa kuapply kwa sababu ndogo tu! Wanahitaji pdf document ambayo ni less than 1.0Mb na Academic transcript yangu iliyothibitishwa ina 1.25MB.
Naona ni bora waangalie hayo masharti wanayoyaweka aisee
Ukituma kwny WhatsApp alaf ulomtumia ulomwambia akufowadie inakuw ishapungua size automaticallyMasharti mengi sana yaani, nimeshindwa kuapply kwa sababu ndogo tu! Wanahitaji pdf document ambayo ni less than 1.0Mb na Academic transcript yangu iliyothibitishwa ina 1.25MB.
Naona ni bora waangalie hayo masharti wanayoyaweka aisee
Unauza??Anayetaka softcopy ya hivyo vitabu nitafte
Nakuja pm kiongoziAnayetaka softcopy ya hivyo vitabu nitafte
Njoo bobo man
Email Tena mkuu wakati usaili kesho ndo mwishoVp humu kuna alieona email tayar!!
me nimeionaVp humu kuna alieona email tayar!!
Kwaiyo wameshaanza kutuma emailme nimeiona
Acheni presha hamna email zilizo tumwa Hadi usaili utakapo kamilika , AhsanteKwaiyo wameshaanza kutuma email
Nilitaka kushangaa mkuu usaili hata bado haujaisha waanze kutuma emails nafikiri usaili ukiisha kesho mengine ndo yatafataAcheni presha hamna email zilizo tumwa Hadi usaili utakapo kamilika , Ahsante
Bado hao usaili wanamaliza 9 AprilAssistant investigation Officer tayar
Leo tar ngpBado hao usaili wanamaliza 9 April