Economist Jay
Member
- Feb 18, 2016
- 41
- 50
Leo nitachangia kidogo sana kupitia mpango wa maendeleo ambao watu wengi wanaweza kuuona kuwa ni wa ajabu sana.
Nianze kwa kuuliza swali, inatufaidia nini kuwa na mbuga nyingi zinazoingiza kidogo sana kwenye pato la taifa ikiwa watu wake wana shida ya maji, afya na barabara huko vijijini?
Tufanye hivi, tukodishe mbuga za wanyama mbili tupate trilioni 100, kwa maelekezo kuwa baada ya wao kutulipa gharama za kukodisha, tutakuwa tunawakata kodi kwa miaka 15 katika mbuga hizo maana watakuwa wanafanya biashara ya utalii na uwindaji. Kisha wanarudisha hizo mbuga baada ya miaka hiyo kuisha.
Pesa hii trillion 100 tunaitumia ku invest katika viwanda hapa nchini pamoja na kurekebisha maisha ya watu wa vijijini kwa kuwajengea barabara za kiwango cha rami.
Inatufaidia nini kuwa na mbuga ambazo hatuli nyama pori na wala hatuingizi pesa nyingi kulingana na uthamani wa mbuga hizo.
Tumepewa kazi ya kuzilinda kwa faida ya watalii tu? Kwa nini tusiwakodishie kwa mkwanja mrefu kisha tukate kodi kwenye biashara yao ya utalii na uwindaji?
Nianze kwa kuuliza swali, inatufaidia nini kuwa na mbuga nyingi zinazoingiza kidogo sana kwenye pato la taifa ikiwa watu wake wana shida ya maji, afya na barabara huko vijijini?
Tufanye hivi, tukodishe mbuga za wanyama mbili tupate trilioni 100, kwa maelekezo kuwa baada ya wao kutulipa gharama za kukodisha, tutakuwa tunawakata kodi kwa miaka 15 katika mbuga hizo maana watakuwa wanafanya biashara ya utalii na uwindaji. Kisha wanarudisha hizo mbuga baada ya miaka hiyo kuisha.
Pesa hii trillion 100 tunaitumia ku invest katika viwanda hapa nchini pamoja na kurekebisha maisha ya watu wa vijijini kwa kuwajengea barabara za kiwango cha rami.
Inatufaidia nini kuwa na mbuga ambazo hatuli nyama pori na wala hatuingizi pesa nyingi kulingana na uthamani wa mbuga hizo.
Tumepewa kazi ya kuzilinda kwa faida ya watalii tu? Kwa nini tusiwakodishie kwa mkwanja mrefu kisha tukate kodi kwenye biashara yao ya utalii na uwindaji?