Mkamanga junior
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 159
- 225
Ccm wakiwa hawana la kujadili kwenye vikao vyao huwa wanajadili habari za chadema
Tupe mlejesho wa kuliwa?Zile billion kadhaa za ruzuku kuliwa mnasemaje?
1.5trilionZile billion kadhaa za ruzuku kuliwa mnasemaje?
Maswali ya kipumbavu mnayozusha maccm. Nenda kamuulize CAGZile billion kadhaa za ruzuku kuliwa mnasemaje?
Anazo mbowe na hivi tena vikao vya siasa havifanyiki mzigo anao wa kutosha maana kungekuwa labda siasa inafanyika angejitetea hela imetumikaZile billion kadhaa za ruzuku kuliwa mnasemaje?