Waniogopa CHADEMA lakini wanamchukia zaidi Mbowe kuwa ni kwa nini anaiimarisha CHADEMA!?Kweli mkuu hanunuliki mbowe ,wanahaha ccm hali mbaya
akifa na chadema inakufa, ha ha ha ha haWaniogopa CHADEMA lakini wanamchukia zaidi Mbowe kuwa ni kwa nini anaiimarisha CHADEMA!?
Hili jambo huwa silielewi kabisa. Kweli Mbowe kama binadamu ana madhaifu yake, lakini inakuwaje ni CCM ndiyo wanataka kuweka ukomo wa uenyekiti wa Mbowe CHADEMA?
Yaani ni kama Wamarekani waseme ni kwa nini wajerumani wanaendelea kumchagua Angela Merkel kuwa Kansela wao. CCM kuhusu Mwenyekiti wa Taifa hakuna mahali kwenye katiba yao pamewekwa ukomo wa muda, bali wanabadilishana kwa kutegemea "Tamaduni" ya chama hicho na wala si kwa uchaguzi kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho hakuna kugombea nafasi ya mwenyekiti Taifa.
Sasa chama ambacho huwa hakifanyi kabisa uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa, kinakuwaje na nguvu ya kimaadili kuwaambia CHADEMA wabadilishe Mwenyekiti wao Taifa? Kwani kwenye Katiba ya CHADEMA kuna kipengele kinakataza mtu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa zaidi ya mara moja?
Angel Mikel alibadiri Katiba?Hili jambo huwa silielewi kabisa. Kweli Mbowe kama binadamu ana madhaifu yake, lakini inakuwaje ni CCM ndiyo wanataka kuweka ukomo wa uenyekiti wa Mbowe CHADEMA?
Yaani ni kama Wamarekani waseme ni kwa nini wajerumani wanaendelea kumchagua Angela Merkel kuwa Kansela wao. CCM kuhusu Mwenyekiti wa Taifa hakuna mahali kwenye katiba yao pamewekwa ukomo wa muda, bali wanabadilishana kwa kutegemea "Tamaduni" ya chama hicho na wala si kwa uchaguzi kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho hakuna kugombea nafasi ya mwenyekiti Taifa.
Sasa chama ambacho huwa hakifanyi kabisa uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa, kinakuwaje na nguvu ya kimaadili kuwaambia CHADEMA wabadilishe Mwenyekiti wao Taifa? Kwani kwenye Katiba ya CHADEMA kuna kipengele kinakataza mtu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa zaidi ya mara moja?
Lini ulikuwepo na lini uliondolewa?Hoja kulikua na sababu gani ya kuondoa ukomo wa Mwenyeiti?
Kweli eenh? Yaani kusema kwamba Barcelona wanamtegemea Messi kwenye ufungaji ndiyo inamaanisha kwamba Messi akistaafu kucheza mpira ndiyo Barcelona nayo itakuwa haifungi magoli kwa kuwa Messi kastaafu?akifa na chadema inakufa, ha ha ha ha ha
Kuna tofauti kati ya utaratibu wa chama na katiba ya nchi, mwenyekiti wa chama na Rais wa nchi. Inawezekana tunachanganya kwa bahati mbaya au kutokujua ila ukivichanganya tu ndio mwanzo wa kuharibu/kuharibikiwa.Kama Chadema wanaona ni sawa kuongozwa na mwenyekiti huyohuyo miaka nenda rudi wanaonaje ajabu JPM akiongoza miaka saba saba.
Wezi wa mali za umma hatuwezi tukawavumiliaUngewauliza kwanza Chadema na Mbowe wenu ambao kila siku hakuchi bila kuisema CCM utadhani wao ni wanachama wa CCM
Siyo kazi yakoIna maana katika wanachama woooote wa CDM hakuna mwingine asiyehongeka zaidi ya Mbowe? Kama ni hivyo basi hamna chama hapo. Siku mkipewa madaraka mtapata wapi mawaziri na viongozi wasiohongeka?
Ccm lazima isemwe, kwani kazi ya upinzani ni nini??Ungewauliza kwanza Chadema na Mbowe wenu ambao kila siku hakuchi bila kuisema CCM utadhani wao ni wanachama wa CCM
Hili jambo huwa silielewi kabisa. Kweli Mbowe kama binadamu ana madhaifu yake, lakini inakuwaje ni CCM ndiyo wanataka kuweka ukomo wa uenyekiti wa Mbowe CHADEMA?
Yaani ni kama Wamarekani waseme ni kwa nini wajerumani wanaendelea kumchagua Angela Merkel kuwa Kansela wao. CCM kuhusu Mwenyekiti wa Taifa hakuna mahali kwenye katiba yao pamewekwa ukomo wa muda, bali wanabadilishana kwa kutegemea "Tamaduni" ya chama hicho na wala si kwa uchaguzi kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho hakuna kugombea nafasi ya mwenyekiti Taifa.
Sasa chama ambacho huwa hakifanyi kabisa uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa, kinakuwaje na nguvu ya kimaadili kuwaambia CHADEMA wabadilishe Mwenyekiti wao Taifa? Kwani kwenye Katiba ya CHADEMA kuna kipengele kinakataza mtu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Taifa zaidi ya mara moja?
Na juzi kawaambia kwenye kampeni ya udiwani kuwa Chadema haiwezi kufa yeye akiwa hai eitha ni mwenyekiti au sio mwenyekiti. Hiyo ni kauli ya jabaliLengo la CCM na serikali ni kuona Chadema ikipata mwenyekiti dhaifu dizaini ya kina Lipumba, Cheyo, Mrema na mama Mgwhira ili wapate chance ya kukisambaratisha.
Mbowe ana msimamo, ni mpinzani halisi, kimsimamo hana tofauti na Seif. Ana hekima, ana busara hakurupuki anajua nini chama chake na wafuasi wake wanataka, hana jaziba wala visasi kama mwenyekiti wa upande wa pili. Kuongezea hapo Mbowe hana njaa za kijinga ana biashara zake, hanunuliki. Wamejaribu kuharibu mali zake wakafikiri atalegeza msimamo, TRA wamembambikia kodi kalipa, NHC wamebomoa Bilicanas wakafikiri ndiyo biashara yake pekee.
Mbowe sio Mrema wa kudanganywa kwa cheo mbuzi, kwa Mbowe CCM watakesha sana na naomba wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema uchaguzi utakapofika wamchague tena kwa kura zaidi ya alizopata tuwashangaze mahasimu wake.