mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 826
- 1,356
Huyu mama ambae ni Rais wetu alianza vizuri sana lakini tunapokuja kwenye swala la kutofautiana kimtazamo amekua akitoa amri za watu kukamatwa kuteswa na kubambikizwa kesi za uhaini au uhujumu uchumi....hili jambo lina fedhehesha sana hasa pale ambapo unashindwa kupokea ushauri na mawazo yaliyotofautiana na wewe.
Je aliposema kazi iendelee alimaanisha kuteswa, kutekwa na vitisho navyo viendelee ?
Je aliposema kazi iendelee alimaanisha kuteswa, kutekwa na vitisho navyo viendelee ?