platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,421
- 11,317
Kumbeee!!!!, By the way, umeshapata morning glory?!!!!Weeh hujui used car ndio yabidi upeleke garage kila siku? eboo. Used car haikawii kukususia njiani ama kuamua inataka oil ghafla![]()
Kumbeee!!!!, By the way, umeshapata morning glory?!!!!Weeh hujui used car ndio yabidi upeleke garage kila siku? eboo. Used car haikawii kukususia njiani ama kuamua inataka oil ghafla![]()
Kumbeee!!!!, By the way, umeshapata morning glory?!!!!
AfanaaaalekLeo nimekopwa. Ila lazma ilipwe kabla ya Jua kuzama.
Yaani kwa hasira me namuhonga tuu(simpii),..aahgg afu namtazama tuu na ni obvious heshima lazima ishuke mana ataniambia nn wakati kila kitu na afford mwenyewe,na wanaona rahaaa utakuta linacheka tuu na haliulizi Hata kama huna umetoa wapi ye anapokea tuu,..loooohBora ulivowachana hawa wanaume wa cku hz,wanalialia km wtt wa kike,kutimiza jukumu alopewa na mungu anaona anakandamizwa,kutwa kulilia papuchi,ovyoo akikujua una mshahara ndo kabisa yeye ndo anageuka demu kupiga mizinga
Aiseee umenikosha sana, waume wanatia aibu, pengine tuendako watabeba mimba maana wanabadilisha nyuchi zao Siku hizi, tuendako itapatikana technology ya kumuwezesha mumemke huyu kuzaa