Ikiwa wanaume tunahitaji kusaidiwa kifedha na wanawake je tutabaki na jukumu gani?

Ndo maana wanawake wameanza kuoa wanaume kama Yule Mama aliyefariki akiwa Na wanaume wawili.uvivu mbaya sana.
 
Bora ulivowachana hawa wanaume wa cku hz,wanalialia km wtt wa kike,kutimiza jukumu alopewa na mungu anaona anakandamizwa,kutwa kulilia papuchi,ovyoo akikujua una mshahara ndo kabisa yeye ndo anageuka demu kupiga mizinga
Yaani kwa hasira me namuhonga tuu(simpii),..aahgg afu namtazama tuu na ni obvious heshima lazima ishuke mana ataniambia nn wakati kila kitu na afford mwenyewe,na wanaona rahaaa utakuta linacheka tuu na haliulizi Hata kama huna umetoa wapi ye anapokea tuu,..looooh
 
Aiseee umenikosha sana, waume wanatia aibu, pengine tuendako watabeba mimba maana wanabadilisha nyuchi zao Siku hizi, tuendako itapatikana technology ya kumuwezesha mumemke huyu kuzaa
itakuwa saafi saana wa-experience utam wa leba na wao,.tuone kama wenyewe hawakunyoosha mikono juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom