IDF yahamisha wagonjwa kutoka hospitali moja huko Gaza baada ya hospitali hiyo kuhisiwa kuwa ni kambi na handaki la Hamas

NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR

4267947594_92553f8abe_w (2).jpg
 
Umechanganyikiwa hata unashindwa kuangalia vizuri video?
Nimeangalia yote ila hajajitambulisha bali ameitwa na anonymous person kuwa ni Rabi Yosef Mizrachi. Ingekuwa ni vema angetamka mwenyewe kwa kinywa chake hilo jina la utambulisho wake. Kwani kuna wasiwasi hiyo "subtitle" kawekewa.
 
Ila Mayahudi yanakera sana. Badala ya kupambana na Hamas, yenyewe yanaharibu tu majengo kwa mabomu na pia kuua yeyote anayeonekana mbele yao!
 
Ila Mayahudi yanakera sana.
Mayahudi Hayakeri ila kama unataka utulivu Acha ugaidi.
Badala ya kupambana na Hamas,
Mbona hilo liko wazi mkuu? HAMAS ndio wanasakwa kwa udi na uvumba ili wateketezwe i.e. Hiyo ndo Agenda kuu ya vita vya Gaza na Kila mtu anajua hivyo.
yenyewe yanaharibu tu majengo kwa mabomu
Ndiyo. HAMAS anaficha humo silaha na hata magaidi yamo humo humo. IDF itawafikiaje? IDF lazima afinyange-finyange kila kitu hapo.
na pia kuua yeyote anayeonekana mbele yao!
Sasa kama mtu anaAkili sawa sawa, anaendaje kujionesha au kuuza sura mbele ya IDF kwa mfano? Walengwa wenyewe HAMAS wanawatanguliza raia - akina mama na watoto; halafu wao HAMAS wanajificha nyuma ya makalio ya hao akina mama. Hapo unategemea nini mkuu??
 
Back
Top Bottom