IDF yahamisha wagonjwa kutoka hospitali moja huko Gaza baada ya hospitali hiyo kuhisiwa kuwa ni kambi na handaki la Hamas

Na walivyo wapumbavu hawataondoka,
Sio wapumbavu hata kidogo. Wanataka sana kuondoka ila HAMAS huwazuia kwa nguvu na atakayethubutu kutotii amri hiyo huuawa papo hapo au anayeonekana kutokubaliana (mpinzani)hukamatwa/hutekwa na hupotezwa.
Wakipigwa watasema ameua wanawake na watoto.
HAMAS ndivyo watakavyosema na wameshazoeleka ndo wimbo wao huo. Hata kuku akifa mtaani HAMAS wataimba wimbo huo-huo "ameua wanawake na watoto".
Shughuli itapelekwa leo. Kesho vilio🫡.
Mungu awasaidie wale waliozuiliwa na kulazimishwa kubaki kama ngao walau wasalimike. Natanguliza POLE zangu za dhati kwao.
 
Mkuu wale jamaa IDF wanajua vizuri tu wanachofanya.
Exactly yes. Ndo mana wameingia gharama kuhamisha raia wagonjwa. Ole wake mHAMAS atakayejfanya eti nae ni mmojawapo wa wagonjwa. Hiyo imekula kwako. Those guys are very smart in identification process.
Mama akizaa, vitoto vitasema allah akbaru vinaendeleza vita.
Ndo mana wanapiga wote tu.
Lakini babu kumbuka sio wote ni akina "allah akbaru". Wapo wakristu wengi sana nchini Palestina.
 
ule msemo wa mtoto wa nyoka naye ni nyoka tu
Ni hivyohivyo tu mama analia kumwonyesha mtoto huku kaka zao wanalipua mabomu.
Nilimkuta mtoto wa miaka miwili msichana alinipiga risasi za maji na bastola.
Nikamgongea babaake kwamba unawafundisha nini watoto hawa?
Hana majibu.
Sasa mtoto mdogo km yule anafundishwa mambo ya ajabu km hayo utamwamini nani?
 
Exactly yes. Ndo mana wameingia gharama kuhamisha raia wagonjwa. Ole wake mHAMAS atakayejfanya eti nae ni mmojawapo wa wagonjwa. Hiyo imekula kwako. Those guys are very smart in identification process.

Lakini babu kumbuka sio wote ni akina "allah akbaru". Wapo wakristu wengi sana nchini Palestina.
Hao hawana issue na Palestina wao wako na Hamas tu,na ndio Iran,Lebanon,Syria,Yemen wote wanakula kichapo tu.
 
Exactly yes. Ndo mana wameingia gharama kuhamisha raia wagonjwa. Ole wake mHAMAS atakayejfanya eti nae ni mmojawapo wa wagonjwa. Hiyo imekula kwako. Those guys are very smart in identification process.

Lakini babu kumbuka sio wote ni akina "allah akbaru". Wapo wakristu wengi sana nchini Palestina.
Mkristu mwenye timamu ameshakimbia gaza mdamrefu sasababu anajua jinsigani gaza itafanywa
 
Nani aliwaambia muwachokoze wakati mnajua ni makatili? Kobazi ni kobazi tu :D.
Mkuu wale jamaa IDF wanajua vizuri tu wanachofanya.
Mama akizaa, vitoto vitasema allah akbaru vinaendeleza vita.
Ndo mana wanapiga wote tu.
IDF nao huwa wanaugua magonjwa mbalimbali au kujeruhiwa, IDF baadhi yao wanao watoto huko watokako, IDF wanao wazazi wao wazee, IDF wamezaliwa na wanawake na pia wanao dada/shangazi zao huko watokako. IDF kama binadamu wanajali pia UHAI. Hawatakubaliana na hoja yako hapo - eti No Mercy.
Kwa mantiki hiyo, unless mtu akatae mwenyewe kwa hiari kuhamishiwa Hospitali nyingine e.g. disguised HAMAS members na Wenaowania mabikra 72 na mito ya pombe; basi hapo IDF hana namna nyingine ya kumsaidia. Atajumlishwa kwenye kipondo.


View: https://youtu.be/83yV7JYlTio?t=14
 
Ni hivyohivyo tu mama analia kumwonyesha mtoto huku kaka zao wanalipua mabomu.
Nilimkuta mtoto wa miaka miwili msichana alinipiga risasi za maji na bastola.
Nikamgongea babaake kwamba unawafundisha nini watoto hawa?
Hana majibu.
Sasa mtoto mdogo km yule anafundishwa mambo ya ajabu km hayo utamwamini nani?
Ungekatia dole tu na kukazaba kofi ya kisogo.

NO MERCY

Nyau de adriz
 
Ni hivyohivyo tu mama analia kumwonyesha mtoto huku kaka zao wanalipua mabomu.
Nilimkuta mtoto wa miaka miwili msichana alinipiga risasi za maji na bastola.
Nikamgongea babaake kwamba unawafundisha nini watoto hawa?
Hana majibu.
Sasa mtoto mdogo km yule anafundishwa mambo ya ajabu km hayo utamwamini nani?
Ndo mana mwamba akiwakuta wamejipiga mixer; anakung'uta wote bila huruma haachi kitu.
 
Mimi siyo kobazi. Ila kwa hili nasi mama na Wapalestina
Yep! Wapalestina raia, wanakufa "mbuzi wa kafara". Hawana kosa lolote wala hawakuhusika tukio la tar.07/10/2023 kwenye ule uvamizi. Ila wapiganaji HAMAS wanawalazimisha kuongozana nao au kujilundika kuwazunguka au wapiganaji wameweka silaha na kuishi katika makazi yao. Sasa inakuwa ni vugumu sana IDF kuwabagua/kuchambua yupi ni yupi kwani wakati wa majibizano/mapambano raia+hamas wote wamevaa kiraia. Tunamlaumu IDF lakini ktk uhalisia, hata ungekuwa ni ww ungefanyaje kwenye hali kama hapo?
 
Ungekatia dole tu na kukazaba kofi ya kisogo.

NO MERCY

Nyau de adriz
Hapana mkuu vilikua vitoto vinne na baba yao nafkiri alivitoa nje ili amshughulikie mama yao.
Mi niligonga kafungua na mahasira yake nikamwonyesha ilo toy pistol na kumpa ujumbe,
"Next time action".
Alikua mwarabu wa Iran or Iraq.
 
Back
Top Bottom