Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,951
- 9,877
Nenda kwenye post yako na sehemu ya kuedit... Itoe pichaSo how do I remove picture on JF.?
Nenda kwenye post yako na sehemu ya kuedit... Itoe pichaSo how do I remove picture on JF.?
Unaish mkoa gani mkuu
Hakuna tatizo ujue mi huku ni mpenzi wako mtazamaji.Si nimemsifia tu jamani!!!
Ahsante!!!Hakuna tatizo ujue mi huku ni mpenzi wako mtazamaji.
Hahahaha malizia sentesi mkuu anaweza kutekwa?Hadi kapicha kapo umewarahisishia watu.... Any way karibu mkuu
Nimsifu kwa ujasiri wake tupia na nyngne kma zpo
Karibu sana new comer!!! Jisikie uko nyumbani.
Macho yako yavutia...
Nashukuru Sana kwa ushauri Kaka....Karibu sana Nickson,
Na hongera sana naona baba kakununulia simu na umejificha chumbani unaijaribu- natania.
Lakini ni muhimu kufahamu kwamba hapa si FB,Insta, Twitter wala WhatsApp ambako unaweka taarifa za kweli.
Kama unataka kuwa Verified User basi uwaambie JF, lakini kama unataka kuwa mchangiaji wa kujificha kama Richard basi ondoa picha halisi.
Huu ni ushauri wangu wa uhakika na ukiufuata wala hutajuta.
Vinginevyo karibu sana JF
Good luck.
toa picha yako!
mchokozi sasa miss chaga!nick uu mrembo kweli karibu sana.......... uwe unaweka shuka kitandani
Umezimikia macho ya new comer eh? Nauliza tu lol!
Shukrani mkuuWelcome aboard bro,..hii ni wanafamilia moja usiogope,...
Barida mzee babaOi karibu chaliii..............
Nashukuru mama lao..Nenda kwenye post yako na sehemu ya kuedit... Itoe picha
hapana mkuu usinichonganishemchokozi sasa miss chaga!