Huyu mpenzi wangu amenichekesha sana. Katamka mbele ya kadamnasi kuwa hana mtu

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,837
10,059
Binafsi hata mimi sikuwa na malengo naye, nilitaka ku-hit and run. Hakuna mtu aliyefahamu kuwa nilimuomba kudet nae, ilikuwa ni siri, maake muonekano wake ni aibu tupu. Nimeshangaa sana kumuona anatamka kuwa hana mtu mbele ya hadhira baada ya kuona tabasamu la jibaba lenye miraba minne na kifriji cha kufutia smatifoni, jibaba lenye sifa ya kutafuna mbususu, ku cash na kuacha. Wanawake bhana😂

Subiri yachache tuone muafaka wake utakuwa ni upi😂😂😂
 
Bro ongeza bidii ya kutafuta hela....
Hapana mkuu. Mbususu ni zile zile. Hata kipindi kile nilipokuwa na maisha ya tia mchuzi, still kuna wanawake walikuwa wananitunuku just for free. Mama Huruma hawawezi kukosa kabisa kwenye maisha yetu ya kila siku

Pesa hazina maana kabisa kwenye ulaji wa mbususu, bali kwenye mapenzi tu
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hapana mkuu. Mbususu ni zile zile. Hata kipindi kile nilipokuwa na maisha ya tia mchuzi, still kuna wanawake walikuwa wananitunuku just for free. Mama Huruma hawawezi kukosa kabisa kwenye maisha yetu ya kila siku

Pesa hazina maana kabisa kwenye ulaji wa mbususu, bali kwenye mapenzi tu
Hata kuchamba tu mwanamke kisa hakutaki bado ni tatizo bro
 
Boss, Huenda na yeye anajua huna mpango nae zaidi ya kumtumia sasa kwanini ajizibie nafasi na mtu aina yako?
 
Hapana mkuu. Mbususu ni zile zile. Hata kipindi kile nilipokuwa na maisha ya tia mchuzi, still kuna wanawake walikuwa wananitunuku just for free. Mama Huruma hawawezi kukosa kabisa kwenye maisha yetu ya kila siku

Pesa hazina maana kabisa kwenye ulaji wa mbususu, bali kwenye mapenzi tu
NAKAZIA
 
Unaweza kuwa Upo kwenye mahusiano lakin upo single Ndio ana haki ya kusema anachojisikia,mtu humtreat vizuri wala haoni love kwako
 
Binafsi hata mimi sikuwa na malengo naye, nilitaka ku-hit and run. Hakuna mtu aliyefahamu kuwa nilimuomba kudet nae, ilikuwa ni siri, maake muonekano wake ni aibu tupu. Nimeshangaa sana kumuona anatamka kuwa hana mtu mbele ya hadhira baada ya kuona tabasamu la jibaba lenye miraba minne na kifriji cha kufutia smatifoni, jibaba lenye sifa ya kutafuna mbususu, ku cash na kuacha. Wanawake bhana😂

Subiri yachache tuone muafaka wake utakuwa ni upi😂😂😂
Afadhali sasa kila kitu kiko wazi. Naye kumbe hana mpango nawe ndio maana kasema hana mtu. Endeleeni kugegedana tu huku mkitafuta watu wenu.
 
Umecheka ila Kiuhalisia umeumia ndiyo maana umekuja hadi mitandaoni
Kilichoniuma ni baada ya kusikia kauli ile ya eti hana mtu, nikamwambia una uhakika na unachokisema au unataka nikuumbue? Nikiongea tu kimasihara. Akajibu "Emb kwanza tupishe". Hii kauli imeniuma usiku mzima

Ila kuhusu uwepo wake, awapi
 
Hata kuchamba tu mwanamke kisa hakutaki bado ni tatizo bro
Sijamchamba, bali nimemsikitikia. Kama anakataa vijana wa rika kama yangu, wenye muonekano na usmart huu, walioamua kujitolea tu walau kumsitiri kama sio kuistiri mbususu yake na kuwatolea maneno ya kashfa namna hii, hivi maisha yake anayaweka kwenye rehani ya aina ipi ilihali muonekano wake hauvutii? Plus ngozi yake kama ya mamba na macho yake kama ya bundi?
 
Boss, Huenda na yeye anajua huna mpango nae zaidi ya kumtumia sasa kwanini ajizibie nafasi na mtu aina yako?
Mara mia ningekuwa nimeshamsukumia ukuni, ningekuwa na 100% ya kicheko na furaha. Yaani nimejaribu kumuandaa kisaikolojia kwa muda wa wiki sasa ili nimzagamue akiwa na amani pasi na kujishtukia kuwa huenda anatumika tu. Nimeharibu muda na maneno yangu ya bure, soda zangu nne na mabusu yangu mawili. Halafu anakuja kupindua meza dakika ya 90, nimeumia ila sio sana
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Sema tu ka roho kame kuuma .amna kitu kina uma kama kukanwa na pisi mbovu
😂Acha tu mkuu, yaani imedhihirisha kuwa huenda nina laana ya ukoo. Kama Policy za JF zingekuwa zinaruhusu, ningeweka picha yake hapa mkaona kabisa hii sio haki. Hata hivyo mademu wabovu wabovu wana kawaida ya kuwa na maringo maringo, ila hakiwatokea puani huwa wanarudi kwa kasi na majuto makubwa sana
 
Unaweza kuwa Upo kwenye mahusiano lakin upo single Ndio ana haki ya kusema anachojisikia,mtu humtreat vizuri wala haoni love kwako
Hapana mkuu, nimepretend sana mapenzi isipokuwa kujionesha kwa watu. Nilimwambia kuwa nataka iwe surprise kwa ofisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom