Voltaire
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 1,129
- 1,053
Nafahamu kuwa kampuni Ernst and Young ni multinational na ilianzishwa kitaambo sana,its a coincidence jamaa anaitwa Ernest Massawe na partner ni Ernst and Young,so alipokuwa partner ndo ikaitwa Massawe, Ernst and Young,hope ya gat ma point!Mkuu, penye mikolezo umekosea. Hiyo kampuni inaitwa Ernst (sio Ernest) & Young (kwa sasa EY tu). Ni kampuni ya zamani sana ya Marekani/Uingereza. Huyo Massawe alifanya kazi sana huko ujanani kwake. Nadhani bado ni partner ila si mwanzilishi wa hiyo EY.