kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,615
- 23,068
Una ushahidi waliopopewa!Kama mlizompa Wenje akaka kona anakula anasa USA.
Vya mjinga........
Una ushahidi waliopopewa!Kama mlizompa Wenje akaka kona anakula anasa USA.
Vya mjinga........
Vina faida kwa watanzania wenye uzalendo na akili timamu.Sina mda wa kufuatilia vitu visivyo na faida kwangu
Acha kumfananisha Rais wetu Mpendwa na vitu vya ajabu ajabuHabari za Lissu zina mvuto Sana kuliko za Samia.
Atakuwa kajifungia ofisini anahutubia mtandaoni sio mkutano wa hadharaAtaunguruma kupitia redio gani mkuu?
Wana kisebu sebu na kiroho papo😅Ushavutika karibu sana
Umefikiwa na wewe na utasikiliza Lissu akihutubia taifa.Hana uwezo wa kuhutubia Taifa, bali anachoweza ni kuwahutubia wana CHADEMA. WACHA kumpa umuhimu asiokuwa nao
Kwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.
Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.
Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.
Hapo nimewalinganisha wenyeviti wawili wa vyama vya siasa, CHADEMA na CCM na siyo Rais dhidi ya raia wa Tanzania.Acha kumfananisha Rais wetu Mpendwa na vitu vya ajabu ajabu
Usilinganishe andiko la kizalendo la Erythrocyte na maandiko ya kujipendekeza ya Lucas Mwashambwa .Tabia za Lucas hatutaki chadema
Unajitekenya na kucheka mwenyewe!Atakuwa kajifungia ofisini anahutubia mtandaoni sio mkutano wa hadhara
Mkutano wa hadhara kakwepa kuogopa aibu ya kukosa watu wa kuhutubia
Huyo Mwingine mfananishage na waropokaji wenzake waliokama wagonjwa kichwaniHapo nimewalinganisha wenyeviti wawili wa vyama vya siasa, CHADEMA na CCM na siyo Rais dhidi ya raia wa Tanzania.
Mwenyekiti mmoja kachaguliwa Kwa mfumo wa wazi wa uchaguzi (Lissu) na mwingine kachaguliwa kimizengwe (Samia)
Mropokaji ambaye akisema jambo CCM nzima wanapata mhaho na kiwewe na kujikuta wanakurupuka kujibu asichosema😅😃😀Huyo Mwingine mfananishage na waropokaji wenzake waliokama wagonjwa kichwani
Asipoelewa atakuwa hana ubongoUsilinganishe andiko la kizalendo la Erythrocyte na maandiko ya kujipendekeza ya Lucas Mwashambwa .
Mgonjwa kati ya Lissu na wewe mlamba makalio ni nani?Huyo Mwingine mfananishage na waropokaji wenzake waliokama wagonjwa kichwani
Mnawashwa nyie ccmAtusalimie!
Kiaje?😁Mnawashwa nyie ccm
Mkuu umesoma uzi vizuri? Mtu anahutubia taifa, atawakusanya watanzania wote awajaze kwenye kiwanja kipi waenee? Uwe mnasoma heading oabla ya kukomenti mkuu.Atakuwa kajifungia ofisini anahutubia mtandaoni sio mkutano wa hadhara
Mkutano wa hadhara kakwepa kuogopa aibu ya kukosa watu wa kuhutubia
Mmejikita kubuni mbinu mpya za wizi wa kura?Kwa sasa CCM tumejikita kukabiliana na upinzani mpya kutoka CHAUMMA
Wanajifanya wanamkubali Mbowe balaaKiaje?😁