Hotuba ya Tundu Lissu kwa Taifa yasubiriwa kwa hamu kubwa na Wananchi, Matumaini yatawala, Wachache waingiwa hofu

Kwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.

Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.

Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.

Tabia za Lucas hatutaki chadema
 
Hapo nimewalinganisha wenyeviti wawili wa vyama vya siasa, CHADEMA na CCM na siyo Rais dhidi ya raia wa Tanzania.

Mwenyekiti mmoja kachaguliwa Kwa mfumo wa wazi wa uchaguzi (Lissu) na mwingine kachaguliwa kimizengwe (Samia)
Huyo Mwingine mfananishage na waropokaji wenzake waliokama wagonjwa kichwani
 
Atakuwa kajifungia ofisini anahutubia mtandaoni sio mkutano wa hadhara

Mkutano wa hadhara kakwepa kuogopa aibu ya kukosa watu wa kuhutubia
Mkuu umesoma uzi vizuri? Mtu anahutubia taifa, atawakusanya watanzania wote awajaze kwenye kiwanja kipi waenee? Uwe mnasoma heading oabla ya kukomenti mkuu.
 
Mbowe alikuwa anaihutubia dunia ...tumeshuka kiwango🐼
1000022798.jpg
 
Back
Top Bottom