Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,444
- 40,538
Wewe jama wa ualaza hili ni swali au mshangao?Yu wapi Mbowe......!
Wewe jama wa ualaza hili ni swali au mshangao?Yu wapi Mbowe......!
TanganyikaAnahutubia taifa gani? 🐼
Maofisi yote ya serikaliKina nani wamemuwahi Lisu?
Hana uwezo wa kuhutubia Taifa, bali anachoweza ni kuwahutubia wana CHADEMA. WACHA kumpa umuhimu asiokuwa naoKwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.
Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.
Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.
saa ikifika wahuni watatoa maelekezo wakate umemeInawezekana akawa live kwenye TV, Tusubiri kidogo tutajua
🚮🚮Maofisi yote ya serikali
Una umri gani?Hana uwezo wa kuhutubia Taifa, bali anachoweza ni kuwahutubia wana CHADEMA. WACHA kumpa umuhimu asiokuwa nao
Sina mda wa kufuatilia vitu visivyo na faida kwanguHawa kina Tlaatlaah . Wewe utakuwa wapi😆😀😃
Propaganda za kizamani sana enzi za Waziri Mohammed Saeed al-Sahhaf wa Saddam Hussein!Kwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.
Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.
Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.
Sasa nikifuatilia habari za Lisu zitanisaidia vipi kuongeza mavuno yangu? 😁😁Haters
Vikiwemo hata vituo vya polisi, yaani leo saa 7 mchana nimefika kituo cha polisi nikaambiwa faili langu kakabidhiwa afande Aluphonce
Kakataa machawa😁👍Chawa Pro max naona wapo viti vya mbele😁
Kwa sasa CCM tumejikita kukabiliana na upinzani mpya kutoka CHAUMMATlaatlaah MamaSamia2025 ChoiceVariable na chawa wengine wajiandae kwa cheche kitoka kwa Tundu Antipas Mugway.
Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe. Hakuna Mwenye habari na huyo Mropokaji. ukitaka kujua kuwa watu hawana muda na huyo Mropokaji jaribu kuangalia hata humu tu jukwaani uone namna habari zake zisivyo na mvuto wala kuteka hisia za watuTaifa lenu wanywa Whisky huku mkiwa na kihoro.
Ukitaka kujua atakuwa anahutubia Taifa lenu, akianza tu kuongea wewe na wenzio kina Lucas Mwashambwa , Lusungo Malaria 2 ChoiceVariable na wengineo mtaanza kuweka mabango ya kuchambua hotuba hiyo.
Mnajifanya haiwahusu kumbe na kijiwe Cha kwenda kuisililizia hiyo hotuba mshachagua.
0Tbc tv?
Habari za Lissu zina mvuto Sana kuliko za Samia.Naona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe. Hakuna Mwenye habari na huyo Mropokaji. ukitaka kujua kuwa watu hawana muda na huyo Mropokaji jaribu kuangalia hata humu tu jukwaani uone namna habari zake zisivyo na mvuto wala kuteka hisia za watu
Pigia mstari mkuu!Wewe jama wa ualaza hili ni swali au mshangao?
Ushavutika karibu sanaNaona mnajitekenya na kujichekesha wenyewe. Hakuna Mwenye habari na huyo Mropokaji. ukitaka kujua kuwa watu hawana muda na huyo Mropokaji jaribu kuangalia hata humu tu jukwaani uone namna habari zake zisivyo na mvuto wala kuteka hisia za watu
Atusalimie!Kasafiri
Duuh ndio hizo business za mabilion!Ana export kitimoto 😄