Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,959
- 244,559
Ni taifa lake la Kuzaliwa TanganyikaAnahutubia taifa gani? 🐼
Ili iweje?Yu wapi Mbowe......!
Taifa la tanganyikaAnahutubia taifa gani? 🐼
Juzikati nimekutana naye Dubai 🐼😄Yu wapi Mbowe......!
Ataunguruma kupitia redio gani mkuu?Kwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.
Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.
Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.
Inawezekana akawa live kwenye TV, Tusubiri kidogo tutajuaAtaunguruma kupitia redio gani mkuu?
Nishaanza kupata hofu na mimi. Maana inavuma sanaKwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.
Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.
Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.
Tbc tv?Inawezekana akawa live kwenye TV, Tusubiri kidogo tutajua
moto hauwezi kubabaika wala kuogopa cheche gentleman,Tlaatlaah MamaSamia2025 ChoiceVariable na chawa wengine wajiandae kwa cheche kitoka kwa Tundu Antipas Mugway.
HahahaLisu keshasema hataki CHAWA sasa ulizoea kutoa taarifa za Mbowe kichawachawa, unaanza kujiimbisha vijipambio pambio kwa Lisu. Baki na Mbowe wako umsaidie kulea wajuu
taja Tv chanel ili tumshudie live.Inawezekana akawa live kwenye TV, Tusubiri kidogo tutajua
Muda ni saa ngapi?taja Tv chanel ili tumshudie live.
Saa 10 kamili nitaacha kazi zangu zote za Matunguli Nimsikilizw Rais wa JMT nje ya IkuluKwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.
Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.
Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.
Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.