Watu wake aliokosana nao ni wakina nani??Sijaelewa Samia anawaza nini.
Ila kukosana na watu wake halafu unategemea wapinzani wakusaidie the likes of Mbowe sioni kama anafanya maamuzi sahihi.
Anadanganywa.
Usilie usije ukamaliza machozi , ndio kwanza shughuli imeanzaSijaelewa Samia anawaza nini.
Ila kukosana na watu wake halafu unategemea wapinzani wakusaidie the likes of Mbowe sioni kama anafanya maamuzi sahihi.
Anadanganywa.
Matapeli wa kisiasa.Usilie usije ukamaliza machozi , ndio kwanza shughuli imeanza
Kwi Kwi KwiMatapeli wa kisiasa.
NakaziaSiku ya siku atachekea chooni , Mbeya haichagui kabila , asije kumlilia mtu
Mbeya hamnakazi Jimbo lipo wazi Kwa jongweWanambeya kazi wanayo hukooooooooo
Hamna kugawa majimbo kubeba mtu. Mnaogopa nini wakati hao chadema sio kitu. Mbunge una muda bado kuonesha watu umefanya nini halafu unaanza kulia?Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali , baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli , Dr Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa Chadema .
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema .
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi .
naunga mkono hoja .Hamna kugawa majimbo kubeba mtu. Mnaogopa nini wakati hao chadema sio kitu. Mbunge una muda bado kuonesha watu umefanya nini halafu unaanza kulia?
Kamarada Gambo wala hana mchecheto na Lema ila tu jimbo ni kubwa kuligawanya ni jambo jema....Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali , baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli , Dr Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa Chadema .
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema .
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi .
Wacha wanyooshwe tu hamna namnaHata akiongeza watapigwa kila jimbo
Hali ya Wabunge wa ccm Majimboni ni Dhooful Hali , baada ya 2020 kubebwa kama watoto njiti wenye utapia mlo na Mbeleko ya Magufuli , Dr Mahera na Wakurugenzi wa Halmashauri , sasa kila mmoja anapambana kivyake ili asisombwe na upepo mkali wa Chadema .
Mbunge wa Arusha Mjini ndugu Mrisho Gambo naye amejitokeza hadharani kuomba Serikali ya Tanzania kupanua goli kwa kuligawa Jimbo la Arusha Mjini na kuleta Jimbo Jipya la Murriet , hofu yake kuu ikiwa ni kupambana na Godbless Lema .
Tunatoa wito kwa wabunge wengine wa ccm wenye hofu ya kuangukia pua 2025 wajiorodheshe ili serikali ambayo nayo ni ya ccm iwafanyie wepesi .
Weupe kinoma yaaniWabunge wa Ccm hawawezi kutoboa Katika Fair grounds i tell you homie