Hivi upitapo kwenye magumu na Mungu akakupa Option hizi mbili uchague moja utaenda na ipi?

Hyrax

JF-Expert Member
May 20, 2023
999
2,748
Option 1:
Akuache uwe hai ila uteseke?

Option 2;
Achukue uhai ukapumzike?

Mimi ntaenda na option ya pili, wewe je?
 
Option 1:
Akuache uwe hai ila uteseke?

Option 2;
Achukue uhai ukapumzike?

Mimi ntaenda na option ya pili, wewe je?
Ukiwa unajuwa kila option ina faida na hasara zipi, ni rahisi kuamua ipi uichague. Wewe umechagua kufa kwa imani kwamba unaenda kupumzika, but you are not sure
 
Back
Top Bottom