Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,043
- 16,929
Mwanzo kulikua na huo mpango wa kujaza maji kwenye mahandaki wanayoishi Hamas ( kwa mujibu wa IDF) je ule mpango uli fail?
Hii nchi kwa sasa jamani inahitaji maombi kila mtu lwa imani yake maana Viongozi wanagombana kila kukicha Serikali imeparaganyika Waziri Mkuu Netanyahu kajifungia ndani wiki sasa haongei.
Hamas nao wamechachamaa huko Gaza IDF wanadondoshwa kama kuku wenye kideri. Hezbollah nao hawapoi wanawasha moto hujo North balaa .
Hii nchi kwa sasa jamani inahitaji maombi kila mtu lwa imani yake maana Viongozi wanagombana kila kukicha Serikali imeparaganyika Waziri Mkuu Netanyahu kajifungia ndani wiki sasa haongei.
Hamas nao wamechachamaa huko Gaza IDF wanadondoshwa kama kuku wenye kideri. Hezbollah nao hawapoi wanawasha moto hujo North balaa .