Hivi ni Kwa nini wanaume wanaweweseka?

Nimeona kichina china tu

爱是你拥抱,永远不会想让你走的人。你没见过多年,但最爱的人是还在那里。给,

从来不期待回报的人。真正了解你是谁的人。那些为你而活。它是你与真正的光照耀着他们的眼睛和微笑的照片中的人。

带走你的呼吸的人。那些人是要投入你的时间和思考。不是那些不停地伤害你,永远不会使时间

Yani hapo kwenye red nimeumia hadi nimetoa machozi
 
mafundo mengine niyakibazazi mno yaani sipati picha ya mwanaume anayezungumziwa hapa........kwa staili hii mtaishia kuchojolewa vyupiiitu
 
hizi vita za wanaume na wanawake humu ndani naona ni nonsense... side zote mbili wana weaknesses na strength zao pia. afu mambo yanakuzwa sana humu JF kuonekana kama tatizo ni kubwa sana kumbe wapi... mbona natural process inaendelea male seeks for the female life linasonga, haya ya wanaume wanaweweseka afu sample space washkaji wawili watatu uliokua nao, we unajuaje kama tatizo lipo kwako na ndio maana unapata wanaume wa ovyo? what difference do women have? tudiscuss vitu vingine sio hivi
 
Back
Top Bottom