Hivi ni Kwa nini wanaume wanaweweseka?

Halafu dogo wa namna hiyo wanapendwa na wanawake utadhani wana urimbo....

Hata ungesema kwa sauti kubwa namna gani, vijana wa hivyo ndio wanaorun mapenzi kwa level ya juu sana...

Nani hajui tabia za Wakongo na wengine wa dizaini hizo....

Inasikitisha sana kwamba wanawake wengi hawapenfi wanaume ambao ni sincere!
 
sasa wewe ndo umeelewa somo hebu mtafsirie Kongosho, Kaunga na Mentor hawajaelewa somo hapo juu
Halafu dogo wa namna hiyo wanapendwa na wanawake utadhani wana urimbo....

Hata ungesema kwa sauti kubwa namna gani, vijana wa hivyo ndio wanaorun mapenzi kwa level ya juu sana...

Nani hajui tabia za Wakongo na wengine wa dizaini hizo....

Inasikitisha sana kwamba wanawake wengi hawapenfi wanaume ambao ni sincere!
 
Last edited by a moderator:
Wanamme sincere sometimes wako boring kwa nje :)

ujue babu, for a sailor, ni exciting na adventureous ku sail kwenye turblent water kuliko calm seas? Japo the later are more certain. But with age comes experience na utambuzi.

Halafu dogo wa namna hiyo wanapendwa na wanawake utadhani wana urimbo....

Hata ungesema kwa sauti kubwa namna gani, vijana wa hivyo ndio wanaorun mapenzi kwa level ya juu sana...

Nani hajui tabia za Wakongo na wengine wa dizaini hizo....

Inasikitisha sana kwamba wanawake wengi hawapenfi wanaume ambao ni sincere!
 
Translation ya article za kizungu halafu kupanga hujui. Hata haivutii kusoma. Please usilete muendelezo wa hii habari, boring😣😣
 
Wanamme sincere sometimes wako boring kwa nje :)

ujue babu, for a sailor, ni exciting na adventureous ku sail kwenye turblent water kuliko calm seas? Japo the later are more certain. But with age comes experience na utambuzi.

ndiyo maana wanawake wenye umri mkubwa walio wengi wanakuwa na uelewa wa hali ya juu.

Ndiyo kama ningepewa nafasi nisingekimbizana na dotcom hata kwa dawa!
 
Back
Top Bottom