HahahahahaJamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Kiuhalisia mchele wa birian hauna ladha km mchele wa kawaida nishapika mara kadhaa sikukuelewa had nilipojaribu kuchanganya mchele wa basmati na WA kawaida kidogo ndo Lilikuwa tamuJamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Biriyani ni chakula kilichokuwa overrated ssnaJamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
Mimi nilivyochanganya nikatoa bomu,sirudii tena.Kiuhalisia mchele wa birian hauna ladha km mchele wa kawaida nishapika mara kadhaa sikukuelewa had nilipojaribu kuchanganya mchele wa basmati na WA kawaida kidogo ndo Lilikuwa tamu
Binafsi nalipika fresh kabisa Hilo rojo lake,ila hiyo basmat hainikoshi imepooza sana kama usemavyo sipati Ile aroma ya mchele wa mbeya😂Biriyani ni chakula kilichokuwa overrated ssna
Hapa kali ni lile rojo lake tu ndio linanikosha nikilipatia
Ila ule wali wake hadi kuongeza manjonjo kiasi,vinginevyo ni ubwabwa usionukia
Ulichanganya? Hivi tukitumia ule mchele grade 1 unaouzwa kuanzia 3500-600 halitokuwa pambe?hebu weekend tujaribuni halafu tupeane mrejesho kama vipi Saint AnneKiuhalisia mchele wa birian hauna ladha km mchele wa kawaida nishapika mara kadhaa sikukuelewa had nilipojaribu kuchanganya mchele wa basmati na WA kawaida kidogo ndo Lilikuwa tamu
Mkijaribu niite nije kuonja kama iko bienUlichanganya? Hivi tukitumia ule mchele grade 1 unaouzwa kuanzia 3500-600 halitokuwa pambe?hebu weekend tujaribuni halafu tupeane mrejesho kama vipi Saint Anne
Nimeshawahi kuchanganya ukawa mbayaUlichanganya? Hivi tukitumia ule mchele grade 1 unaouzwa kuanzia 3500-600 halitokuwa pambe?hebu weekend tujaribuni halafu tupeane mrejesho kama vipi Saint Anne
Masmati hata upikaje haiwezi kuufikia ubwabwa wetu pendwa wa Mbeya jamaniBinafsi nalipika fresh kabisa Hilo rojo lake,ila hiyo basmat hainikoshi imepooza sana kama usemavyo sipati Ile aroma ya mchele wa mbeya😂
Hapa ninachouliza kwani Kuna ulazima wa kutumia basmat?Nimeshawahi kuchanganya ukawa mbaya
Ila mchele niliochanganyia haukuwa mzuri sana
Ukichanganya kwa mchele grade 1 ule kabisa linatoka poa sana mno
Sema Mimi sina hamu tena ya kuchanganya
Basmati hata upikaje haiwezi kuufikia ubwabwa wetu pendwa wa Mbeya jamaniBinafsi nalipika fresh kabisa Hilo rojo lake,ila hiyo basmat hainikoshi imepooza sana kama usemavyo sipati Ile aroma ya mchele wa mbeya😂
Siyo lazimaHapa ninachouliza kwani Kuna ulazima wa kutumia basmat?
Inaonekana wewe ni mpishi mzuri sanaSiyo lazima
Waweza tumia mchele wa kawaida tu ila ule grade 1 kama ulivyosema
Kwa ajili ya kula nyumbani inakuwa poa tu
Ila kwa sisi tunaouza
Mteja bila kuona ule mchongoko na wembamba wa Basmati hakuelewi kabisa😂💔
Ook kumbe wewe la kuuza!nilijua la nyumbani..hapo sawaSiyo lazima
Waweza tumia mchele wa kawaida tu ila ule grade 1 kama ulivyosema
Kwa ajili ya kula nyumbani inakuwa poa tu
Ila kwa sisi tunaouza
Mteja bila kuona ule mchongoko na wembamba wa Basmati hakuelewi kabisa😂💔
Unachanganya nilipika basmati nusu na robo mchele wa kawaida nikaiweka robo Ilikuwa tamu sana na halikumwagika kama inavokuwaga ulichambuka vizuriUlichanganya? Hivi tukitumia ule mchele grade 1 unaouzwa kuanzia 3500-600 halitokuwa pambe?hebu weekend tujaribuni halafu tupeane mrejesho kama vipi Saint Anne
Mchele wa basmati kuwa Boko sio rahis unachofanya basmati unaloweka Ile ya kawaida niliosha nikakaa kma dakika 5 nikaweka na haukuwa Boko sema Mimi Huwa napalia nisipopika wali kwenye mkaa sielewag 😀Mimi nilivyochanganya nikatoa bomu,sirudii tena.
Kwanza unatofautiana kuiva,,Kuna mmoja unawahi,mwingine unachelewa.
Sijui ndio ushamba
Nisipoona mchele imenyooka kama spoku naona bado sijala biriyani.