Hivi kazi ya walimu ni nini?

ntuchake

JF-Expert Member
Apr 17, 2024
437
1,607
Navojua kazi ya walimu ni kufundisha, ila sina uhakika kama walimu wa siku hizi wanajua kazi yao na sababu ya wao kua shuleni!!

Mwalimu kila siku anampa mwanafunzi homework nyingi ambazo darasani hajafundisha! Unatoa homework ambayo hujafundisha darasani unategemea mwanafunzi afanyaje?

Matokeo yake kila siku watoto wakirudi naanzisha tuition nyumbani kuanza kufundisha vitu ambavyo mwalimu alitakiwa afundishe darasani!

Pesa ya ada nalipa ili mtoto aje asome afundishwe lakini hafundishwi, walimu wanategemea wazazi wawafundishe watoto kufanya homework! Nimechoka hii tabia ya walimu na homework wanazotoa!

Kesho nawafata shule either wanilipe hela ya kumfundisha mtoto kufanya homework au wamfundishe mtoto kama inavyotakiwa kama pesa natoa tena nyingi tu!!

Natoa pesa watoto wasome ndo maana nimewaleta shule! Au mnafikiri wazazi hatuna kazi mpaka tuwafanyie kazi yenu ambayo tunawalipa?
 
Navojua kazi ya walimu ni kufundisha! Sasa hawa walimu wa siku hizi naona hawafundishi wanaleta michezo tu.

Mwalimu kila siku anampa mwanafunzi homework nyingi ambazo darasani hajafundisha! Unatoa homework ambayo hujafundisha darasani unategemea mwanafunzi atafanyaje homework?

Matokeo yake kila siku watoto wakirudi naanzisha tuition nyumbani kuanza kufundisha vitu ambavyo mwalimu alitakiwa afundishe darasani!

Pesa ya ada nalipa ili mtoto aje asome afundishwe lakini hafundishwi, walimu wanategemea wazazi wawafundishe watoto kufanya homework! Nimechoka hii tabia ya walimu na homework wanazotoa!

Kesho nawafata shule either wanilipe hela ya kumfundisha mtoto kufanya homework au wamfundishe mtoto kama inavyotakiwa kama pesa natoa tena nyingi tu!!

Natoa pesa watoto wasome ndo maana nimewaleta shule! Au mnafikiri wazazi hatuna kazi mpaka tuwafanyie kazi yenu ambayo tunawalipa?
Comrade, kama jambo hulifahamu, uwe unauliza ili ufahamishwe! Nchi yetu ilishatoka kitambo kwenye mfumo wa zamani wa kufundishia maarufu kwa jina la Traditional Educational Model, ambao mwalimu ndiyo alikuwa kila kitu kwa mwanafunzi (yaani Teacher centered learning)!! Yaani kipindi hicho jukumu la mwalimu lilikuwa ni kufundisha tu muda wote, na wanafunzi nao ni kusikiliza tu na ku copy notes.

Na sasa mfumo unaotumika ni wa Competence Based Educational Model (CBE), ambao mwalimu anatakiwa kumuongoza tu mwanafunzi kwenye kujipatia maarifa! (yaani Students' centered learning). Na njia mojawapo inayotumika ni hiyo ya kuwapa wanafunzi homeworks, kuwagawa kwenye makundi na kujadili, na baadaue kuwasilisha mada waliyopewa, nk!

Sasa wewe kwa nini unaumia, na wakati mwalimu anatimiza wajibu wake kwa mujibu wa muundo wa elimu wa sasa! Au hizo homeworks huwa hazisaishwi? Hakuna wanachosoma huko shuleni kuanzia asubuhi mpaka jioni, mpaka uhoji kama walimu wanafanya kazi gani siku hizi?
 
Navojua kazi ya walimu ni kufundisha, ila sina uhakika kama walimu wa siku hizi wanajua kazi yao na sababu ya wao kua shuleni!!

Mwalimu kila siku anampa mwanafunzi homework nyingi ambazo darasani hajafundisha! Unatoa homework ambayo hujafundisha darasani unategemea mwanafunzi afanyaje?

Matokeo yake kila siku watoto wakirudi naanzisha tuition nyumbani kuanza kufundisha vitu ambavyo mwalimu alitakiwa afundishe darasani!

Pesa ya ada nalipa ili mtoto aje asome afundishwe lakini hafundishwi, walimu wanategemea wazazi wawafundishe watoto kufanya homework! Nimechoka hii tabia ya walimu na homework wanazotoa!

Kesho nawafata shule either wanilipe hela ya kumfundisha mtoto kufanya homework au wamfundishe mtoto kama inavyotakiwa kama pesa natoa tena nyingi tu!!

Natoa pesa watoto wasome ndo maana nimewaleta shule! Au mnafikiri wazazi hatuna kazi mpaka tuwafanyie kazi yenu ambayo tunawalipa?
Homework lengo lake mwanafunzi aongeze ufahamu zaidi kwenye mambo aliyofundishwa pamoja na Yale atakayofundishwa mbeleni ni kitu cha mhimu hapo mzazi wanunulie tu vitabu viwepo nyumbani
 
Navojua kazi ya walimu ni kufundisha, ila sina uhakika kama walimu wa siku hizi wanajua kazi yao na sababu ya wao kua shuleni!!

Mwalimu kila siku anampa mwanafunzi homework nyingi ambazo darasani hajafundisha! Unatoa homework ambayo hujafundisha darasani unategemea mwanafunzi afanyaje?

Matokeo yake kila siku watoto wakirudi naanzisha tuition nyumbani kuanza kufundisha vitu ambavyo mwalimu alitakiwa afundishe darasani!

Pesa ya ada nalipa ili mtoto aje asome afundishwe lakini hafundishwi, walimu wanategemea wazazi wawafundishe watoto kufanya homework! Nimechoka hii tabia ya walimu na homework wanazotoa!

Kesho nawafata shule either wanilipe hela ya kumfundisha mtoto kufanya homework au wamfundishe mtoto kama inavyotakiwa kama pesa natoa tena nyingi tu!!

Natoa pesa watoto wasome ndo maana nimewaleta shule! Au mnafikiri wazazi hatuna kazi mpaka tuwafanyie kazi yenu ambayo tunawalipa?
Then umekuwa eti labed kama jf expert member. Wewe ni mhuni ambaye umepata watoto nao ni the coming wahuni
 
Back
Top Bottom