Historia ya Mwl. Julius Nyerere kwa undani

Umesoma iyo thread yote, unataka kupingana na historia...
Umeona wazungu walitaka Tanganyika ipate uhuru mwaka gani?
Kwahiyo nyerere alikuwa anaenda UN, US congress miaka hiyo kunywa chai ama?
Hakuna mapambano yoyote yaliyokuwepo. Unaweza kunitajia pande zilizokuwa zinapambana na ni nani walikuwa wapiganaji kila upande? Unataka utundanganye kuwa Mwl Nyerere na wazee wa Kariakoo walisimama upande mmoja dhidi ya Dola la Malkia wa Uingereza halafu eti akashinda kwenye 'mapambano'?
Muda wao wa kuachia koloni ulifika wakaachia. Wangekuwa wanaitaka hii nchi wangekuwepo hadi leo kama makaburu wa Afrika Kusini.
 
Umesoma iyo thread yote, unataka kupingana na historia...
Umeona wazungu walitaka Tanganyika ipate uhuru mwaka gani?
Kwahiyo nyerere alikuwa anaenda UN, US congress miaka hiyo kunywa chai ama?
Ni sawa, lakini siyo ushawishi wake ulioleta uhuru. Ni muda ulifika. Na wakoloni wakaona hata wa kumpa uongozi kumbe yupo, wakaachia koloni. Wangekuwa hawataki kuachia, hata huyo Nyerere tungekuja kumsoma vitabuni kama akina Chifu Songea na wenzake walivyonyongwa.
Nyerere alikwenda UN kwa facilitation kamili ya wakoloni, walimpa visa na alipanda ndege zao.
 
Ni sawa, lakini siyo ushawishi wake ulioleta uhuru. Ni muda ulifika. Na wakoloni wakaona hata wa kumpa uongozi kumbe yupo, wakaachia koloni. Wangekuwa hawataki kuachia, hata huyo Nyerere tungekuja kumsoma vitabuni kama akina Chifu Songea na wenzake walivyonyongwa.
Nyerere alikwenda UN kwa facilitation kamili ya wakoloni, walimpa visa na alipanda ndege zao.

Mkuu usijichoshe sana, hivyo ni vichwa vigumu
 
I first met Julius Kambarage Nyerere in 1955. At this time I was assigned by Msgr. Gerard Grondin, Prefect Apostolic of the Prefecture of Musoma, Tanzania (formerly called Tanganyika) to open a new mission among the Zanaki Ethnic Group (formerly called tribe).​

Written and signed by Father Arthur H. Wille M.M.
Musoma, Tanzania
February 1, 2005
Mkuu Shemeji Yeho, YEHODAYA, thanks for this. Hii ndio naiona leo, wana jf wa kusoma hii kitu yote, tuliobakia humu ni wachache mimi nikiwa miongoni mwao.

Leo tarehe 14 October ni siku ya Nyerere Day, tumuenzi kwa kujikumbushe tuliwahi kusema nini, kumhusu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Happy Nyerere Day.
Paskali
 
Back
Top Bottom