Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Mimi nadhani IGP hatoshi kwenye nafasi yake, maana tumekuwa na matukio ya ujambazi kila kukicha bila njia stahiki za kukabiliana na waharifu na vile vile alikuwa anacheka cheka tu wakati rais anaongelea juu ya kuwanyang'anya majambazi silaha, sasa sijui kitu gani kilikuwa kinamfurahisha wakati kuna askari kibao tu na raia wamepoteza maisha kwa sababu ya majambazi. Mbona kipindi cha Mrema aliweza japo kupunguza?? Labda tusubiri Mwigulu. Ila kwa mtizamo wangu, Paul Makonda alifaa nafasi ya uwaziri wa mambo ya ndani.

Mshauri mkuu
 
Wanabodi,

Wewe kama mwana JF, unapata an added advantage to be the first to know, ambapo leo katika tukio la maboresho ya jeshi la polisi, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais, Dr. John Pombe Magufuli, ametoa kauli kwa kutumia fasihi, ambapo ameliamuru jeshi la polisi, kukabiliana na majambazi wenye silaha kwa "kuwanyang'anya silaha kwa kutumia mbinu za medani, (kivita) (MM) ambazo hutumiwa na majeshi wakati wa vita, ambapo kazi huwa ni moja tuu, kumteketeza adui!.

Amri hiyo kwa Jeshi la Polisi, inamaanisha, Polisi hawahitaji tena kuwakamata majambazi wanaotumia silaha, bali kukabiliana nao kwa kuwaua papo kwa papo, na polisi wataofanya mauaji hayo ya kuwauwa majambazi hayo papo kwa papo bila kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria, hawatafikishwa tena mahakamani, kama zamani, bali sasa watapandishwa vyeo!.

Agizo hilo limepokelewa kwa shangwe na makofi kwa kila aliyekuwe pale.

Rais huku akisema kwa msisitizo kwa kutumia fasihi ya "kuwanyanganya silaha", kwa vile majambazi wanatumia silaha, zenye risasi kufanya ujambazi, na jeshi la polisi nalo wanazo silaha zenye risasi, haoni kwa nini majambazi hayo yasinyang'anywe silaha zao!. Namna pekee ya kunyanganya silaha jambazi mwenye silaha, ni kumalizana nao, papo kwa papo!.

Sina shaka kabisa na nia ya dhati ya rais Magufuli, kutoa amri, hiyo, kufuatia nchi na wananchi kuchoshwa na vitendo vya ujambazi kuongezeka, hivyo majambazi wakijua kuwa wakikamatwa watauwawa right away, then, amri hii badala ya kupunguza ujambazi wa kutumia silaha, ndio kwanza utaongeza impunity kwa majambazi wanaotumia silaha, na wakati huo huo kuligeuza jeshi letu la polisi kugeuka Gestapo!.

Sio majambazi wote wanaotumia silaha, zile silaha zao zina risasi!, wengine huzitumia kutishia tuu, lakini hawana nia ya kufanya mauaji, na kuna wengine hubeba silaha ambazo hazina risasi, na wengine hutumia toy pisto!, lakini kufuatia amri hii, polisi ndio kwanza wamekuwa licenced to kill!.

Tanzania ni nchi ya kidemokasia inayofuata katiba yenye kuzingatia haki na utawala wa sheria!, amri kuu ya kwanza ya haki, ni "no one is condemned unheard", yaani hakuna mtu atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Amri hii ya rais, imewapa mamlaka polisi, sio tena kuchunguza, kukamata na kuwapeleke majambazi wanaotumia silaha, mbele ya sheria, bali sasa polisi hawana tena haja ya kukamata na kufanya uchunguzi, bali kukitokea tuu tukio la uhalifu wa kutumia silaha, polisi wamepewa mamlaka kuwa ni wachunguzi, prosecutors, mahakimu tena kwa kutoa "capital punishment", na hakuna tena haja ya kumsubiri rais kuzisaini hizo hati za capital punishment, bali, wao wenyewe kutumia MM, kuitekeleza adhabu ya kifo, na baada ya hapo kusubirria kupandishwa vyeo!. Just imagine mashindano ya kupanda vyeo miongoni mwa polisi wetu!.

Kama wanasheria wetu, hawatashitushwa na amri hii ya rais, nitaamini sasa Watanzania wameanza kumwelewa rais wetu, na ukiisha elewa, huna haja ya kuhoji!.

Angalizo: Sitetei vitendo vyovyote vya uhalifu wa aina yoyote, bali natetea utoaji wa haki!, hata jambazi anayetumia silaha, anastahili kutendewa haki!. Natolea mfano wa nchi mbili za Maekani na Uingeeza. Miaka ya nyuma nchi zote hizi zilikubwa na vitendo vingi vya mauaji. Uingeeza ikafuta adhabu ya kifo!, vitendo vya mauaji, vikapungua kwa kiasi kikubwa!. Maekani ikaendelea na adhabu ya kifo, vitendo vya mauaji bado vimeongezeka!.

Amri ya kuwaua majambazi papo kwa papo, haitapunguza ujambazi, bali itawafanya hao majambazi ndio kugeua wauwaji wakuu, kwa hoja za "ama zao, ama zetu" na kwenye tukio lolote la ujambazi wa kutumia silaha, polisi wakitokea, sasa sio tena kutuliza amani bali kufanya a blood bath!, hivyo polisi sasa pia watakuwa ni target ya majambazi!.

Kwetu sisi waandishi, ikitokea polisi wakakutana na gun mike, au boom mike, au hata kamera wakaiona ni kama sihaha!, kama ilivyotokea mwa Daudi Mwangosi!, askai mhusika, atapandishwa cheo!. Kama wale vija wa Zombe, sasa watawadiwa vyeo!.

Huko nyuma niliwahi kushauri, kama katiba ni kikwazo, rais Magufuli, aiweke pembeni katiba na badala yake atawale kwa kutumia 'presidential decrees' tuu!. Hivyo kwa amri hii ya polisi kuua majambazi papo kwa papo, kama mahakama ni kikwazo, pia anaweza kuiweka pembeni, na kuwatumia polisi kutoa hukumu za kifo cha papo kwa papo, tena hili litaokoa fedha nyingi sana, maana majaji wa mahakama zetu, wanahudumiwa kwa gharama kubwa sana!.

Wasiwasi wangu kwa amri kama hizi, sio ili kuokoa maisha ya majambazi wanaotumia silaha, au kuwaacha tuu majambazi wanaotumia silaha kuua, lakini wao kuuliwa tuinawatetea!, no!, wasiwasi wangu ni utekelezaji wa amri za aina hii, zisije kuwa kwa majambazi ni mwanzo tuu, baadae amri kama hizi za 'kinyemela' zikaelekezwa kwa makundi mengine, yanayoonekana ni kero!.

Hata Adolfu alipoanza, alianza hivi hivi kwa kushangiliwa na umati wa watu!, ni baadae sana, ndipo watu wakajuta!, chonde chonde twendeni taratibu jamani tusije kujuta!.

Jumamosi Njema.

Pasco

Hivi Mkuu Pasco unafahamu ni kwanini raisi JPM kataka kuona hiyo call centre?

Ni kwasababu polisi wamekuwa wakizembea kwenye suala la response kwa wananchi.

Hivyo kwa kuwa na "dedicated and state of the art call center" kama hiyo itasaidia sana wale "Arms Response Unit" kutekeleza jukumu la polisi la kupambana na majambazi.

Raisi kutoa ishara ya kuruhusu Polisi kunyang'anya majambazi silaha ni sawa kabisa.

Ujambazi wa sasa Tanzania unahusisha "well coordinated and highly organised criminals" ambao ni wa makundi mbalimbali.

Haichukui muda mwingi kutambua hilo kutokana na aina ya ujambazi unaofanyika iwe kwenye mabenki na kwenye vituo vya polisi ambapo silaha zinaporwa.

Ndio maana wale wote wanaomiliki silaha walishauriwa kuhakiki silaha zao, na Amiri Jeshi Mkuu mwenyewe akahakiki silaha zake.

"Licence to kill" ipo sehemu nyingi duniani hasa kwa hizi "organised crimes" na nchi zingine hasa hizo ulizozitaja za Uingereza na Marekani, ukiwa umeshilikia "toy gun" unawashwa tu maana kunakuwa hamna namna.

Wakati mwingine unapopiga simu polisi ya kuhusu kutishiwa maisha yako au kuna jambazi sehemu hawatakuja polisi wa kawaida bali wale wa "Arms response unit" yaani wenye silaha na hawatakuwa na simile na mshika bunduki.

Cha msingi ni kuhakikisha kuna guidelines za kufuata kuanzia simu ilipopigwa hadi "response" ilivyofanyika na kunakuwepo na uchunguzi wa tukio zima na independent body ambayo inaangalia "performance" ya polisi.

Ila hata bodi hiyo ikijatoa taarifa ya uchunguzi wake, tayari jambazi anakuwa alikwishazikwa na uhalifu umepotea mitaani.
 

Wanabodi,

Wewe kama mwana JF, unapata an added advantage to be the first to know, ambapo leo katika tukio la maboresho ya jeshi la polisi, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais, Dr. John Pombe Magufuli, ametoa kauli kwa kutumia fasihi, ambapo ameliamuru jeshi la polisi, kukabiliana na majambazi wenye silaha kwa "kuwanyang'anya silaha kwa kutumia mbinu za medani, (kivita) (MM) ambazo hutumiwa na majeshi wakati wa vita, ambapo kazi huwa ni moja tuu, kumteketeza adui!.

Amri hiyo kwa Jeshi la Polisi, inamaanisha, Polisi hawahitaji tena kuwakamata majambazi wanaotumia silaha, bali kukabiliana nao kwa kuwaua papo kwa papo, na polisi wataofanya mauaji hayo ya kuwauwa majambazi hayo papo kwa papo bila kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria, hawatafikishwa tena mahakamani, kama zamani, bali sasa watapandishwa vyeo!.

Agizo hilo limepokelewa kwa shangwe na makofi kwa kila aliyekuwe pale.

Rais huku akisema kwa msisitizo kwa kutumia fasihi ya "kuwanyanganya silaha", kwa vile majambazi wanatumia silaha, zenye risasi kufanya ujambazi, na jeshi la polisi nalo wanazo silaha zenye risasi, haoni kwa nini majambazi hayo yasinyang'anywe silaha zao!. Namna pekee ya kunyanganya silaha jambazi mwenye silaha, ni kumalizana nao, papo kwa papo!.

Sina shaka kabisa na nia ya dhati ya rais Magufuli, kutoa amri, hiyo, kufuatia nchi na wananchi kuchoshwa na vitendo vya ujambazi kuongezeka, hivyo majambazi wakijua kuwa wakikamatwa watauwawa right away, then, amri hii badala ya kupunguza ujambazi wa kutumia silaha, ndio kwanza utaongeza impunity kwa majambazi wanaotumia silaha, na wakati huo huo kuligeuza jeshi letu la polisi kugeuka Gestapo!.

Sio majambazi wote wanaotumia silaha, zile silaha zao zina risasi!, wengine huzitumia kutishia tuu, lakini hawana nia ya kufanya mauaji, na kuna wengine hubeba silaha ambazo hazina risasi, na wengine hutumia toy pisto!, lakini kufuatia amri hii, polisi ndio kwanza wamekuwa licenced to kill!.

Tanzania ni nchi ya kidemokasia inayofuata katiba yenye kuzingatia haki na utawala wa sheria!, amri kuu ya kwanza ya haki, ni "no one is condemned unheard", yaani hakuna mtu atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Amri hii ya rais, imewapa mamlaka polisi, sio tena kuchunguza, kukamata na kuwapeleke majambazi wanaotumia silaha, mbele ya sheria, bali sasa polisi hawana tena haja ya kukamata na kufanya uchunguzi, bali kukitokea tuu tukio la uhalifu wa kutumia silaha, polisi wamepewa mamlaka kuwa ni wachunguzi, prosecutors, mahakimu tena kwa kutoa "capital punishment", na hakuna tena haja ya kumsubiri rais kuzisaini hizo hati za capital punishment, bali, wao wenyewe kutumia MM, kuitekeleza adhabu ya kifo, na baada ya hapo kusubirria kupandishwa vyeo!. Just imagine mashindano ya kupanda vyeo miongoni mwa polisi wetu!.

Kama wanasheria wetu, hawatashitushwa na amri hii ya rais, nitaamini sasa Watanzania wameanza kumwelewa rais wetu, na ukiisha elewa, huna haja ya kuhoji!.

Angalizo: Sitetei vitendo vyovyote vya uhalifu wa aina yoyote, bali natetea utoaji wa haki!, hata jambazi anayetumia silaha, anastahili kutendewa haki!. Natolea mfano wa nchi mbili za Maekani na Uingeeza. Miaka ya nyuma nchi zote hizi zilikubwa na vitendo vingi vya mauaji. Uingeeza ikafuta adhabu ya kifo!, vitendo vya mauaji, vikapungua kwa kiasi kikubwa!. Maekani ikaendelea na adhabu ya kifo, vitendo vya mauaji bado vimeongezeka!.

Amri ya kuwaua majambazi papo kwa papo, haitapunguza ujambazi, bali itawafanya hao majambazi ndio kugeua wauwaji wakuu, kwa hoja za "ama zao, ama zetu" na kwenye tukio lolote la ujambazi wa kutumia silaha, polisi wakitokea, sasa sio tena kutuliza amani bali kufanya a blood bath!, hivyo polisi sasa pia watakuwa ni target ya majambazi!.

Kwetu sisi waandishi, ikitokea polisi wakakutana na gun mike, au boom mike, au hata kamera wakaiona ni kama sihaha!, kama ilivyotokea mwa Daudi Mwangosi!, askai mhusika, atapandishwa cheo!. Kama wale vija wa Zombe, sasa watawadiwa vyeo!.

Huko nyuma niliwahi kushauri, kama katiba ni kikwazo, rais Magufuli, aiweke pembeni katiba na badala yake atawale kwa kutumia 'presidential decrees' tuu!. Hivyo kwa amri hii ya polisi kuua majambazi papo kwa papo, kama mahakama ni kikwazo, pia anaweza kuiweka pembeni, na kuwatumia polisi kutoa hukumu za kifo cha papo kwa papo, tena hili litaokoa fedha nyingi sana, maana majaji wa mahakama zetu, wanahudumiwa kwa gharama kubwa sana!.

Wasiwasi wangu kwa amri kama hizi, sio ili kuokoa maisha ya majambazi wanaotumia silaha, au kuwaacha tuu majambazi wanaotumia silaha kuua, lakini wao kuuliwa tuinawatetea!, no!, wasiwasi wangu ni utekelezaji wa amri za aina hii, zisije kuwa kwa majambazi ni mwanzo tuu, baadae amri kama hizi za 'kinyemela' zikaelekezwa kwa makundi mengine, yanayoonekana ni kero!.

Hata Adolfu alipoanza, alianza hivi hivi kwa kushangiliwa na umati wa watu!, ni baadae sana, ndipo watu wakajuta!, chonde chonde twendeni taratibu jamani tusije kujuta!.

Jumamosi Njema.

Pasco[/QUOTE]
UKAWA UKIWA! kama kawa endeleeni kujitambulisha na kuthibitisha kuwa nyinyi ni GENGE la kusapoti WAOVU wa aina yoyote!
 
mh, mbona mi naona sawa tu.

just imajin, mtu anakuvamia akiwa na silaha,anakuweka chini ya amri zake, anachukua anachotaka na ukifanya masihara anakutoa maisha mm kwa upande wangu sioni sababu za kuwachekea watu kama hawa.

kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu, i don't think so, watuwamechishwa na hali ya kutokaa kwa amani.
Mkuu unaweza usione taabu kwa kuichukulia kauli ya Rais juu juu tu. Kauli kama hiyo ingetolewa kwenye jamii ya watu waliostaarabika tungekuwa tunatoa michango ina reflect jamii husika. Kwa ujumla jamii yetu bado hatujastaraabika kwa mantiki zifuatozo, Kutoheshimu haki za binadamu na hili ni tatizo kuanzia kwa kiongozi aliyetoa kauli hiyo. Leo hii chukulia mfano, wewe umetuhumiwa na jirani yako au mtu yoyote amekutuhumu kwamba umetenda kosa. Akaenda polisi kutoa taarifa, polisi wakija kukukama, badala ya kufuata taratibu na kuheshimu haki zako kama binadamu, watakupiga na kukudharirisha hata kama hujakataa kukamatwa. Hili tu linaonyesha jinsi gani polisi wetu hana ustaarabu wa kuheshimu haki zako wewe kama mtuhumiwa. (Kumbuka wewe bado ni innocent mpaka mahaka itakapo prove otherwise). Sheria inasema hakuna mtu mwenye haki ya kumsababishia mtu yeyote madhara ya mwili au aina yoyote ile lakini polisi wetu hawaheshimu sheria hii badala yake wamekuwa wakisababisha madhara ya mwili kwa watuhumiwa kwa kuwapiga mateke na marungu. Fikiria kama hilo dogo wameshindwa je, kumbiwa kuwa Ua na baada ya kuuwa huna kesi ya kujibu badala yake utapandishwa cheo na mshahara mkubwa juu. Kama wewe una bifu na askari polisi kumbuka kifo cha risasi kinakusubiri japokuwa wewe siyo jambazi. Utauliwa kwa kisingizio cha ujambazi na kwenye maiti yako ulipouliwa wataweka silaha walioitoa kwenye maghala yao na biashara imekwisha hakuna kesi na jamaa aliyekuua nyota mabegani zinaongezeka. Mbali na Urais, mimi nasema kwa umri wake tu ule hakupaswa kuongea hivyo. Kwa sababu Umri ule unapotaka kuongea kitu lazima ukitafakari mara mbili ili kuona kama hakitaleta mkanganyiko katika jamii. Hii ni sawa na baba wa familia, unavyoongea na watoto wako ungali kijana ni tofauti na unavyoongea nao ukiwa mzee.
 
Pasco kuna mapungufu mengi sana kwenye Tamko la Rais.
Nadhani ange reserch madhara ya hili tamko kabla.
Yani maisha ya watu sasa yatategemea busara na hali ya askari.
Askari wanaograduate siku hizi ni vijana wadogo wenye busara ya unene wa wembe.
Halafu sidhani kama katiba inampa rais nguvu ya kuamua kipi kiende mahakamani na kipi kisiende.
Rais ametoa ruhusa rasmi ya kujichukulia sheria mkononi.
Yani I can't belive this, all one has to do is show up with a dead body and a weapon.
And no questions, no nothing, you rise in rank'
we should expect a lot of roadside justice.
Magufuli anaonekana kuwa na matatizo makubwa mawili kila anapokuwa mbele ya watu anahutubia; moja ni kupenda kufurahisha masikio ya watu ili wamshangilie, na pili huwa hasomi hotuba anazoandikiwa badala yake anaweka mbele hisia zake binafsi. Matokeo yake mambo ambayo mtu unaweza kuyasema kijiweni yasiwe na madhara anayasema hadharani na kuishia kuharibu kila kitu.
 
Pasco kuna mapungufu mengi sana kwenye Tamko la Rais.
Nadhani ange reserch madhara ya hili tamko kabla.
Yani maisha ya watu sasa yatategemea busara na hali ya askari.
Askari wanaograduate siku hizi ni vijana wadogo wenye busara ya unene wa wembe.
Halafu sidhani kama katiba inampa rais nguvu ya kuamua kipi kiende mahakamani na kipi kisiende.
Rais ametoa ruhusa rasmi ya kujichukulia sheria mkononi.
Yani I can't belive this, all one has to do is show up with a dead body and a weapon.
And no questions, no nothing, you rise in rank'
we should expect a lot of roadside justice.
pole jambazi mda wenu umeshafika
 
Mkuu unaweza usione taabu kwa kuichukulia kauli ya Rais juu juu tu. Kauli kama hiyo ingetolewa kwenye jamii ya watu waliostaarabika tungekuwa tunatoa michango ina reflect jamii husika. Kwa ujumla jamii yetu bado hatujastaraabika kwa mantiki zifuatozo, Kutoheshimu haki za binadamu na hili ni tatizo kuanzia kwa kiongozi aliyetoa kauli hiyo. Leo hii chukulia mfano, wewe umetuhumiwa na jirani yako au mtu yoyote amekutuhumu kwamba umetenda kosa. Akaenda polisi kutoa taarifa, polisi wakija kukukama, badala ya kufuata taratibu na kuheshimu haki zako kama binadamu, watakupiga na kukudharirisha hata kama hujakataa kukamatwa. Hili tu linaonyesha jinsi gani polisi wetu hana ustaarabu wa kuheshimu haki zako wewe kama mtuhumiwa. (Kumbuka wewe bado ni innocent mpaka mahaka itakapo prove otherwise). Sheria inasema hakuna mtu mwenye haki ya kumsababishia mtu yeyote madhara ya mwili au aina yoyote ile lakini polisi wetu hawaheshimu sheria hii badala yake wamekuwa wakisababisha madhara ya mwili kwa watuhumiwa kwa kuwapiga mateke na marungu. Fikiria kama hilo dogo wameshindwa je, kumbiwa kuwa Ua na baada ya kuuwa huna kesi ya kujibu badala yake utapandishwa cheo na mshahara mkubwa juu. Kama wewe una bifu na askari polisi kumbuka kifo cha risasi kinakusubiri japokuwa wewe siyo jambazi. Utauliwa kwa kisingizio cha ujambazi na kwenye maiti yako ulipouliwa wataweka silaha walioitoa kwenye maghala yao na biashara imekwisha hakuna kesi na jamaa aliyekuua nyota mabegani zinaongezeka. Mbali na Urais, mimi nasema kwa umri wake tu ule hakupaswa kuongea hivyo. Kwa sababu Umri ule unapotaka kuongea kitu lazima ukitafakari mara mbili ili kuona kama hakitaleta mkanganyiko katika jamii. Hii ni sawa na baba wa familia, unavyoongea na watoto wako ungali kijana ni tofauti na unavyoongea nao ukiwa mzee.

Mkuu, kinachoongelewa ni majambazi kutumia silaha na kupora kwenye mabenki na majumbani mwa watu.

Rejea lile tukio la Salasala ambapo raia mwema mwenye fedha zake alipigwa risasi kama nguruwe pori na kisha begi la pesa zake kuchukuliwa.

Tunazungumzia "serious organised crimes" wa kutumia silaha na sio wizi wa kuku.
 
Barbarosa unataka kutuambia Magufuli amekuwa Yesu, sasa anaongea in 'parables'?
Ok, sio mbaya kama Injinia wetu ameamua kuongea kwa 'codes'
Mtupe na sisi hizo code tuwe tunaelewa.
Yani, haki ya nani, watumishi wa umma tripu hii watakoma.
Unapewa order kwa 'metaphor'!!
Lazma uwe na uwezo wa ku decord,la sivo you raise the hell
 
Hivi Mkuu Pasco unafahamu ni kwanini raisi JPM kataka kuona hiyo call centre?

Ni kwasababu polisi wamekuwa wakizembea kwenye suala la response kwa wananchi.

Hivyo kwa kuwa na "dedicated and state of the art call center" kama hiyo itasaidia sana wale "Arms Response Unit" kutekeleza jukumu la polisi la kupambana na majambazi.

Raisi kutoa ishara ya kuruhusu Polisi kunyang'anya majambazi silaha ni sawa kabisa.

Ujambazi wa sasa Tanzania unahusisha "well coordinated and highly organised criminals" ambao ni wa makundi mbalimbali.

Haichukui muda mwingi kutambua hilo kutokana na aina ya ujambazi unaofanyika iwe kwenye mabenki na kwenye vituo vya polisi ambapo silaha zinaporwa.

Ndio maana wale wote wanaomiliki silaha walishauriwa kuhakiki silaha zao, na Amiri Jeshi Mkuu mwenyewe akahakiki silaha zake.

"Licence to kill" ipo sehemu nyingi duniani hasa kwa hizi "organised crimes" na nchi zingine hata ukiwa umeshilikia "toy gun" unawashwa tu maana kunakuwa hamna namna.

Wakati mwingine unapopiga simu polisi ya kuhusu kutishiwa maisha yako au kuna jambazi sehemu hawatakuja polisi wa kawaida bali wale wa "Arms response unit" yaani wenye silaha na hawatakuwa na simile na mshika bunduki.

Cha msingi ni kuhakikisha kuna guidelines za kufuata kuanzia simu ilipopigwa hadi "response" ilivyofanyika na kunakuwepo na uchunguzi wa tukio zima na independent body ambayo inaangalia "performance" ya polisi.

Ila hata bodi hiyo ikijatoa taarifa ya uchunguzi wake, tayari jambazi anakuwa alikwishazikwa na uhalifu umepotea mitaani.
Kwa hiyo tutakuwa na swat yetu au?
 
Hivi li lazima mgeji rasmi kuhutubia?

Naogopa sana hutuba za mgeni rasmi na pia ifahamike kuwa shuhuli yetu bado ndefu na titamuhitaji mgeni rasmi kwa hawamu tofauti. Na je! Kama kila tunapomkaribisha mgeni rasmi bni lazima ahutubie, sijui mpaka mwisho wa shuhuli jumbe zitakuwa ngapi.

Viva Pasco# umeeleweka kaka
 
Hivi li lazima mgeji rasmi kuhutubia?

Naogopa sana hutuba za mgeni rasmi na pia ifahamike kuwa shuhuli yetu bado ndefu na titamuhitaji mgeni rasmi kwa hawamu tofauti. Na je! Kama kila tunapomkaribisha mgeni rasmi bni lazima ahutubie, sijui mpaka mwisho wa shuhuli jumbe zitakuwa ngapi.

Viva Pasco# umeeleweka kaka

Mkuu, nawe una silaha umeficha uchagoni?

Lol
 

Wanabodi,

Wewe kama mwana JF, unapata an added advantage to be the first to know, ambapo leo katika tukio la maboresho ya jeshi la polisi, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais, Dr. John Pombe Magufuli, ametoa kauli kwa kutumia fasihi, ambapo ameliamuru jeshi la polisi, kukabiliana na majambazi wenye silaha kwa "kuwanyang'anya silaha kwa kutumia mbinu za medani, (kivita) (MM) ambazo hutumiwa na majeshi wakati wa vita, ambapo kazi huwa ni moja tuu, kumteketeza adui!.

Amri hiyo kwa Jeshi la Polisi, inamaanisha, Polisi hawahitaji tena kuwakamata majambazi wanaotumia silaha, bali kukabiliana nao kwa kuwaua papo kwa papo, na polisi wataofanya mauaji hayo ya kuwauwa majambazi hayo papo kwa papo bila kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria, hawatafikishwa tena mahakamani, kama zamani, bali sasa watapandishwa vyeo!.

Agizo hilo limepokelewa kwa shangwe na makofi kwa kila aliyekuwe pale.

Rais huku akisema kwa msisitizo kwa kutumia fasihi ya "kuwanyanganya silaha", kwa vile majambazi wanatumia silaha, zenye risasi kufanya ujambazi, na jeshi la polisi nalo wanazo silaha zenye risasi, haoni kwa nini majambazi hayo yasinyang'anywe silaha zao!. Namna pekee ya kunyanganya silaha jambazi mwenye silaha, ni kumalizana nao, papo kwa papo!.

Sina shaka kabisa na nia ya dhati ya rais Magufuli, kutoa amri, hiyo, kufuatia nchi na wananchi kuchoshwa na vitendo vya ujambazi kuongezeka, hivyo majambazi wakijua kuwa wakikamatwa watauwawa right away, then, amri hii badala ya kupunguza ujambazi wa kutumia silaha, ndio kwanza utaongeza impunity kwa majambazi wanaotumia silaha, na wakati huo huo kuligeuza jeshi letu la polisi kugeuka Gestapo!.

Sio majambazi wote wanaotumia silaha, zile silaha zao zina risasi!, wengine huzitumia kutishia tuu, lakini hawana nia ya kufanya mauaji, na kuna wengine hubeba silaha ambazo hazina risasi, na wengine hutumia toy pisto!, lakini kufuatia amri hii, polisi ndio kwanza wamekuwa licenced to kill!.

Tanzania ni nchi ya kidemokasia inayofuata katiba yenye kuzingatia haki na utawala wa sheria!, amri kuu ya kwanza ya haki, ni "no one is condemned unheard", yaani hakuna mtu atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Amri hii ya rais, imewapa mamlaka polisi, sio tena kuchunguza, kukamata na kuwapeleke majambazi wanaotumia silaha, mbele ya sheria, bali sasa polisi hawana tena haja ya kukamata na kufanya uchunguzi, bali kukitokea tuu tukio la uhalifu wa kutumia silaha, polisi wamepewa mamlaka kuwa ni wachunguzi, prosecutors, mahakimu tena kwa kutoa "capital punishment", na hakuna tena haja ya kumsubiri rais kuzisaini hizo hati za capital punishment, bali, wao wenyewe kutumia MM, kuitekeleza adhabu ya kifo, na baada ya hapo kusubirria kupandishwa vyeo!. Just imagine mashindano ya kupanda vyeo miongoni mwa polisi wetu!.

Kama wanasheria wetu, hawatashitushwa na amri hii ya rais, nitaamini sasa Watanzania wameanza kumwelewa rais wetu, na ukiisha elewa, huna haja ya kuhoji!.

Angalizo: Sitetei vitendo vyovyote vya uhalifu wa aina yoyote, bali natetea utoaji wa haki!, hata jambazi anayetumia silaha, anastahili kutendewa haki!. Natolea mfano wa nchi mbili za Maekani na Uingeeza. Miaka ya nyuma nchi zote hizi zilikubwa na vitendo vingi vya mauaji. Uingeeza ikafuta adhabu ya kifo!, vitendo vya mauaji, vikapungua kwa kiasi kikubwa!. Maekani ikaendelea na adhabu ya kifo, vitendo vya mauaji bado vimeongezeka!.

Amri ya kuwaua majambazi papo kwa papo, haitapunguza ujambazi, bali itawafanya hao majambazi ndio kugeua wauwaji wakuu, kwa hoja za "ama zao, ama zetu" na kwenye tukio lolote la ujambazi wa kutumia silaha, polisi wakitokea, sasa sio tena kutuliza amani bali kufanya a blood bath!, hivyo polisi sasa pia watakuwa ni target ya majambazi!.

Kwetu sisi waandishi, ikitokea polisi wakakutana na gun mike, au boom mike, au hata kamera wakaiona ni kama sihaha!, kama ilivyotokea mwa Daudi Mwangosi!, askai mhusika, atapandishwa cheo!. Kama wale vija wa Zombe, sasa watawadiwa vyeo!.

Huko nyuma niliwahi kushauri, kama katiba ni kikwazo, rais Magufuli, aiweke pembeni katiba na badala yake atawale kwa kutumia 'presidential decrees' tuu!. Hivyo kwa amri hii ya polisi kuua majambazi papo kwa papo, kama mahakama ni kikwazo, pia anaweza kuiweka pembeni, na kuwatumia polisi kutoa hukumu za kifo cha papo kwa papo, tena hili litaokoa fedha nyingi sana, maana majaji wa mahakama zetu, wanahudumiwa kwa gharama kubwa sana!.

Wasiwasi wangu kwa amri kama hizi, sio ili kuokoa maisha ya majambazi wanaotumia silaha, au kuwaacha tuu majambazi wanaotumia silaha kuua, lakini wao kuuliwa tuinawatetea!, no!, wasiwasi wangu ni utekelezaji wa amri za aina hii, zisije kuwa kwa majambazi ni mwanzo tuu, baadae amri kama hizi za 'kinyemela' zikaelekezwa kwa makundi mengine, yanayoonekana ni kero!.

Hata Adolfu alipoanza, alianza hivi hivi kwa kushangiliwa na umati wa watu!, ni baadae sana, ndipo watu wakajuta!, chonde chonde twendeni taratibu jamani tusije kujuta!.

Jumamosi Njema.

Pasco[/QUOTE]

With due respect PASCO, kamwe usipende kuulinganisha uongozi wa JPM na ule wa ADOLF HITLER. Unaweza ukawa mwandishi mzuri lakini kwa andiko hili ni wazi hujasoma historia ya namna CORPORAL Adolf Hitler alivyoweza kupata madaraka ya kuiongoza Ujerumani....Hujachelewa, nenda kasome historia ya Ujerumani na the Rise of NAZI in Germany. Usipende kupachika sensational terminologies katika masuala ya msingi. Soma kitabu cha Adolf Hitler cha Mein Kampf (My Struggle) ndiyo uje na maelezo yako hapa JF kuhusu Adolf Hitler. Usiwatishe Watanzania kwa kuwatamkia Adolf Hitler kwa kuulinganisha uongozi wa Adolf Hitler na ule wa JPM...Mimi binafsi nimeanza kupata wasiwasi na maandiko na ajenda yako humu JF na hasa kuhusiana na namna unavyouchukulia utawala wa awamu ya TANO...
 

Wanabodi,

Wewe kama mwana JF, unapata an added advantage to be the first to know, ambapo leo katika tukio la maboresho ya jeshi la polisi, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais, Dr. John Pombe Magufuli, ametoa kauli kwa kutumia fasihi, ambapo ameliamuru jeshi la polisi, kukabiliana na majambazi wenye silaha kwa "kuwanyang'anya silaha kwa kutumia mbinu za medani, (kivita) (MM) ambazo hutumiwa na majeshi wakati wa vita, ambapo kazi huwa ni moja tuu, kumteketeza adui!.

Amri hiyo kwa Jeshi la Polisi, inamaanisha, Polisi hawahitaji tena kuwakamata majambazi wanaotumia silaha, bali kukabiliana nao kwa kuwaua papo kwa papo, na polisi wataofanya mauaji hayo ya kuwauwa majambazi hayo papo kwa papo bila kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria, hawatafikishwa tena mahakamani, kama zamani, bali sasa watapandishwa vyeo!.

Agizo hilo limepokelewa kwa shangwe na makofi kwa kila aliyekuwe pale.

Rais huku akisema kwa msisitizo kwa kutumia fasihi ya "kuwanyanganya silaha", kwa vile majambazi wanatumia silaha, zenye risasi kufanya ujambazi, na jeshi la polisi nalo wanazo silaha zenye risasi, haoni kwa nini majambazi hayo yasinyang'anywe silaha zao!. Namna pekee ya kunyanganya silaha jambazi mwenye silaha, ni kumalizana nao, papo kwa papo!.

Sina shaka kabisa na nia ya dhati ya rais Magufuli, kutoa amri, hiyo, kufuatia nchi na wananchi kuchoshwa na vitendo vya ujambazi kuongezeka, hivyo majambazi wakijua kuwa wakikamatwa watauwawa right away, then, amri hii badala ya kupunguza ujambazi wa kutumia silaha, ndio kwanza utaongeza impunity kwa majambazi wanaotumia silaha, na wakati huo huo kuligeuza jeshi letu la polisi kugeuka Gestapo!.

Sio majambazi wote wanaotumia silaha, zile silaha zao zina risasi!, wengine huzitumia kutishia tuu, lakini hawana nia ya kufanya mauaji, na kuna wengine hubeba silaha ambazo hazina risasi, na wengine hutumia toy pisto!, lakini kufuatia amri hii, polisi ndio kwanza wamekuwa licenced to kill!.

Tanzania ni nchi ya kidemokasia inayofuata katiba yenye kuzingatia haki na utawala wa sheria!, amri kuu ya kwanza ya haki, ni "no one is condemned unheard", yaani hakuna mtu atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Amri hii ya rais, imewapa mamlaka polisi, sio tena kuchunguza, kukamata na kuwapeleke majambazi wanaotumia silaha, mbele ya sheria, bali sasa polisi hawana tena haja ya kukamata na kufanya uchunguzi, bali kukitokea tuu tukio la uhalifu wa kutumia silaha, polisi wamepewa mamlaka kuwa ni wachunguzi, prosecutors, mahakimu tena kwa kutoa "capital punishment", na hakuna tena haja ya kumsubiri rais kuzisaini hizo hati za capital punishment, bali, wao wenyewe kutumia MM, kuitekeleza adhabu ya kifo, na baada ya hapo kusubirria kupandishwa vyeo!. Just imagine mashindano ya kupanda vyeo miongoni mwa polisi wetu!.

Kama wanasheria wetu, hawatashitushwa na amri hii ya rais, nitaamini sasa Watanzania wameanza kumwelewa rais wetu, na ukiisha elewa, huna haja ya kuhoji!.

Angalizo: Sitetei vitendo vyovyote vya uhalifu wa aina yoyote, bali natetea utoaji wa haki!, hata jambazi anayetumia silaha, anastahili kutendewa haki!. Natolea mfano wa nchi mbili za Maekani na Uingeeza. Miaka ya nyuma nchi zote hizi zilikubwa na vitendo vingi vya mauaji. Uingeeza ikafuta adhabu ya kifo!, vitendo vya mauaji, vikapungua kwa kiasi kikubwa!. Maekani ikaendelea na adhabu ya kifo, vitendo vya mauaji bado vimeongezeka!.

Amri ya kuwaua majambazi papo kwa papo, haitapunguza ujambazi, bali itawafanya hao majambazi ndio kugeua wauwaji wakuu, kwa hoja za "ama zao, ama zetu" na kwenye tukio lolote la ujambazi wa kutumia silaha, polisi wakitokea, sasa sio tena kutuliza amani bali kufanya a blood bath!, hivyo polisi sasa pia watakuwa ni target ya majambazi!.

Kwetu sisi waandishi, ikitokea polisi wakakutana na gun mike, au boom mike, au hata kamera wakaiona ni kama sihaha!, kama ilivyotokea mwa Daudi Mwangosi!, askai mhusika, atapandishwa cheo!. Kama wale vija wa Zombe, sasa watawadiwa vyeo!.

Huko nyuma niliwahi kushauri, kama katiba ni kikwazo, rais Magufuli, aiweke pembeni katiba na badala yake atawale kwa kutumia 'presidential decrees' tuu!. Hivyo kwa amri hii ya polisi kuua majambazi papo kwa papo, kama mahakama ni kikwazo, pia anaweza kuiweka pembeni, na kuwatumia polisi kutoa hukumu za kifo cha papo kwa papo, tena hili litaokoa fedha nyingi sana, maana majaji wa mahakama zetu, wanahudumiwa kwa gharama kubwa sana!.

Wasiwasi wangu kwa amri kama hizi, sio ili kuokoa maisha ya majambazi wanaotumia silaha, au kuwaacha tuu majambazi wanaotumia silaha kuua, lakini wao kuuliwa tuinawatetea!, no!, wasiwasi wangu ni utekelezaji wa amri za aina hii, zisije kuwa kwa majambazi ni mwanzo tuu, baadae amri kama hizi za 'kinyemela' zikaelekezwa kwa makundi mengine, yanayoonekana ni kero!.

Hata Adolfu alipoanza, alianza hivi hivi kwa kushangiliwa na umati wa watu!, ni baadae sana, ndipo watu wakajuta!, chonde chonde twendeni taratibu jamani tusije kujuta!.

Jumamosi Njema.

Pasco[/QUOTE]

hii demokrasia mnayopeleka hadi kwa majambazi, sijui mmecopy wapi. mmekazana sana kutumia neno "demokrasia" kutetea uovu, lakini nyie ndio mlikuwa wa kwanza kutoa mfano wa china kuwa wananyonga ukifanya makosa. sitaki kuamini kuwa kwa sasa upinzan mmeishiwa hoja mmebaki kuandika maandiko yenye lengo la kuibua taharuki kwa wananchi. raisi yuko serious kujenga nchi, ni vema mkashirikiana nae kuliko kuhangaika na vihoja. watanzania tunataka upinzani imara sio huu wa uchochezi.
 
Back
Top Bottom