Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,537
Mimi nadhani IGP hatoshi kwenye nafasi yake, maana tumekuwa na matukio ya ujambazi kila kukicha bila njia stahiki za kukabiliana na waharifu na vile vile alikuwa anacheka cheka tu wakati rais anaongelea juu ya kuwanyang'anya majambazi silaha, sasa sijui kitu gani kilikuwa kinamfurahisha wakati kuna askari kibao tu na raia wamepoteza maisha kwa sababu ya majambazi. Mbona kipindi cha Mrema aliweza japo kupunguza?? Labda tusubiri Mwigulu. Ila kwa mtizamo wangu, Paul Makonda alifaa nafasi ya uwaziri wa mambo ya ndani.
Mshauri mkuu