The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,861
Umefanya vizuri kumuuliza hilo swali mleta mada coz hilo swali hua haliulizwi na sisi wa Kiumeni.Kwani unataka ale kwanza ndio atakula? Au ale alafu atakula?
Umefanya vizuri kumuuliza hilo swali mleta mada coz hilo swali hua haliulizwi na sisi wa Kiumeni.Kwani unataka ale kwanza ndio atakula? Au ale alafu atakula?
Nawapa onyo tu wajitahadhari☺️☺️☺️☺️nishakujua! Kwanini unatishia mods maisha?
acha mbwembwe umelipia kiingilio?Pliz if anyone knows any or all the drill commands used during parade matching in swahilli help me
Kua na nidhamu hutopewa banNawapa onyo tu wajitahadhari
mimi hukunikaribisha bossKaribu sana.
Welcome to JF!Hello, am new on the Forum.
Hili jina jipya labda nilanipa nidhamu maana lile dah linaupepo wa maovuKua na nidhamu hutopewa ban
UshaborongaaaaHili jina jipya labda nilanipa nidhamu maana lile dah linaupepo wa maovu
Kwanini ma loveUshaborongaaaa
Umemtishia mod! Hapo lazima wamekuekea alama ya XKwanini ma love
Kwahiyo? Mwanaume unataka kukaribishwa. Halafu hicho kizungu chako kiache huko fbHello, am new on the Forum.
Hamna kitu kama hichoUmemtishia mod! Hapo lazima wamekuekea alama ya X
😄😄akukule wewe tu maana jina lako latosha!
Active huna buku hapo?Karibu sana.