Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Hilo somo la siasa nililichukia sana hata walipoliremba kule sekondari wakaliita civics na high school GS....
Wewe sasa ni wa Juzi tu! Wala huwezi jiringanisha na hao jamaa wanaoleta hadithi za kina Manenge na Mandawa, Wazazi wako wankusifuuuuuuuuuuuuuuu! Angalia hao Siafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!! Kila Kazee kakisema fuuuuuuuu kanapoza chai wewe!!!!!! Maana jina la Civics limekuja juzi tu jamaa yangu enzi zile tulikuwa tunaita Siasa tu hata Sekondari.