yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Mnara wa Askari Kwa kiwango chochote huwezi kufananisha na diamond
mjerumani ameficha maboxi ya madini.hipo siku watakuja kununua au kuingia ubia ili wachimbue hapo.maana ni mjerumani ndie aliweka hizo kumbukumbu.
swissme
huyo mbunge ndo kazihirisha kuwa sisi wabongo kweli IQ yetu ni 72.
aje aweke kwenye sanam la moshi walivo wachaga.hawampendi hahaha sijui ingekuaje
Wanachadema wanjua at ile ni sanamu ya wapigania uhuru wa tanganyika na wengine hudhani kuwa ile ni sanamu ya mayunga . Hili ni kosa kubwa hapa kwetu tunacho kizazi cha nyumbu kinacho haribu taifa letu
kama kiongozi wa vyama alipata division zero unategemea wafuasi wawe na akili gani ni suala la kupita pale na kuliangalia na kusoma:
ishu ya huyu diamond mtoboa pua mm siiungi mkono
Sanamu ni sanamu tu. Hapo yabadilishwe maneno tu yaliyoandikwa hapo. na kama tunadhani kuwa sanamu hiyo haituwakilishi kwa sababu hatukuwa na bunduki enzi hizo, basi ichongwe sanamu ya askari mwenye mkuki, na ngao au upinde na ngao...na maneno mahsusi, Basi! Habari ya Diamond, wamchongee Sanamu Tandale na Ulanga!
Dimond ndo uchafu gani??