afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,303
- 2,715
kweli mdausi unajua ukiwa sub kwenye First eleven ya mpira, unakomaa kutafuta namba ndugu. unaweza pata namba kwenye kikosi cha kwanza ila ukaridhika, na ayo ndio mapenzi!!!
kweli mdausi unajua ukiwa sub kwenye First eleven ya mpira, unakomaa kutafuta namba ndugu. unaweza pata namba kwenye kikosi cha kwanza ila ukaridhika, na ayo ndio mapenzi!!!
Ushauri mbovu huuHakuna cha mvumilivu kula mbivu. Anakupumzikia huyo.
Nakushauri kabla hujaoa atleast uwe na wasichana kama watatu au wanne pembeni ili ufanye uchaguzi sahihi.
Ukiwa na mmoja huyohuyo unakuwa myopic. Mapenzi yanakufunga macho huoni upande wake wa pili.
kwenye miti hakuna wajenziDah ,,,kuna watu wanapendwa kweli wanazingua ...jamani mim kila wakati nimelia zaidi ya mara mbili kwa kuumizwa then nikaamua kumove on ...nataman hata kupata wakunifuta machozi lakin bado ni wasanii halafu huyo anapendwa lakin anazingua naumia ,,,khaaaa natamani ningependwa mim ...kweli ngombe wa maskini hazai
Ukinipa sababu ya kumpenda Huyo msichana nitakupa ushauriHabari wana MMU,
Siku zote huwa naamini katika kumuandaa mwanamke wa ndoa na maisha. Umri wangu ulipofika napaswa niishi na mke sasa, maana kama maisha pakuanzia papo. Siku za nyuma nikiwa shule mabinti nilishawahi kuwa nao wote niliotengeneza mazingira yakuwaandaa leo hii wameolewa kwani mimi nilikuwa sisomi sina kazi hivo hata waliponiitaji nitamke neno nilikuwa kimya maana nikawa sioni lini maisha nitatoboa. Na wengine nilipendwa ila nikakwepa kwakutumia kigezo cha kazi kwani hata sikuwapenda kivile.
Ila nimeingia kazini sasa, kuna binti ambaye nimempenda na natamani nimuweke ndani lakini, amekuwa ni mgumu kufanya maamuzi, akidai ana mtu ila matamanio yakuolewa anayo sina mapenzi ya kisanii, ila nimekuwa mkweli kwake muda wote na uwezo wakukomaa nikapata mtu mwingine ila kwakulazimisha nafsi sana. Nawaza moyoni, nimeongea naye karibia mara tatu kwa muda tofauti na sasa nimemaliza mwaka mmoja toka nianze kuwasiliana naye je kuna siku atabadili msimamo wake nakuja kwangu? Au ni sawa nakusubiri mvua kipindi ambacho nikiangazi?
Ni mtu ambaye tunashirikishana maswala mengi yakimaisha nakusaidiana kwa kiasi chake. Namuheshimu na ananiaheshimu pia, ila when it comes to that point dah! Maumivu ni kwangu kama kuna wenye mfano na matukio kama haya basi tupeane uzoefu labda nikichuja utanisogeza kama huna la kuongea soma upite tu, kejeli mwiko hapa.
Umemuomba Mungu?au unatumia akili zako?Dah hii mada imenigusa sana.
Natamani sana kuwa na mke.
Maisha yamekuwa mazuri lakini sipati mke.
Mungu kakupa akili bado unataka kumsumbuaUmemuomba Mungu?au unatumia akili zako?
Aliyekwambia akili inatumika bila Mungu kuhusishwa nani?!Mungu kakupa akili bado unataka kumsumbua![]()
![]()
Umesha pewa silaha na Yesu kwa ajilili ya Vita..imekuja vita unarudi tena kwa YesuAliyekwambia akili inatumika bila Mungu kuhusishwa nani?!