Hatua ya kumpata mchumba wa ndoa ni ngumu

.......daamn......
Bob at tyms its either u learn the hard way or never learn at all.

Karma z a Bitch.

Hawa wanawake we waone tu hivi hivi. Muombe sana Mungu akuonyeshe na kukupa a woman atakae kupenda kwa dhati na kuridhika na utacho offer kwake while she being beautiful, calm, hard woking & loyal as an added advantage
 
Hii situation ipo kwa wengi point ya msingi move on, muombe sana Mungu kama ipo ipo tu, maana Mungu wetu ni mwaminifu na anatuwazia mema, but walk in faith, uwezi jua unae mkomalia, lazima uikane nafsi kwa ulio yafanya kwa uyo dada it's enough to understand (1 year) now it's better to remain silent, kama ni wako atakuja trust me.
kaka, asante kwa meneno ambayo yamenipa nguvu kwa namna yakipekee sana......hasa hapa "now it's better to remain silent"
 
Mi ni ke...Sina *****! zinirudieje??
Nlishasamehe na kusahau but nataka niwajulishe kitu,wale wanaowachezea mabinti ndo wanaowazibia riziki zenu za kupata mke..Kemeeni! na pia kama unahitaji mke mwema jiulize we ni mume mwema???
kweli, wanaochezea wanawake wanaziba riziki hilo lipo wazi. Nishawahi kumwambia bint mmoja kuwa mtu ulonaye anakunyanyasa na anakupotezea muda, alifanya maamuzi yakuacha na mshikaji wangu ila mpaka leo ananishukuru sana. kapotezewa miaka minne ila hajajali hilo. Sijajua nikwakiwango gani ni mme mwema ila naamini na tips zakuwa mwanaume mwema, na hata ninayemwitaji analijua hilo....ila huwa na mwambia nimuda tu bado wakurecognise my position on her.
 
nakumbuka sana maneno ya babu yangu; alinipa hints 5 muhimu za kuchagua mwanamke wa kuoa...lemme share with you guys huenda mkasaidika

no. 1: Mjukuu wangu usitafute mwanamke wa kuoa baada ya kupata msukumo wa mafanikio fulani katika maisha (elimu, pesa, kazi nk.) mwanamke unaetakiwa kumwoa ni yule atakaepita hatua kwa hatua na wewe hadi kufikia mafanikio yako.

no 2: Mjukuu wangu hakikisha unaoa mwanamke unayeweza kummudu kwenye kila aspect: mapenzi, maamuzi nk kwa sababu unaenda kuwa kiongozi wa familia yako na mkeo ni msaidizi wako (japo mke wako anatakiwa awe pia mshauri mzuri kwako sio kila kitu anakukubalia tu)

no 3: Mjukuu wangu hakikisha unaoa mwanamke ambaye malezi katika familia yao yanaendana na yako ili kusiwe na mgongano wa kimalezi kwa watoto wako (mfano ukitoka familia ya kidini basi hakikisha na mkeo anatoka kwenye familia ya namna hiyo)

no. 4: Mjukuu wangu ukioa oa mwanamke ambaye ni rafiki wa ndugu zako pia

no. 5: Mjukuu wangu ukioa basi oa mwanamke asiyependa kujionyesha (showoff) na kujivuna

Akamalizia kwa kusema kuwa, ukizingatia hayo mjukuu wangu basi ndoa yako itakuwa kama yangu ambayo mpaka leo najivunia kuwa na bibi yako na sijawahi hata siku moja kujuta kuwa nae.....Haya maneno aliambiwa baba yako na baba yangu na mimi leo nimetimiza wajibu wangu kukwambia wewe; na wewe utawaambia wajukuu zako pia maana hii ndo desturi ya ukoo wetu.
 
Acha kumwambia habar za kumuoa na usimtafute walau mwezi au miwili, tafakari kwanza nini unataka na nini cha kufanya, ndoa ni lifetime usikurupuke
 
Kwenye haya maisha ukibahatika kupata mwanamke na akakupenda haswa haswa ni wakumkumbatia sana
Usiforce akupende madhara ya kusema IPO siku atageuka ili umuoe halafu sijue akupendee utaumia sana:confused:

hawahawa ukimpenda utakiona cha moto akigombana na mtu anakutolea hasira wewe, akijisikia kutukana ni kwako nimekoma! akiona umevumilia yote anaanza na vitu vyakufikirika anakumind navyo hawaviumbe waone hivi hivi
 
wanavyoongea hivi utasema mtu ndo huyu! ngoja nimpende,nimvumilie kwa yote tujenge familia utajuta kumfahamu
 
Huyo hata akikukubalia mwishoni lazima atakuja kutoka na x wake... mara zote oa mke aliekupenda ww kuliko uliempenda ww
 
nimechuk
nakumbuka sana maneno ya babu yangu; alinipa hints 5 muhimu za kuchagua mwanamke wa kuoa...lemme share with you guys huenda mkasaidika

no. 1: Mjukuu wangu usitafute mwanamke wa kuoa baada ya kupata msukumo wa mafanikio fulani katika maisha (elimu, pesa, kazi nk.) mwanamke unaetakiwa kumwoa ni yule atakaepita hatua kwa hatua na wewe hadi kufikia mafanikio yako.

no 2: Mjukuu wangu hakikisha unaoa mwanamke unayeweza kummudu kwenye kila aspect: mapenzi, maamuzi nk kwa sababu unaenda kuwa kiongozi wa familia yako na mkeo ni msaidizi wako (japo mke wako anatakiwa awe pia mshauri mzuri kwako sio kila kitu anakukubalia tu)

no 3: Mjukuu wangu hakikisha unaoa mwanamke ambaye malezi katika familia yao yanaendana na yako ili kusiwe na mgongano wa kimalezi kwa watoto wako (mfano ukitoka familia ya kidini basi hakikisha na mkeo anatoka kwenye familia ya namna hiyo)

no. 4: Mjukuu wangu ukioa oa mwanamke ambaye ni rafiki wa ndugu zako pia

no. 5: Mjukuu wangu ukioa basi oa mwanamke asiyependa kujionyesha (showoff) na kujivuna

Akamalizia kwa kusema kuwa, ukizingatia hayo mjukuu wangu basi ndoa yako itakuwa kama yangu ambayo mpaka leo najivunia kuwa na bibi yako na sijawahi hata siku moja kujuta kuwa nae.....Haya maneno aliambiwa baba yako na baba yangu na mimi leo nimetimiza wajibu wangu kukwambia wewe; na wewe utawaambia wajukuu zako pia maana hii ndo desturi ya ukoo wetu.
Nimechukua hoja hizi mkuu, zimekaa vizuri sanaa
 
nakumbuka sana maneno ya babu yangu; alinipa hints 5 muhimu za kuchagua mwanamke wa kuoa...lemme share with you guys huenda mkasaidika

no. 1: Mjukuu wangu usitafute mwanamke wa kuoa baada ya kupata msukumo wa mafanikio fulani katika maisha (elimu, pesa, kazi nk.) mwanamke unaetakiwa kumwoa ni yule atakaepita hatua kwa hatua na wewe hadi kufikia mafanikio yako.

no 2: Mjukuu wangu hakikisha unaoa mwanamke unayeweza kummudu kwenye kila aspect: mapenzi, maamuzi nk kwa sababu unaenda kuwa kiongozi wa familia yako na mkeo ni msaidizi wako (japo mke wako anatakiwa awe pia mshauri mzuri kwako sio kila kitu anakukubalia tu)

no 3: Mjukuu wangu hakikisha unaoa mwanamke ambaye malezi katika familia yao yanaendana na yako ili kusiwe na mgongano wa kimalezi kwa watoto wako (mfano ukitoka familia ya kidini basi hakikisha na mkeo anatoka kwenye familia ya namna hiyo)

no. 4: Mjukuu wangu ukioa oa mwanamke ambaye ni rafiki wa ndugu zako pia

no. 5: Mjukuu wangu ukioa basi oa mwanamke asiyependa kujionyesha (showoff) na kujivuna

Akamalizia kwa kusema kuwa, ukizingatia hayo mjukuu wangu basi ndoa yako itakuwa kama yangu ambayo mpaka leo najivunia kuwa na bibi yako na sijawahi hata siku moja kujuta kuwa nae.....Haya maneno aliambiwa baba yako na baba yangu na mimi leo nimetimiza wajibu wangu kukwambia wewe; na wewe utawaambia wajukuu zako pia maana hii ndo desturi ya ukoo wetu.
No 1 sijaelewa vizuri. Kama nikikukuta tayari una mafanikio yako inakuaje hapo?
 
Huyo wa ofsn kuna mtu anamuwazia km wew unavo muwazia na anataman abadil misimam km we unavotaman ila uktaka final y CD yenu we mpotezee OA mwingne anza maisha we utakuwa steling ye atabak ana haha nakuzorota kw afya ukichelewa akaolewa utaugua balaa.
 
Back
Top Bottom