Hatimaye Malisa na Boniface Jacob waachiwa kwa dhamana

Figo yako na gaidi lenu mbowe, tena lisubiri tu kukamatwa gaidi kabisa liujaji dikiteta hakitaki kuachia uenyekiti, jizi, fisadi, lihuni litoboa masikio, linafanya akina adamu, yaani watanzania tunalichukia sana tena sana na kama lilivyoshangilia kifo cha Dkt Magufuli siku likifa lenyewe mbwa watafurahia na kufanya sherehe ya msururu wa dume jike hahaha
Maisha magumu yamekusabishia Msongo mkali wa mawazo ambao umekuletea roho ya chuki. Relax Mkuu chuki dhidi ya binadamu mwenzako ni uchafu wa roho. Hoja zijibiwe kwa hoja sio unachokiandika hapa ni Chuki +Msongo wa mawazo +Maisha magumu 😂😂😂😂
 
Maisha magumu yamekusabishia Msongo mkali wa mawazo ambao umekuletea roho ya chuki. Relax Mkuu chuki dhidi ya binadamu mwenzako ni uchafu wa roho. Hoja zijibiwe kwa hoja sio unachokiandika hapa ni Chuki +Msongo wa mawazo +Maisha magumu 😂😂😂😂
Mi tajiri, siyo kama yule pipa wenu
 
Walichofanya Polisi ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Yaani badala ya kumwita mtoa taarifa za uhalifu (whistleblower) ili akusaidie ktk kufanya upelelezi wako kwa ajili ya kuwabaini Wahalifu waliohusika na uhalifu, wewe unawatisha kwa vitisho vya kuwapeleka Mahakamani???Aibu gani hii!?
Matokeo yake sasa, ni kwamba watu hawaogopi tena kuwekwa rumande kama ilivyokuwa zamani. Kuwekwa rumande sasa limekuwa jambo la kawaida kabisa, na hasa wakati mtu anawekwa ndani kwa uonevu tu.

Nadhani kunahitajika kuwepo na vigezo maalum vya mtu kuwekwa ndani; vigezo hivyo vikikiukwa huyo mhanga awe na haki ya kwenda mahakamani kuwashtaki polisi kwa uonevu waliomfanyia.
Haiwezekani watu wawe wanawekwa ndani tu hovyo hovyo, kwa vile tu DC au RC au polisi kataka kuonyesha madaraka yake na kutisha watu.
 
Jamaa alievalia kapelo nyeusi na Tshirt nyekundu ndo kiumbe pekee ambae CCM wanamtafuta kwa Udi na uvumba sana.....basi tu ni vile kila wakitega mitego jamaa hawamnasi. anawaumuza sana vichwa.:p
 
Bosi siyo hivyo ila naona wajuba wananichokoza hawa ma chasaka. As long as team chama mfu chadema wataendelea kumdhihaki Dkt Magufuli hata ktk umauti wake tuna deal nao, he was a figure head, na hichi ni kisasi cha kizazi chote cha chama mfu chini ya mbowe, we will never get tired kumtetea na kumsemea yaliyo mema Dkt Magufuli. Ila siku wakibadilika na kutambua Dkt Magufuli anahitaji heshima basi we will do the same kwa viongozi wao, otherwise, ni kisasi kisasi na Mungu wetu mkuu uzuri yupo upande wetu.
Njoo huku kwa wasimbe mfarijiane
 
Wawili hao wamewekwa mahabusu kwa masaa zaidi ya 40 kwa kosa linalodaiwa kuwa Uchochezi na kuzua Taharuki .

Walikamatwa na Jeshi la Polisi kwa amri ya RPC Muliro ambaye ndiye mlalamikaji Mkuu , bado haijafahamika siku ambayo watafikishwa Mahakamani

PIA SOMA
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC

- Jeshi la Polisi lapekua nyumba ya Boniface Jacob, laenda na GJ Malisa Moshi kupekua nyumba yake
Tulijua tu wataachiwa kwani hawakuwa na koaa.

Wenye haki wataishi kwa imani.
 
Figo yako na gaidi lenu mbowe, tena lisubiri tu kukamatwa gaidi kabisa liujaji dikiteta hakitaki kuachia uenyekiti, jizi, fisadi, lihuni litoboa masikio, linafanya akina adamu, yaani watanzania tunalichukia sana tena sana na kama lilivyoshangilia kifo cha Dkt Magufuli siku likifa lenyewe mbwa watafurahia na kufanya sherehe ya msururu wa dume jike hahaha
Maskini wa roho😆😆
 
Hivi Kuna polisi humu jf na fb , Kama yupo mmoja mwenye weledi amstue kamanda naye asome Mara moja moja aone kazi za Malisa katika jamii. Kuna siku MTU wa familia yake ataomba msaada wa Malisa.
 
Back
Top Bottom