Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,526
220,235
Meya huyo wa Zamani wa Kinondoni na Ubungo ameongozana na Wakili wake Hekima Mwasipu.

Boniface Jacob ambaye ni Mwanachama wa Chadema amefikia kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay akiwa sambamba na wakili wake Hekima Mwasipu, ikiwa ni siku chache toka kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam (SACP) Muliro Jumanne Muliro kutaka kuacha upotoshaji mitandaoni


Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!

- Hatimaye Malissa na Boniface Jackob waachiwa kwa dhamana
 
Ipo haja, kwa yeyote mwenye malalamiko yanayohusiana na vyombo vya dola vya Kitaifa kabla ya kuandika ugoro wake mitandaoni akalazimika kwanza kwenda kwenye chombo husika kupata details sahihi, ndipo aruhusiwe kwenda kuandika ugoro wake!......
N. B, Malalamiko hasa yanayohusisha kifo /vifo.
# case closed!
°Suala hili lichukuliwe haraka sana na jeshi letu.
 
Kama hujui basi hao police ndio majambazi wenyewe.
Dhana ya negativity mliyomezeshwa na viongozi wenu chadoma, ni shida, hamuwezi ona kama kuna lolote Zuri, maishani mwenu!
Ukishamezeshwa chadema pill, inaondoa ufahamu kwanza, inakupa msononeko wa moyo, inakupa ujuaji mwingi hata kama ni zezeta, inakupa uwana harakati njaa, once you take a pill, ubishi usio na maana ndipo huanzia!
Aina ya vidonge!
-chadema super argue pill drugs- 1
-chadema moderate pill, hii ni ya wastani, hiyo namba moja ndiyo hatari sana.
 
Meya huyo wa Zamani wa Kinondoni na Ubungo ameongozana na Wakili wake Hekima Mwasipu.

Boniface Jacob ambaye ni Mwanachama wa Chadema amefikia kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay akiwa sambamba na wakili wake Hekima Mwasipu, ikiwa ni siku chache toka kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam (SACP) Muliro Jumanne Muliro kutaka kuacha upotoshaji mitandaoni


Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
Wafanye yoteeee wasimguse malisa hii ni dhahabu,ni zawadi tumepewa na Mungu
 
Meya huyo wa Zamani wa Kinondoni na Ubungo ameongozana na Wakili wake Hekima Mwasipu.

Boniface Jacob ambaye ni Mwanachama wa Chadema amefikia kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay akiwa sambamba na wakili wake Hekima Mwasipu, ikiwa ni siku chache toka kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam (SACP) Muliro Jumanne Muliro kutaka kuacha upotoshaji mitandaoni


Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
Hawa nyumbu waskishaona hawafuatiliwi lazima wafanye tukio la hovyo
 
Meya huyo wa Zamani wa Kinondoni na Ubungo ameongozana na Wakili wake Hekima Mwasipu.

Boniface Jacob ambaye ni Mwanachama wa Chadema amefikia kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay akiwa sambamba na wakili wake Hekima Mwasipu, ikiwa ni siku chache toka kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam (SACP) Muliro Jumanne Muliro kutaka kuacha upotoshaji mitandaoni


Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?

- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi

- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
Hekima Mwasipu, jamaa poa sana tulipiga wote divisions one za7 enzi hizo advance level huko pwani dah 🐒
 
Back
Top Bottom