Hapa nawaachia wanaoijua vizuri dini mtoe maoni yenu. Rasta Yuko sahihi ?

Maandishi si yanaatungwa n'a mtu kwani si kuna hadith za sungura n'a fisi kua walikua wanaongea ndio km Quran ni uongo mtupu haishushwa ila ilitungwa n'a mtu ili kuwateka wajinga wa kufikiri
Wewe unaweza kuthibitisha kama Qur'an ilitugwa?
 
Huyo Mwamba hua namfuatilia sana hua analeta hoja ambazo wafia dini hawawezi mjibu zaidi ya kumtukana tu,
Jamaa anazingua kweli kweli na ni Mzanzibar huyo,
Hua napenda anaposema

'Na huo uongo wenu huo jamaniiiii!
😂😂😂
Huyo rasta hajielewi hija zake nyepesi sana.
Pia si mzanzibar ni mmakonde wa ntwala
 
Kama kuna ukweli fulani hivi!.

Ila naweka dot. huyu mwamba kama atakuwepo hadi mwisho wa mwaka basi nitafuata njia nikapate 7 mara 10!.
 
Huyo Mwamba hua namfuatilia sana hua analeta hoja ambazo wafia dini hawawezi mjibu zaidi ya kumtukana tu,
Jamaa anazingua kweli kweli na ni Mzanzibar huyo,
Hua napenda anaposema

'Na huo uongo wenu huo jamaniiiii!
😂😂😂
Content zake nyingine ziko wapi?.
 
Back
Top Bottom