Hali halisi ilivyo Ajira portal: Hii ndiyo serikali ya CCM inayojinasibu kumwaga ajira kwa maelfu ya wahitimu

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
2,729
4,905
Katika maelfu na maelfu ya wahitimu walipo mitaani, Serikali haina nafasi hata moja ya kumuajiri mhitimu wa Accounting?

Pamoja na wingi wa wahitimu hususan vijana, serikali imeamua kuwafungia vioo vijana Gen Z! ina maana Serikali nzima, pamoja na thinktank zake imefeli kabisa kuokoa taifa la vijana waliosoma kwa taabu na kuishia kupoteza matumaini huku wengine wakijikita kwenye betting, michezo ya kubahatisha, kazi zisizo rasmi, nk.

Huku wakikata tamaa kabisa na kuamua kutupa vyeti vyao na ujuzi walio nao, huku serikali ikiwa imekosa kabisa namna ya kuwasaidia.

INASIKITISHA SANA!

20250201_195218.jpg

Giry5FYXwAAq2UL.jpeg
 
Hapo
Katika maelfu na maelfu ya wahitimu walipo mitaani, Serikali haina nafasi hata moja ya kumuajiri mhitimu wa Accounting?

Pamoja na wingi wa wahitimu hususan vijana, serikali imeamua kuwafungia vioo vijana Gen Z! ina maana Serikali nzima, pamoja na thinktank zake imefeli kabisa kuokoa taifa la vijana waliosoma kwa taabu na kuishia kupoteza matumaini huku wengine wakijikita kwenye betting, michezo ya kubahatisha, kazi zisizo rasmi, nk.

Huku wakikata tamaa kabisa na kuamua kutupa vyeti vyao na ujuzi walio nao, huku serikali ikiwa imekosa kabisa namna ya kuwasaidia.

INASIKITISHA SANA!

View attachment 3221534
View attachment 3221544
Tatizo tunapenda kulalamika bila kuleta suluhisho.
Hapo kosa la serikali ni lipi?
Waajiri wakati hawana nafasi kwasababu tu wewe umesoma?
Waajiri wakati hawajaandaa cha kukulipa?
 
Kazi iendelee broo na dada zangu trust me jiajirin hii serikal haina mpango na nyie anza na kidogo hicho hicho trust me....
 
Hakuna la maana zaidi ya utapeli tapeli tupu, sahivi kuna interview ya walimu zaidi ya siku 40 itafanyika ni namna ya kupiga pesa, kumbe zoezi lingeweza kufanyika hata ndani ya siku 2 au 3
 
Hapo

Tatizo tunapenda kulalamika bila kuleta suluhisho.
Hapo kosa la serikali ni lipi?
Waajiri wakati hawana nafasi kwasababu tu wewe umesoma?
Waajiri wakati hawajaandaa cha kukulipa?
Lakini Kila Saa,siku,wiki,mwezi,mwaka wapo watumishi wanaacha kazi,wanafukuzwa kazi,wanafariki,wanaostafu kwa hiari na lazima,uchumi wetu unakua na sekta zinakua zinazoachwa wazi na mahitaji mapya ya watumishi yanatangaziwa wapi!au vimemo🔧
 
Lakini Kila Saa,siku,wiki,mwezi,mwaka wapo watumishi wanaacha kazi,wanafukuzwa kazi,wanafariki,wanaostafu kwa hiari na lazima,uchumi wetu unakua na sekta zinakua zinazoachwa wazi na mahitaji mapya ya watumishi yanatangaziwa wapi!au vimemo🔧
Unajua idadi ya watu waliostaafu, kufariki ama kuacha kazi kwa mwaka 2023-2024 kwa kada unayoiongelea?
 
Lakini Kila Saa,siku,wiki,mwezi,mwaka wapo watumishi wanaacha kazi,wanafukuzwa kazi,wanafariki,wanaostafu kwa hiari na lazima,uchumi wetu unakua na sekta zinakua zinazoachwa wazi na mahitaji mapya ya watumishi yanatangaziwa wapi!au vimemo🔧
Duh ww jamaa em tumia hata akili za kuzaliwa bc mana dah umeandika upumbavu
 
Duniani kote serikali siyo mwajiri mkuu. Kazi ya serikali inayojitambua ni kuwapa vijana elimu nzuri inayowawezesha kujiajiri pamoja na kuandaa mazingira mazuri katika sekta binafsi ili vijana wake waweze kuajiriwa huko. Serikali inayoshindwa kuwapa vijana wake elimu bora (ikiwemo ya vitendo) na kuimarisha sekta binafsi ambayo ndiye mwajiri mkuu basi serikali hiyo inastahili lawama kwa kuwatelekeza vijana wake.
 
Katika maelfu na maelfu ya wahitimu walipo mitaani, Serikali haina nafasi hata moja ya kumuajiri mhitimu wa Accounting?

Pamoja na wingi wa wahitimu hususan vijana, serikali imeamua kuwafungia vioo vijana Gen Z! ina maana Serikali nzima, pamoja na thinktank zake imefeli kabisa kuokoa taifa la vijana waliosoma kwa taabu na kuishia kupoteza matumaini huku wengine wakijikita kwenye betting, michezo ya kubahatisha, kazi zisizo rasmi, nk.

Huku wakikata tamaa kabisa na kuamua kutupa vyeti vyao na ujuzi walio nao, huku serikali ikiwa imekosa kabisa namna ya kuwasaidia.

INASIKITISHA SANA!

View attachment 3221534
View attachment 3221544
Hahahah
 
Lakini Kila Saa,siku,wiki,mwezi,mwaka wapo watumishi wanaacha kazi,wanafukuzwa kazi,wanafariki,wanaostafu kwa hiari na lazima,uchumi wetu unakua na sekta zinakua zinazoachwa wazi na mahitaji mapya ya watumishi yanatangaziwa wapi!au vimemo🔧
Punguzausenge
 
Back
Top Bottom