6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,575
- 3,057
Narudia Tena:
Hakuna Usafiri wa Umma wa Hovyo na Hatari Duniani kama Mwendo Kasi Tanzania
Kama serikali inaweza kusimamia
Air Tanzania ina shindwa vipi kusimamia Mwendo kasi..?
Mpaka kuwapa wapihgaji Moradi kama Hii..?!
Miradi kama hii nchi nyingine inaendeshwa na katika level ya Municipal!!
Usafiri wa umma siyo kwa ajili ya kutengeneza faida ..!
Ni kwa ajili ya kuchochea shuvhuliza jamii katika uchumi
Badala yake mmeweka maslahi yenu mbele na kuacha wanachi kweye HATARI KUBWA MNO NA TAABU ILE MBAYA..!
Bongo tupo nyuma sana aisee
Hiii ni aibu kubwa mno
Ikishafika jioni kama upo town usipande huu usafiri ni hatari mno na karaha yake ni kubwa kupindukia
Watoto wadogo wapo kwenye hatari kubwa mno maana huu usafiri kwao siyo rafiki kabisa
Hakuna Usafiri wa Umma wa Hovyo na Hatari Duniani kama Mwendo Kasi Tanzania
Kama serikali inaweza kusimamia
Air Tanzania ina shindwa vipi kusimamia Mwendo kasi..?
Mpaka kuwapa wapihgaji Moradi kama Hii..?!
Miradi kama hii nchi nyingine inaendeshwa na katika level ya Municipal!!
Usafiri wa umma siyo kwa ajili ya kutengeneza faida ..!
Ni kwa ajili ya kuchochea shuvhuliza jamii katika uchumi
Badala yake mmeweka maslahi yenu mbele na kuacha wanachi kweye HATARI KUBWA MNO NA TAABU ILE MBAYA..!
Bongo tupo nyuma sana aisee
Hiii ni aibu kubwa mno
Ikishafika jioni kama upo town usipande huu usafiri ni hatari mno na karaha yake ni kubwa kupindukia
Watoto wadogo wapo kwenye hatari kubwa mno maana huu usafiri kwao siyo rafiki kabisa