Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,955
Umeelewa nilichomaanisha au umejisikia tu kuropoka?... kwa hiyo ulikuwa chumbani siku hiyo ndio ukaenda kutoa taarifa?
Ufipa kuna mambo ya ajabu sana!Alitimuliwa ACT akakimbilia huku ila asili yake ni CHADEMA
USSR
Ha ha haaa. Mtengenezeeni kadi ya Chadema fasta. CCM mmemtuma msemaji wa serikali aje kuthibitisha Suphian Juma ni shoga?Ufipa kuna mambo ya ajabu sana!
Ni rahisi kuthibitisha Hamza ni mwana ccm kuliko kutjibitisha zito na seifu wanampumulia kichogoni sufianiMimi hata sishangai. Waoneni tu watu kwa nje, lakini yale wanayoyafanya wakiwa vyumbani mwao ni mazito mno.
Kuta za vyumba zingekuwa zinaongea watu wengi sana wangeumbuka.
Kwa hiyo ni sawa na ni sahihi kwa gazeti kuleta mambo ya chumbani hadharani??Umeelewa nilichomaanisha au umejisikia tu kuropoka?
Labda nikuulize :
Wewe ni mangapi ya aibu unayofanya kwa siri ukiwa chumbani mwako??
My point is, sisi Wanadamu bila ya kujali vyeo vyetu au hadhi yetu mbele ya jamii lakini tuna tuna siri nyingi zilizofichika. Hivyo siyo ajabu kusikia Zitto na Maalimu waligombea shoga.
Hapa anazungumziwa Suphian Juma!Hamza wa CCM huyo hapoView attachment 1944621
Hata Hamza naye yumo,kuna mdau kasema ni rahisi kuthibitisha Hamza wa CCM kuliko suphianHapa anazungumziwa Suphian Juma!
KindakindakiKumbe sufian shoga😀
Huyu Musiba hivi ameshamlipa fidia Fatma Karume zile bilioni 3.7 za kumchafua ambazo Mahakama kuu kule Zanzibar ilimtia hatiani kwa kuchapisha habari za uongo?Kuna clip ya video inatambaa kwa kasi ikimuoesha mkurugenzi wa habari maelezo Ng ,Gerson Msigwa akisema kuwa hawakulifungia gazeti la Tanzanite linalomilikiwa na msiba kwa kuhapisha habari za uongo kuhusu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zito kabwe na aliyekuwa makamu wa kwanza wa urais seifu sharifu Hamad kujihusisha na ushoga kwa kumgomania mtu anayejulika Kama sufiani Juma ( ni member wa jf)
Video hiyo imezua utata kwa kuwa mzigwa anasema gazeti hilo lilithibitisha (nitaiweka hapa soon ) kuwa ishu ya ushoga ilikuwa kweli
View attachment 1944504
Weka hiyo clip na sie tujioneeKuna clip ya video inatambaa kwa kasi ikimuoesha mkurugenzi wa habari maelezo Ng ,Gerson Msigwa akisema kuwa hawakulifungia gazeti la Tanzanite linalomilikiwa na msiba kwa kuhapisha habari za uongo kuhusu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zito kabwe na aliyekuwa makamu wa kwanza wa urais seifu sharifu Hamad kujihusisha na ushoga kwa kumgomania mtu anayejulika Kama sufiani Juma ( ni member wa jf)
Video hiyo imezua utata kwa kuwa mzigwa anasema gazeti hilo lilithibitisha (nitaiweka hapa soon ) kuwa ishu ya ushoga ilikuwa kweli
View attachment 1944504
CCM haijawahi kuacha siasa za kupakana matope. CCM ni ile ile ooh ni ile ileeeeNaona CCM imerudi kwenye enzi zake za kuchafuana na kurushiana matope. Sijui wataacha lini haya mambo. Msigwa katumwa.
Zanzibar na nchi bwashee!Huyu musiba ivi ameshamlipa fidia Fatma Karume zile bilioni 3.7 za kumchafua amabazo Mahkama kuu kule Zanzibar ilimtia hatinai kwa kuchapisha habari za uongo?
Unamjua Mhariri mkuu wa Tanzanite Habib Mchange na historia yake ya kisiasa?CCM haijawahi kuacha siasa za kupakana matope. CCM ni ile ile ooh ni ile ileeee
Ndiyo inayowakusanyia kodi kupitia TRA na bandari ili muendeshe maisha yenu huko Tanganyika na hapa JF na kiburiZanzibar na nchi bwashee!